Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I know her personally na nimemaliza nae chuo...she is cute..chunusi ziliishaga mda sana..I guess mwaka wa kwanza au wa pili.Nmemuacha ushirika akiwa anajiunga shahada kutoka diploma, yupo charming ni mzuri mbona , enzi hzo alikuwa na chunusi nyngi sana na spot usoni sijamwona kama miaka 4 hivi ila inshort she s cute
by the time kipo under SUA ndo kilikua Muccobs. Sikuizi kinaitwa MOCU-MOSHI CO-OPERATIVE UNIVERSITYChuo kikuu cha ushirika moshi maarufu kama Muccobs
Ushawah muona lakinHana sura mbaya kihivyo mbona yupo poa tuu, utakua na makengeza
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Huwez andika kiswahili had uchanganye na kikristo maana mimi hapo umeniacha bashite bashiteI know her personally na nimemaliza nae chuo...she is cute..chunusi ziliishaga mda sana..I guess mwaka wa kwanza au wa pili.
Nshamuona ndio maana nkakujibu
University maana si ni chuo kikuu auby the time kipo under SUA ndo kilikua Muccobs. Sikuizi kinaitwa MOCU-MOSHI CO-OPERATIVE UNIVERSITY
aiseeeeAman iwe nayi wapendwa katika bwana husika na kichwa cha habari hapo juu
Mziki wa sasa umekuwa na changamoto nyingi sana hasa kwa wadada maana hukumbana na vikwazo vingi sana either kutoka kwenye familia anayotoka au kutoka kwa wadau mbali mbali wa mziki
Maua sama ni msichana mpole na mchangamufu sana ni msanii ambaye anasimamiwa na mwanake kama meneger
Huyu dada anasura mbaya sana kusema ukweli lakina ana mziki mzuri sana ambao ukiusikia lazima ukuvute ni mdada ninaye mpenda sana kimwili na kiroho
Kafanikiwa sasa anasikika hadi nje ya mipaka ya tanzania nimbunifu sana kwenye mziki na ana ngoma kibao ambazo katoa na zote ni kuntu namtabiria kufika kimataifa
Zaman nilikiuwaga NANYUPU
LONDON BABY
Sawa mkuu nimekusomaSura mbaya wap jaman wakati kila kitu kimekaa mahala pake pua ipo sehemu yake,macho,mdomo
Usirudie kusema mtu anasura mbaya kaa kimya tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ule wimbo nikiusikia nakuwa mpole tu, hata kama nimekasirika, hasira zinayeyuka.Aisee kama anakuimbia wewe
...em nipe namba yake!I know her personally na nimemaliza nae chuo...she is cute..chunusi ziliishaga mda sana..I guess mwaka wa kwanza au wa pili.
Eti jamani! Mbona sura poa tu ya kikwetu?