Tukio lolote la kishirikina linahusisha nguvu za giza. Tuanzie hapa.
Kukabiliana nalo mhusika anahitaji nguvu ya ziada mbali na akili na zana alizotengeneza. Nguvu hii isitoke upande wa giza kwani haitatatua tatizo. Mchawi mwenyewe akikamatwa kwelikweli anayefanya haya atasema nimeelekezwa na mkuu wa giza. Sasa mapambano haya ni dhidi ya YULE anaewapa hawa wachawi UCHAWI wa kufanya wafanyayo. Inahitajika nguvu ya Mungu kuingilia kati.
USHAURI WANGU KWA KIKOSI KAZI CHOCHOTE KInachowasaka hawa majangiri. Maharifa yote yaliotumika mpaka sasa wachache sn waliokamatwa ni waliotenda bila wahusika wakuu na wateja wa wahusika wakuu. Mnawasaka bila mafanikio wao wanajificha na kuwazubaisha kwa kutumia nguvu za giza. Kuwapata tumieni NGUVU ZA GOD ni nuru. NI hivi watafuteni wanamaombi wanaomwomba Mungu katika roho na kweli; WAAMBIENI MNAHITAJI MSAADA WA MUNGU KUPAMBANA NA TATIZO BILA KUWAFICHA. SIO LAZIMA IWE PUBLIC iwekeni kimkakati. Mtaombewa pia mtafunikwa na damu ya yesu kristo. Hapo wachawi na nguvu zao hazita fua dafu japo watakuekeeni mikwala. MSINIULIZE wanamaombi wanapatikana wapi Intelligensia yenu mkitumia mnawapata. Katika makanisa ya kiroho zipo vitengo maalumu vya MAOMBI na ni bule sio kwa pesa. Mkidaiwa pesa jueni hao sio.
Kuweni kama MAKOMANDO WA VITA. KOMANDO akiona plan A inakataa anageukia plan B na kusikiliza maoni ya wanaemwelewa ADUI.
Serekali haina dini. Lakini nyie KIKOSI KAZI katika kukabili janga hili pangeni mambo yenu maofisini baada ya hapo pita najua wengine mtazarau;
HAYA utamfuata mchawi hivi hivi kwa akili zako wakati ukinyanyuka keshakuona kwenye tunguli zake. Anakutia upofu kesi inaishia hewani. Hata hao wateja wao wakuu wanawaficha kwa hizo nguvu za giza. ILA kwa Mungu hakuna linaloshindikana.
HAO waganga wanaowatuma ndio wachawi wenyewe. Mwingine anajifanya kulaani hilo tukio la kuua albino mchana Lakini usiku wanavyofanya mambo yao WANAAGIZWA NA MAGWIJI kutekeleza nao wanatenda. PRICIPLE ZAO NDIO ZILIVYO TENA HAWARUHUSIWI KUTAJANA.
Jk sio kiumbe wa kawaida kwanza hana hasira ya maendeleo, haguswi na matatizo yetu, hana hamasa ya kuonesha umahiri wake ktk uongozi, hakosoi viongozi wake hata wanapoonekana dhahir wamekosea labda kwa shinikizo kubwa n.k uongozi wake umekuwa ni dhaifu zaid kutokea tz na Mungu saidia asitokee kiongozi kama huyu. Pongezi kwako Ndg W. Mkapa
'Kulega kwa idara ya usalama wa taifa'
Kaz zao ni zipi?hata sidhani km kuna huo usalama wa taifa hapa tz