I'm just sitting here and it just hit me... familia zote zenye Albino zipewe leseni na bastola za kujihami nazo. Wapewe mafunzo ya kuzitumia. Hii ni kwa vile serikali imeshindwa kuwalinda na haki yao ya kujilinda na kulinda maisha yao itumiwe.
Wale maalbino watu wazima wapewe bunduki zao wao wenyewe na wale wenye wana familia basi wapewe silaha hizo ili kulinda familia zao.
I'm just sitting here and it just hit me... familia zote zenye Albino zipewe leseni na bastola za kujihami nazo. Wapewe mafunzo ya kuzitumia. Hii ni kwa vile serikali imeshindwa kuwalinda na haki yao ya kujilinda na kulinda maisha yao itumiwe.
Wale maalbino watu wazima wapewe bunduki zao wao wenyewe na wale wenye wana familia basi wapewe silaha hizo ili kulinda familia zao.
Miye hapa naangalia haja ya mtu kulinda maisha yake. Endapo serikali haiwezi kunilinda au kunihakikishia usalama wa uhai wangu ninayo haki ya kutumia uwezo na nguvu yeyote kulinda maisha yangu na ya familia yangu. Of course tukiwapa hizo silaha matumizi yake yatakuwa monitored....
Nafikiri tuna watu wenye akili ya kutosha kufikiri jinsi gani tunaweza kuhakikisha hii programu inafanya kazi. Nawahakikishia wakitangaza tu kuwa maalbino watapewa bunduki kwa siri na watakuwa na haki ya kutembea nayo kwa kuificha (concealed weapon) majambazi na hao wanaowatuma watafiikiria mara mbili hasa jambazi moja likitundikwa risasi jichoni likajaribu kumkamata mzee wa watu. Na ikisikika watu wanne tu wameuawa na Maalbino katika jaribio la kuwaua ili wapate viungo basi ball game ita change kwani huyo Mganda akisema uende kutafuta kiungo cha Albino ahakikishe anakupa "Chekeche"!!
hehehehehe...nimependa hiyo ya "li"....umezungumza kwa machungu na hasira za kuchukizwa na kinachoendelea dhidi ya mazeruzeru....
Polisi mkoani rukwa inamshikilia mkazi mmoja kwa kosa la kupanga dili la kuumuuza mkewe albino kwa sh mil 3.6,habari zinasema john alifanya dili hiyo na wafanyabiashara wawili wa kutoka kongo,mtuhumiwa alikamatwa wiki hii baadaya kugundulika dili lake na hao wakongo,..hata hivyo mtego huo haukuzaa matunda maana hata wanunuzi hawakutokea baada ya kutorka,habaro zinasema wakongo hao walifika katika kijiji hicho na kujifanya wachuuzi wa samaki,na kuanza kuonekana mara kwa mara!!!nyumbani kwa mtuhumiwa,habari zinasema mtuhumiwa alikiri kushiriki katika jaribio hilo la kumuuza mkewe albino janeth mlele,maskini!!!jeshi la polisi linasema mara baada ya hilo walimchukua janth na kumpeleka nyumbani kwa wazazi wake!!!!
Rais kikwete tutafika kweli,ona huruma hawa binadamu kama sisi!!!