Sirdirashy
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 3,243
- 3,047
Yaani ni aibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeamua Kwa Moyo Wa Dhati Kabisa Kuukana Uraia Wa Tanzania,sitaki Kuwa Mtanzania Na Siitambui Tanzania,ila Nafahamu Kuwa Jakaya Mrisho Kikwete Ni Rais Wa Tanzania, siwezi Kuendelea Kuwa Mtanzania, naogapa Ghadhabu Ya Mungu ambayo muda si mrefu itashuka juu ya taifa hili la kishirikina na Kuangamiza Maelfu Ya Watu,
hakika Mungu amechoka na upuuzi wa hili taifa wa kuua ndugu zake kikatili na kubeba viungo kwa imani za kishirikina,kila siku nalia, nimelia hadi Nimechoka, ndugu Zetu Wanaishi Kama Wanyama Mwitu Ndani Ya Taifa Lao, ili Nikwepe Hasira Za Mungu Juu Ya Hili Taifa Ni Bora Nikaukana Utanzania Mapema Sana, watu Wanadhani Ni Mchezo Lakini ipo siku isiyo na jina
ambapo Tanzania itakuja kupata pigo kubwa sana, ushenzi wa taifa hili hauvumiliki hata chembe, dunia nzima ni Tanzania Pekee inayoua albino kwa imani za kichawi, wakati mataifa yote yanaamini uchawi na hayaui albino, ole Wako Tanzania Maana Siku Zako Zinahesabika Utalia na kusaga meno,kuanzia Leo Sikutambui Tanzania,kaa Na Laana Yako Mimi Simo Najitoa.
Well said...Ushauri wako mzuri!!Wiseboy ulichosema ni sawa lakini kukana Uraia sio suluhisho la matatizo,wala hutakuwa umewasaidia ndugu zetu Albino,badala yake ungekuja kutueleza mbinu mbadala ya kuwanusuru hawa wapendwa wetu,Elewa kwamba''kukimbia tatizo si njia sahihi ya kutatua tatizo''.je ukiukana uraia wako ndo Abino watasalimika?.
Only critical thinkers ndio watakaokuelewa,majority watakuja hapa kukukashifu na matusi juu
Nchi hii kila siku utasikia viingozi wetu wanatuhakikishia kuwa jambo "hili" halitatokea tena!
Mbona yanazidi kutokea tu?Au wahusika wakuu ni ninyi wenyewe?Na sana sana kila tunapoelekea kwenye uchaguzi mambo haya huwa pacha!
Well said...Ushauri wako mzuri!!
Nimeamua kwa moyo wa dhati kabisa kuukana uraia wa Tanzania, sitaki kuwa mtanzania na siitambui Tanzania, ila nafahamu kuwa Jakaya Mrisho Kikwete ni rais wa Tanzania, siwezi kuendelea kuwa mtanzania, naogopa ghadhabu ya Mungu ambayo muda si mrefu itashuka juu ya taifa hili la kishirikina na kuangamiza maelfu ya watu.
Hakika Mungu amechoka na upuuzi wa hili taifa wa kuua ndugu zake kikatili na kubeba viungo kwa imani za kishirikina, kila siku nalia, nimelia hadi nimechoka, ndugu zetu wanaishi kama wanyama mwitu ndani ya taifa lao, ili nikwepe hasira za Mungu juu ya hili taifa ni bora nikaukana utanzania mapema sana, watu wanadhani ni mchezo lakini ipo siku isiyo na jina.
Ambapo Tanzania itakuja kupata pigo kubwa sana, ushenzi wa taifa hili hauvumiliki hata chembe, dunia nzima ni Tanzania pekee inayojua albino kwa imani za kichawi, wakati mataifa yote yanaamini uchawi na hayaui albino, ole wako Tanzania maana siku zako zinahesabika utalia na kusaga meno, kuanzia leo sikutambui Tanzania, kaa na laana yako mimi simo najitoa.
Adhabu imeanzia kahama
Wataipata kanda yote ya ziwa mpk wawaache ndg yetu albino waishi kwa amani