mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,170
a
Padre Slaa alivuruga useja muda mrefu kabla hajaacha upadre. Huyu baba muda huu angekuwa ni Askofu kwa nafasi ile aliokuwa nayo TEC. Makatibu wengi wa TEC kama si wote wamekuwa Maaskofu. Hauwezi kuiacha sacramenti ile halafu ukawa kiongozi mzuri kwingineko.
Hiyo Shipping Agency iliachwaje na Wachina walivyo wakali vile?
Naona ulikuwa unamshikia miguu .