Mauaji na wauaji wa marehemu Notorious B.I.G



Kuna Crips na Bloods. Ndani humo kuna sets mbali mbali kulingana na mtu anapotokea. Kutokana na upinzani, wanachama wa Bloods hawatumii herufi 'C', wala Crips hawatumii herufi 'B', especially not in naming their sets. Suge alikuwa member au associate wa Bloods (you can't miss the red suits), siyo hiyo uliyoitaja.

For your info pia, Bloods and Crips can hang out, kwa sababu sometimes hawa watu wamekuwa pamoja. Vile vile kunaweza kuwa na tofauti kati ya sets tofauti ndani ya gang moja.

Ukihitaji elimu zaidi kuhusu gangs and their politics, usisite mzazi.
 


!
!
Sasa Mwananafisa Usalama Ni Nani Hapo? Maana Naona Umekoroga Kweli Kweli Hapo.
 
Mkuu naelewa sana haya mambo i used to be a gangsta..nakuunga mkono SUGE ni member wa bloods lakini napingana na wewe hapo unaponiambia kwamba ni kawaida kuchangamana kati ya Bloods na Crispy hii kitu haiwez kutokea kamwe kwan kuna uhasama mkubwa kati ya magroup haya na lengo la kuundwa kwa blood ilikua ni kuweaken the superiority of Crispy gang in USA and Canada.Crispy ana Allies wake ambao amashirikiana nao na pia Blood hivyohivyo lakini kuna rivalry kubwa kati ya Bloods na Crispy hili bifu lipo enzi na enzi angalia hata wimbo wa Michael Jackson Beat it video yake utaelewa naongea nini..
 
Mzee Crispy ndio nn hiki mkuu?
 

Moja, hawaitwi 'Crispy', ni Crips. Crips na Bloods uhasama huo ulikuwa zamani sana. DeathRow ilikuwa associated na Bloods wengi, kuanzia security details mpaka artists, ila bado walikuwa associates wa Crips kama Snoop, Tha Dogg Pound, n.k. Hayo mengine unayozungumzia hayapo.
 
Tusibishane yawezekana hakuna unalolijua kuhusu hizi Gangs ingia google halafu search about American Gangs rivalies halafu ubaki na knowledge utakayoipata
 
mkuu unamjua jamaa mmoja anajiita BIG MEECH(sina hakika kama nimepatia jina lake)....?? ambaye inasemekana kuwa ile nyimbo ya akina Fat Joe inayoenda kwa jina la "I MAKE IT RAIN" idea yake waliitoa kwenye lifestyle ya huyo jamaa..

umeongelea wauza madawa ambao ndio mashabiki wakubwa wa hip hop kuwa na pesa chafu, sasa inasemekana huyo jamaa alikuwa ananunua hata copy laki moja kwa kila album ya hip hop inayotaka na akaipenda.

Jamaa alikuwa na hela chafu hata Flyod Maywheather ana Subiri...
 
Ndani ya black mafia family..
Big meech utaskia wafuasi wanajibu hallelujaaah
 
" Mkuu naelewa sana haya mambo i used to be a gangsta.."
US au wapi mkuu
 
Cash Money Records - Birdman na lol wayne mwanzoni walikuwa hawafichi hisia zao kwenye gangs (Blood) siku hizi wameachana na hayo mambo

Wannabes tu. Crips and Bloods asili na ngome yao ni California, Birdman na Wayne hawatokei California. Sio kila anataja gangs ni gang-banger, kuna wazushi na wazugaji wengi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…