MbEbA_MaoNo018
Member
- Sep 2, 2018
- 14
- 20
mzee we ni kati ya wale 5,000 wa JPM? welcome to JF.Yani maua sama uwezo ni wa kawaida?!.,hii kwangu ndo suprise ya kwanza ya year 2020.!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huko ulikoenda sio!Huyu na Mwasiti, sura zao sijui zingekuaje km wangekua wamezalishwa kijijini[emoji1495]
Muogope Mungu mkuu!Bahati yake Make up, inamfanya aonekane ni mbaya sana huyu dada na domo lake bahati yake vijana wa huko mtaani kwake hawakumpa mimba maua Sama
Ila wananzengo wamempa za uso mleta uzi uko aliko hana hamu! Kama kuna mtu anasema hajawahi kushuhudia uchawi basi ndo kama huu sasa, wa kusema uwezo wa kuimba wa Maua ni wa kawaida!Yani maua sama uwezo ni wa kawaida?!.,hii kwangu ndo suprise ya kwanza ya year 2020.!!
Sent using Jamii Forums mobile app
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Huyu na Mwasiti, sura zao sijui zingekuaje km wangekua wamezalishwa kijijini[emoji1495]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Safi mkuu.Mkuu vipi
Daaah ... aje hapa ππππ€π€π€huwa shishabikii miziki ya duniani, ila kwa mafanikio ya kawaida maishani, huwa sipendi kukatisha tamaa vijana wanaopambana, imagine ni binti yako anapambana kutafuta umaarufu na kipato afu mtu anakuja kumdharau na kumkatisha tamaa mtandani.