Mauaji na wauaji wa marehemu Notorious B.I.G

Tusibishane yawezekana hakuna unalolijua kuhusu hizi Gangs ingia google halafu search about American Gangs rivalies halafu ubaki na knowledge utakayoipata

I studied gangs, specifically Crips and Bloods. Nimemaliza documentaries zote zinazohusu hawa jamaa. Nimesikiliza karibia interviews zote za hao jamaa. Ukiacha ujuaji unaweza jifunze mengi.
 
Hivi nini ni motive ya kuingia kwenye gang?

Ni lazima ukizaliwa au kukulia eneo flani unalazimishwa kuwa gang member?

What if raia wa kawaida wa mtaa flani wakivaa red/blue in contrary to their gangs color za mtaa husika wanawafanyaje?
 
Kuna kipindi Young Jeezy alimpiga Rick Rose kwa kumtaja member wa Gang moja wapo kwenye ngoma yake ya BMF,alikuwa drug dealer na aliwasaport kitaani kina Young Jeezy. Kipindi hicho jamaa alikuwa jela .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…