jay311
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 2,932
- 2,715
Kwani msanii lazima uwe na sura mzuri? Mimi naona sura ya msanii ni lyrical contents zake yaani mashairi na mpangilio,melody na ujanja katika mziki.Hio nsio sura yake.Wewe kama una angalia sura nzuri ya msanii pole sana kwa huo Utu wako.Na kwa taarifa yako,Maua Sama hana sura mbaya,labda kama hujui definition ya sura mbaya.