Ukizingatia kuwa mauaji ya albino yanahusishwa na imani za ushirikina na kwamba wengi katika nafasi zao za uongozi na biashara katika nchi hii wanategemea sana nguvu za giza kupitia 'KAMATI za UFUNDI' ambazo kiungo cha albino kwao ni 'ingredient' muhimu sana, ni dhahiri kwamba vita ya kukomesha mauaji ya albino bado ni ngumu sana. Tuendelee tu kumwomba MUNGU atokomeze janga hili.