Maua sama nyota ing'aayo kwenye giza nene

Ameniacha chuo cha ushirika kiukweli# maua n mdada anae jichanganya ana mambo ya ustar # afu anasupport toka kwa wazazi baba ake anamsaport sana# ukipanda gari ya mzee wake unasikia ngoma za maua mwanzo mwisho# ukiwa na shida chuoni maua hana iyana anakusaidia nimzuri sana na anaroho ya kipekee
 
Maua sana ni mashine, ukweli tu ni kuwa sijawah sikiliza wimbo wa Nandy mpaka mwisho achilia mbali kuurudia, japo huwa naskiliza sana wimbo alioshirikishwa na Bright, ila Maua sama kuna wimbo wake wa Sisikii nafkri nimeusikiliza zaidi ya Mara 100, na nimepakua instrumental yake kabisa , Ema ze boy nilimwelewa sana, wimbo upo romantic sana....
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…