ikiwa wiki moja tangu rais kikwete atoe msimamo juu ya mauaji ya albino, tukio hilo limetokea tena huko sumbawanga mpanda, kwa mtoto kukatwa kiganja cha mkono. je, rais aliongea kwa nia ya dhati??
na ni kwel serikali ina nia ya dhati kutokomeza mauaji hayo? na hao watuhumiwa 13 wa kunyongwa rais amekwisha saini?na kwa nini wasionyeshe kwny tv hao wanaotakiwa kunyongwa?