Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

CCM Ni chama cha wauwaji, Majangili...

Kabisa,imecheki Jana Star TV Mwenyekiti wa TAS chama cha maalibino aliunda mtego kwa kushirikiana na Zelothe Steven,kwa kunyoa nywele zake ma kumuuzia mtu,kumkamata akakiri kuuziwa naye,kufika mahakamani nywele zikapelekwa kwa mkemia mkuu..kurudi zikarudi nywele za mudoli na kesi ikaisha
 
Kwanza hawa watu hata ikitokea wameshindwa uchaguzi, inabidi kuwadhibiti vilivyo, vinginevyo wanaweza kufanya vitu vya ajabu kiasi kwamba hii nchi ikawa haikaliki. watu waliozoea kuua ndio mambo yao yaende si watu wazuri asilani.
ni kweli mkuu ccm uwezekano wa kushindana kwa ccm ni mgumu sana jana wameona matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa huko sumbawanga jinsi ccm walivyoangukia pua hizo ndo dalili za ccm kuchokwa na wananchi kama sisi huku ARUSHA ccm wamebakia masalia wachache mwaka tunataka KUWAFUTA NA KUWADELETE CCM KABISA .
 
Kiongozi mzuri ni yule anayeleta matokeo chanya kwa chama au taasisi, Vipi matokeo ya jana kule Sumbawanga umeyapata??
Wa kulaumiwa hapa ni Kinana pekeyake? Dr Slaa alianguka urais 2010, alipaswa kuendelea na wadhifa huo?
 
Dr slaa aliamua kwa ridhaa yake kuondokana na upadri baada ya kuona maisha ya useja hatayaweza tena

Akaomba kibali kwa Papa...akaruhusiwa kuacha...

Huo pia ni utaratibu ndani ya kanisa katoliki

Sifa ya Dr Slaa ni mkweli na mwadilifu....ameona hawezi akaamua kuomba kuacha...sio kama mapadri wengine siku hizi wana watoto na bado wanaendelea na upadri wao.

Dr slaa ni kiongozi wa pekee.

Come to Kinana

Huyu jamaa Kampuni yake Ashraf shiping Agency imehusika na kusafirisha pembe za ndovu...Amenufaika na mapato ya biashara hio haramu kama shareholder wa hio kampuni(Shereholders ni yeye na mkwewe).Kwa lugha nyingine kinana anafanya biashara haramu ya Pembe za ndovu
Shukrani sana kwa maelezo yaliyonyooka
 
Wa kulaumiwa hapa ni Kinana pekeyake? Dr Slaa alianguka urais 2010, alipaswa kuendelea na wadhifa huo?
Kujenga cha na kuongoza chama ni vitu viwili tofauti, nyakati hizo Dr Slaa alikuwa anajenga chama, ambapo sasa anaongoza chama sawa na Kinana anaongoza Chama kikuu tawala. hivyo sasa tunawapima kwa matokeo ya chaguzi hizi
 
CCM ni wauwaji...kuna ushahidi usio na shaka kwamba mtoto aliyeuawa juzi ni viongozi wa CCM wasaka urais kundi la mwigulu ndi waliohusika.....Kuna ushahidi wa wazi...narudia...wakati ukifika tutayaweka wazi

Hembu ni saidieni kwani huu uuwaji na utekaji wa watu ulianza muongo upi wa Ndg Allhassan Mwinyi, Ndg Benjamin Mkapa, au Ndg Jakaya Kikwete nani kwa nini.
 
Hembu ni saidieni kwani huu uuwaji na utekaji wa watu ulianza muongo upi wa Ndg Allhassan Mwinyi, Ndg Benjamin Mkapa, au Ndg Jakaya Kikwete nani kwa nini.

Mauaji yalianza mwaka 2006...Kipindi cha Kikwete...Hadi sasa 76 wameuawa...18 wamepata ulemavu....

Tunaposema CCM ya Kikwete inahusika hatutanii

La juzi geita kundi la kina Mwigulu limehusika
 
Dr slaa aliamua kwa ridhaa yake kuondokana na upadri baada ya kuona maisha ya useja hatayaweza tena

Akaomba kibali kwa Papa...akaruhusiwa kuacha...

Huo pia ni utaratibu ndani ya kanisa katoliki

Sifa ya Dr Slaa ni mkweli na mwadilifu....ameona hawezi akaamua kuomba kuacha...sio kama mapadri wengine siku hizi wana watoto na bado wanaendelea na upadri wao.

Dr slaa ni kiongozi wa pekee.

Come to Kinana

Huyu jamaa Kampuni yake Ashraf shiping Agency imehusika na kusafirisha pembe za ndovu...Amenufaika na mapato ya biashara hio haramu kama shareholder wa hio kampuni(Shereholders ni yeye na mkwewe).Kwa lugha nyingine kinana anafanya biashara haramu ya Pembe za ndovu
Ni kweli aliondoka kule kwenye Upadre akiwa tayari ana watoto wawili wakubwa tu. Kwamba kesharuhusiwa na Pope kuacha useja sidhani kama ni kweli. Hakufunga ndoa na Rose Kamili na hana ndoa na hiki chuma chake kipya.

Tuyaache hayo. Bado Kinana ni Katibu Mkuu mzuri sana. CCM imeharibika kiasi. Kurekebisha hali hii ni kazi ngumu sana. Unapomiliki vyombo vya usafiri utasafirisha kila kitu. Umewahi kusikia ya Dr Slaa wakati akiwa ni Katibu mkuu wa TECna biashara yake ya magari?
 
Kujenga cha na kuongoza chama ni vitu viwili tofauti, nyakati hizo Dr Slaa alikuwa anajenga chama, ambapo sasa anaongoza chama sawa na Kinana anaongoza Chama kikuu tawala. hivyo sasa tunawapima kwa matokeo ya chaguzi hizi
Kinana yeye bado anajenga chama haijulikani lini ataanza kukiongoza.
 
Sijui kwanini wasiunde kikosi cha kupambana na janga hili kama ilivyo kwa madawa ya kulevya?????
 
Haya mambo ni makubwa sana. Nashangaa kwa nini hayashughulikiwi kwa ukubwa unaostahili. Ninapolinganisha na jinsi suala la Ulimboka lilivyopelekwa pelekwa naoona kiza nene kati ya Wanaotakiwa kuchukua hatua na wachukuliwa hatua. Naona ni kama kitu kimoja
 
Ni kweli aliondoka kule kwenye Upadre akiwa tayari ana watoto wawili wakubwa tu. Kwamba kesharuhusiwa na Pope kuacha useja sidhani kama ni kweli. Hakufunga ndoa na Rose Kamili na hana ndoa na hiki chuma chake kipya.

Tuyaache hayo. Bado Kinana ni Katibu Mkuu mzuri sana. CCM imeharibika kiasi. Kurekebisha hali hii ni kazi ngumu sana. Unapomiliki vyombo vya usafiri utasafirisha kila kitu. Umewahi kusikia ya Dr Slaa wakati akiwa ni Katibu mkuu wa TECna biashara yake ya magari?

Dr Slaa aliomba kuacha uPadri tangu mwaka 1986....Wakati huo hata mtoto mmoja hajazaliwa...Acha kupotosha

Sema Process ya hadi Pope ku approve hua inachukua miaka

Na ndicho kilichotokea.

Aliamua yeye kuacha kwa dhamiri yake bila kushurutishwa na mtu yeyote

Naturally ukiishi na mtu under one roof kwa miezi sita while cohabiting hio ni ndoa...Marriage Act ya Tanzania,1971.Ndicho kilichotokea kwa Rose.

Tuyaache hayo.

Ukatibu mkuu mzuri wa kinana unatokana na nini?
Huyu amenufaika na mapato haramu...anafaa kujiuzulu...hafai hata kusimama mbele ya watu
CCM ni chafu...sio imeharibika kiasi....Imeoza
Usidanganye watu kuwa eti ukiwa na kampuni ya Usafiri utasafiri unasafirisha kila kitu...really? Hata madawa ya kulevya?
 
Mauaji yalianza mwaka 2006...Kipindi cha Kikwete...Hadi sasa 76 wameuawa...18 wamepata ulemavu....

Tunaposema CCM ya Kikwete inahusika hatutanii

La juzi geita kundi la kina Mwigulu limehusika
ipo siku Mungu atawaumbua wahusika wote .
 
Kujenga cha na kuongoza chama ni vitu viwili tofauti, nyakati hizo Dr Slaa alikuwa anajenga chama, ambapo sasa anaongoza chama sawa na Kinana anaongoza Chama kikuu tawala. hivyo sasa tunawapima kwa matokeo ya chaguzi hizi
Kwamba Dr Slaa alikuwa anajenga chama alichokikuta! Sikatai, CHADEMA imefanya vizuri sana chaguzi za mitaa mwaka huu.

Sumbawanga wana machungu yao kwa CCM yakiwemo mashamba ya akina Mzindakaya na Mwingira wa EFATHA.
 
kinana amemaliza tembo na safari hii tembo wamegoma kuzaliana kwa sababu yake
 
mwigulu huyu ni muuaji,nakumbuka mabomu ya arusha siku moja kabla ya mkutano wa chadema kupigwa mabomu aliitisha kikao cha wana ccm na kuwasihii wawaambie ndugu zao wasiudhurie ule mkutano na atakayekaidi asimlalamikie yeye ameshatoa taarifa
 
Dr Slaa aliomba kuacha uPadri tangu mwaka 1986....Wakati huo hata mtoto mmoja hajazaliwa...Acha kupotosha

Sema Process ya hadi Pope ku approve hua inachukua miaka

Na ndicho kilichotokea.

Aliamua yeye kuacha kwa dhamiri yake bila kushurutishwa na mtu yeyote

Naturally ukiishi na mtu under one roof kwa miezi sita while cohabiting hio ni ndoa...Marriage Act ya Tanzania,1971.Ndicho kilichotokea kwa Rose.

Tuyaache hayo.

Ukatibu mkuu mzuri wa kinana unatokana na nini?
Huyu amenufaika na mapato haramu...anafaa kujiuzulu...hafai hata kusimama mbele ya watu
CCM ni chafu...sio imeharibika kiasi....Imeoza
Usidanganye watu kuwa eti ukiwa na kampuni ya Usafiri utasafiri unasafirisha kila kitu...really? Hata madawa ya kulevya?

Well done mkuu
 
Back
Top Bottom