Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

Mimi siungi mkono mauaji ya albino ila utawala wa sheria uzingatiwe.mfano angekamatwa apelekwe kituoni,upelelezi ufanyike akikutwa na hatia afungwe.ila kuua ua si nzuri nimeshuhudia wengi wameuwawa kwa makosa.anaweza kukiri kutokana na kichapo.maana watu wengi wanakiri polisi baada ya kipigo ila kiuhalisia hawajafanya.

Kuna mambo kwenye nji hii kwa sasa tunayafanya kwa lazima kwa sasa, sababu serekali imekuwa legelege inatia aibu kabisa wakiuwawa wawili watatu watakoma
Wapo wengi huko polisi kwako unaposema na hakuna lolote linalofanyika ndugu zetu wanazidi kuumia hivi unadhani hicho kijiji huyo wakala alipouwawa kuna atakayetafuta hivyo viungo kwa muda huu, now wameingiwa hofu kidogo wakiuwawa wengine itakuwa vizuri sana sina imani hata asilimia 20 na serikali hii
 
Mimi siungi mkono mauaji ya albino ila utawala wa sheria uzingatiwe.mfano angekamatwa apelekwe kituoni,upelelezi ufanyike akikutwa na hatia afungwe.ila kuua ua si nzuri nimeshuhudia wengi wameuwawa kwa makosa.anaweza kukiri kutokana na kichapo.maana watu wengi wanakiri polisi baada ya kipigo ila kiuhalisia hawajafanya.

raia hawaziamini tena taasisi za serkali ya CCM zenye mamlaka ya kusimamia na kutekeleza sheria.mfn jeshi la polisi na mahakama.

bora tu walivyo jichukulia sheria mkononi.
 
WanaJF, naomba tujadili hilo suala, mauaji ya Albino yanatokea tunavyokuwa tunaelekea uchaguzi mkuu, wafanyabiashara wasitumike kama chambo, eti utajiri unahusishwa na mauaji ya Albino, wahusishe na uchaguzi mkuu na ushindi wa CCM na wanaCCM.Utafiti wangu umeonyesha hivyo, waganga wa jadi huwadai wanasiasa malipo makubwa ili wawatafutie wanasiasa hayo mafuta na viungo vya albino ili wawafanyie dawa ya kushinda uchaguzi. Wanaouwa indirectly ni wanasiasa na si wanaosaka utajiri. Nashauri kauli mbiu ya kutumika ni ''Kwa nini ushinde uchaguzi kwa Viungo vyangu na si sera''
 
raia hawaziamini tena taasisi za serkali ya CCM zenye mamlaka ya kusimamia na kutekeleza sheria.mfn jeshi la polisi na mahakama.

bora tu walivyo jichukulia sheria mkononi.

Wewe utakuwa bavicha(baraza la vichaa chadema)
 
Kuna mambo kwenye nji hii kwa sasa tunayafanya kwa lazima kwa sasa, sababu serekali imekuwa legelege inatia aibu kabisa wakiuwawa wawili watatu watakoma
Wapo wengi huko polisi kwako unaposema na hakuna lolote linalofanyika ndugu zetu wanazidi kuumia hivi unadhani hicho kijiji huyo wakala alipouwawa kuna atakayetafuta hivyo viungo kwa muda huu, now wameingiwa hofu kidogo wakiuwawa wengine itakuwa vizuri sana sina imani hata asilimia 20 na serikali hii

Wewe utakuwa bavicha(baraza la vichaa chadema)
 
Mimi siungi mkono mauaji ya albino ila utawala wa sheria uzingatiwe.mfano angekamatwa apelekwe kituoni,upelelezi ufanyike akikutwa na hatia afungwe.ila kuua ua si nzuri nimeshuhudia wengi wameuwawa kwa makosa.anaweza kukiri kutokana na kichapo.maana watu wengi wanakiri polisi baada ya kipigo ila kiuhalisia hawajafanya.

Kuna kesi za mauaji kama haya zaidi ya 76 nchi nzima, zilizokwishatokewa hukumu ni 5 tu na kati ya hizo tano watuhumiwa wengine wameachiwa huru kwa rushwa.

Lkn pia muuaji unamfunga ili iwehe? Huko si kubadilisha tu style ya maisha?

Katika hali kama hii unategemea wananchi wasichukue sheria mkononi?

Serikali legelege haioneshi nia ya dhati kukabiliana na hili jambo.
 
Hii habari ya huyo wakala kuchomwa moto imenipa faraja kabisa, inabidi sheria ichukuliwe mkononi hivi hivi maana serikali na vyombo vyake vya dola na sheria wameprove failure ktk hili.
 
Kumekuwa na maneno mengi sana ya kuhusisha mauaji ya ndugu zetu Albino na harakati za uchaguzi mkuu. Hali hii ni tokea mwaka 2005 hadi sasa. Nimejaribu kusikiliza baadhi ya kauli za wabunge kadhaa watokao kanda ya ziwa kuliko bobea mauaji hayo kuna kitu kinaleta alama nyingi za kuuliza kwani baadhi yao pamoja na kukithiri kwa mambo hayo katika majimbo yao wamekuwa na kigugumizi kama vile kuna kitu wanajua au wanahusika.
Jee sio jambo jema kiuchunguzi tukaanza nao kwa kupitia mamlaka zinazohusika na wananchi wenyewe (kama upelelezi shirikishi) ili kujua ukweli na kuponya ndugu zetu? Nakumbuka 2010 mgombe mmoja toka chama kimoja alihusishwa wazi wazi na tuhuma hizo za kishirikina kule Kigoma lakini alilindwa na hakufanywa lolote lile.
 
Mi nasapoti 10000%. Wachunguzwe.
Sawa mkuu. Naomba nikuulize jambo moja. Bariadi ni moja ya maeneo ambayo mauaji hayo yamekisiri sana, jee ulishawahi kusikia kauli hata moja tuu kutoka kwa mwakilishi wa wananchi wa Bariadi Mhe Chenge? Anyway sio kwamba namtuhumu nimetoa mfano tuu wa Wabunge wa maeneo hayo.
 
wewe unautani na mzee wa vijisent kumbe? subiri yakukute.

Kumekuwa na maneno mengi sana ya kuhusisha mauaji ya ndugu zetu Albino na harakati za uchaguzi mkuu. Hali hii ni tokea mwaka 2005 hadi sasa. Nimejaribu kusikiliza baadhi ya kauli za wabunge kadhaa watokao kanda ya ziwa kuliko bobea mauaji hayo kuna kitu kinaleta alama nyingi za kuuliza kwani baadhi yao pamoja na kukithiri kwa mambo hayo katika majimbo yao wamekuwa na kigugumizi kama vile kuna kitu wanajua au wanahusika.
Jee sio jambo jema kiuchunguzi tukaanza nao kwa kupitia mamlaka zinazohusika na wananchi wenyewe (kama upelelezi shirikishi) ili kujua ukweli na kuponya ndugu zetu? Nakumbuka 2010 mgombe mmoja toka chama kimoja alihusishwa wazi wazi na tuhuma hizo za kishirikina kule Kigoma lakini alilindwa na hakufanywa lolote lile.
 
Back
Top Bottom