Polisi mkoani rukwa inamshikilia mkazi mmoja kwa kosa la kupanga dili la kuumuuza mkewe albino kwa sh mil 3.6,habari zinasema john alifanya dili hiyo na wafanyabiashara wawili wa kutoka kongo,mtuhumiwa alikamatwa wiki hii baadaya kugundulika dili lake na hao wakongo,..hata hivyo mtego huo haukuzaa matunda maana hata wanunuzi hawakutokea baada ya kutorka,habaro zinasema wakongo hao walifika katika kijiji hicho na kujifanya wachuuzi wa samaki,na kuanza kuonekana mara kwa mara!!!nyumbani kwa mtuhumiwa,habari zinasema mtuhumiwa alikiri kushiriki katika jaribio hilo la kumuuza mkewe albino janeth mlele,maskini!!!jeshi la polisi linasema mara baada ya hilo walimchukua janth na kumpeleka nyumbani kwa wazazi wake!!!!
Rais kikwete tutafika kweli,ona huruma hawa binadamu kama sisi!!!