Iringa Native
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 961
- 3,055
Story nzuri sana.....kama kuna nyingine umeshaweka humu tusaidie link zake ndgu.(Ya muuaji Regan nshaipitia ,nayo ilikuwa nzur sana)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeweka nyingine nasubiri modes wairuhusuStory nzuri sana.....kama kuna nyingine umeshaweka humu tusaidie link zake ndgu.(Ya muuaji Regan nshaipitia ,nayo ilikuwa nzur sana)
Unatambua kwamba wewe ni mpumbavu...Nitahitaji
Mauji ya kafara za binadamu (Kesi iliyowastaajabisha polisi wa Mexico na USA)Story nzuri sana.....kama kuna nyingine umeshaweka humu tusaidie link zake ndgu.(Ya muuaji Regan nshaipitia ,nayo ilikuwa nzur sana)
dah thanks mkuu....ngoja nimalizie ya wahindi then nitaanza ya hawa wa_mexico
Umeona jama ka qoute thread yote ile. Nakuunga mkonoUnatambua kwamba wewe ni mpumbavu...
Unahisi kwa uliyosoma dewan alishiriki kweli?Hii story inasisimua sana... jana nimelalala ikawa inanirudia mara mbili mbili kichwani!!
Hapana sijaona uwezekano wa yeye kushiriki yale mauaji, nimeishia kumuonea huruma sana hasa pale alipokiri kushiriki vitendo vya ngono vya jinsia moja!!Unahisi kwa uliyosoma dewan alishiriki kweli?
Hakuna hatua aliyochukuliwa zaidi ya kukaa gerezan kwa miaka hiyo michache aliyopewa baada ya lile deal aliloingia na polisi. Maana jaji alifutilia mbali kesi juu ya dewan kwa ushahidi ambao haukuwa na nguvu so mambo ya akina tongo yalikuwa hayahusiki wao walikuwa washahukumiwa kablaHapana sijaona uwezekano wa yeye kushiriki yale mauaji, nimeishia kumuonea huruma sana hasa pale alipokiri kushiriki vitendo vya ngono vya jinsia moja!!
Alafu baada ya Tongo kuthibitika na mahaiama kwamba maelezo yake mengi yalijaa uongo, alichukuliwa hatua gani?
Amekiri wapi ? Kwamba anashiriki mapenzi ya jinsia moja?Hapana sijaona uwezekano wa yeye kushiriki yale mauaji, nimeishia kumuonea huruma sana hasa pale alipokiri kushiriki vitendo vya ngono vya jinsia moja!!
Alafu baada ya Tongo kuthibitika na mahaiama kwamba maelezo yake mengi yalijaa uongo, alichukuliwa hatua gani?
Kwa jinsi nilivyoitathmini hii kesi dereva tax anahusika kwa kiasi kikubwa sana na hta ushahidi unaonesha ye ndye alicheza picha lote ....na picha lilianza jamaa alivyokuwa anaenda maduka ya kubadilishia fedha na hyo dereva tax na inavyoonesha baada ya dereva tax kuona jamaa anavyofanya miamala akaingiwa tamaa na kuwastua jamaa zake wa kitaa waje wafanye uvamizi na kumpora pesa hyo jamaa ,sema jamaa zake wakamwangusha baada ya kuchukua hela tu wakafanya na mauaji kbsaKwa muono wangu nahisi huyo bwana alihusika kabisa na kifo cha mkewe kwanini wezi wamshushe yeye na wamng'ang'anie mkewe, ila sasa sababu za kumuua ndio haziniingii akilini daah! ni kesi ngumu japo Polisi walimua kuifanya kuwa nyepesi kwa kuingia makubaliano na hasa dereva wa tax maana ndie anaejua kila kitu
Soma mahali alipoanza kutoa tu ushahidi...Amekiri wapi ? Kwamba anashiriki mapenzi ya jinsia moja?
Duh..Kwa muono wangu nahisi huyo bwana alihusika kabisa na kifo cha mkewe kwanini wezi wamshushe yeye na wamng'ang'anie mkewe, ila sasa sababu za kumuua ndio haziniingii akilini daah! ni kesi ngumu japo Polisi walimua kuifanya kuwa nyepesi kwa kuingia makubaliano na hasa dereva wa tax maana ndie anaejua kila kitu