Nyie siku zote si mnachinjana tuHadi mnatupiku.
Umemwambia hivyo mwenzio... Kumbe nchi yenu ndo ipo hivyo.Nyie siku zote si mnachinjana tu
That's a crime... It isn't legalized in our country.....And such kind of cases occur throughout Africa.... Or hasn't Kenya experienced such kind of cases?
Istitution zipi hizo 'strong' nchini Tz wakati mihimili yote haipo huru? Unamaanisha mahakama za kungoja maagizo kutoka juu, bunge la kuimba chorus ya ndiooo ama policcm? Labda muwe role models wetu kwenye kuimbia mapambio ya kumsifia mfalme na kukung'utwa kama mbwa koko. [emoji1][emoji1][emoji1]Maisha, tunazo speeches za baba wa taifa husikilizwa, tuna strong institutions, very mixed cultures and religions.
We will be your role models.
Sent using Jamii Forums mobile app
Refer to my post...,I've told you the act is illegal.... And you haven't respond to my question yet.Tanzania albino murders: 'More than 200 witchdoctors' arrested
Kenya ukigusa viongozi wa kisiasa ujue huo ndio mwisho wako,
1)Pio Gama Pinto
2)Tom Mboya
3)Robert Aoko
4)Jacob Juma
5)Chris Msando
6)Aboud Rogo
7)Makaburi
8)Mmiliki wa Modern coast buses
Hawa ni baadhi tu ya watu waliouliwa kinyama chini ya uangalizi wa serikali/Viongozi wa Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
[/
Chris musendo sio msando
Alafu umemsahau George saitoti
Chris musendo
Huku keetu tunawachinja albino si unajua uchaguzi unakaribia.Nyie siku zote si mnachinjana tu
Albino wamekwisha tutachinja Jaluo 500 ikifika 2022Huku keetu tunawachinja albino si unajua uchaguzi unakaribia.
Alafu mtupiku
Vipi kuhusu CJ Mariga anavyolalamika kwamba serikali inaingilia Uhuru wa mahakama?. Unakumbuka baada ya mahakama kutenguo matokeo ya uchaguzi, Uhuru Kenyatta alivyomtukana na kumtishia CJ?Istitution zipi hizo 'strong' nchini Tz wakati mihimili yote haipo huru? Unamaanisha mahakama za kungoja maagizo kutoka juu, bunge la kuimba chorus ya ndiooo ama policcm? Labda muwe role models wetu kwenye kuimbia mapambio ya kumsifia mfalme na kukung'utwa kama mbwa koko. [emoji1][emoji1][emoji1]
Kenyan Government systematically plans to eliminate JaluosTanzania albino murders: 'More than 200 witchdoctors' arrested
Vipi kuhusu hilo? Hilo si ndio jukumu na wajibu wa CJ? Kudumisha heshima ya mahakama na kuwakumbusha wananchi na wanasiasa pia, akiwemo rais, kuhusu mipaka yao kisheria? Tena hasira hizo za rais UK zilikuwa kupitia tamko kama mgombea urais kwenye kampeni na sio kama rais. Hivi Tz mna CJ kweli au mna kada tu ambaye aliteuliwa na mzee kwasababu anayo kadi ya uanachama wa sisiemu?Vipi kuhusu CJ Mariga anavyolalamika kwamba serikali inaingilia Uhuru wa mahakama?. Unakumbuka baada ya mahakama kutenguo matokeo ya uchaguzi, Uhuru Kenyatta alivyomtukana na kumtishia CJ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kuhusu CJ Mariga anavyolalamika kwamba serikali inaingilia Uhuru wa mahakama?. Unakumbuka baada ya mahakama kutenguo matokeo ya uchaguzi, Uhuru Kenyatta alivyomtukana na kumtishia CJ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeishiwa wewe, badala ya kujenga hoja, umebaki kuweka vipicha vya kishabiki. Jenga hoja wenye akili wazijadili.
Hahahaha, wewe ni pimbi kweli, rais aliyeko madarakani ambaye hajakabidhi madaraka anamtukana na kumtishia CJ huku akiidhalilisha mahakama unasema ni mgombea sio rais, kweli wakenya hamna akili.Vipi kuhusu hilo? Hilo si ndio jukumu na wajibu wa CJ? Kudumisha heshima ya mahakama na kuwakumbusha wananchi na wanasiasa pia, akiwemo rais, kuhusu mipaka yao kisheria? Tena hasira hizo za rais UK zilikuwa kupitia tamko kama mgombea urais kwenye kampeni na sio kama rais. Hivi Tz mna CJ kweli au mna kada tu ambaye aliteuliwa na mzee kwasababu anayo kadi ya uanachama wa sisiemu?
Pole usilie basi. Hii itakuwa imekugusa pahali.Umeishiwa wewe, badala ya kujenga hoja, umebaki kuweka vipicha vya kishabiki. Jenga hoja wenye akili wazijadili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa kwamba nyinyi ni wale wale ambao huwa mnavalia rangi za sisiemu hadi kwenye hafla za kitaifa. Kwahivyo hutanielewa, labda nikuchoree kibonzo. 😀 Acha nitumie video kwa leo. Hii ndio siku ambayo rais UK alimwaga povu na kuwaita majaji wakora, baada ya wao kumpokonya kipisi cha 'nyam chom', ambacho kilikuwa tayari kipo mdomoni.Hahahaha, wewe ni pimbi kweli, rais aliyeko madarakani ambaye hajakabidhi madaraka anamtukana na kumtishia CJ huku akiidhalilisha mahakama unasema ni mgombea sio rais, kweli wakenya hamna akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Definately, haha! 😀 Umeona alivyohepa swali langu kuhusu CJ wao? Hivi anaitwaje huyo Jaji Mkuu wa Tz, na amefanya lipi la maana ili tumjue na tumkumbuke? Usije ukapata ni yule jamaa wa mapepe, Kingwedu. [emoji1]Pole usilie basi. Hii itakuwa imekugusa pahali.