pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Nimemsikia mlevi moja anasema (Babu wa mbwa ni mmoja tu)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kishanuka sasa subir tuone mengneIran hana ubavu wa kuthubutu kuchokoza mziki wa America.. Marekani ameshasema aguse maslahi yake au base yake yoyote aitakayo alafu wao watajibu kwa haraka na kwa nguvu ambayo haijawahi kuonekana popote pale duniani kwahiyo Iran iache singeli inatakiwa ijibu kama mwanamme kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe unasib itisha Irani ni gaidi umetumia vigezo vipi!Na kama Usa sio gaidi anafuata nini nchi za watu na usa akitimba kwako kukupa msaada wa kijeshi basi tambua ndio anakuongezea majanga icheki Iraq Libya NK.nchi zimechoka kama mbwa alielambwa na chatuIran ni magaidi inapaswa yapigwe kila kona duniani