Maua Sama atachanganyikiwa sana kwa jambo hili

Inahitaji masiki matatu na macho matatu kuweza kujua kipaji cha Maua Sama.....one of the best vocals nilizowahi kuzisikia kwa wadada hapa bongo!! Msikilize kwa This Love na Ben Pol utajua namaanisha nini....[emoji119]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
huwa shishabikii miziki ya duniani, ila kwa mafanikio ya kawaida maishani, huwa sipendi kukatisha tamaa vijana wanaopambana, imagine ni binti yako anapambana kutafuta umaarufu na kipato afu mtu anakuja kumdharau na kumkatisha tamaa mtandani.
 
huwa shishabikii miziki ya duniani, ila kwa mafanikio ya kawaida maishani, huwa sipendi kukatisha tamaa vijana wanaopambana, imagine ni binti yako anapambana kutafuta umaarufu na kipato afu mtu anakuja kumdharau na kumkatisha tamaa mtandani.
Daaah ... aje hapa πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ€πŸ€πŸ€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…