900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Hivi lile jaribio la kumuua Lisu uliipaga jina gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi katika mikutano ya BBI hadi sasa Jaluo wangapi mumeshawapiga risasi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo huyo Kipyegon Kenei hajauawa au?Hivi lile jaribio la kumuua Lisu uliipaga jina gani
Subirini mkishakatana mapanga tutakuja kuwasuluhisha.Basi wacha kutonuooshea kidole kimoja wakati tatu zinakuangalia.
Kwa hivo Azory Gwanda amepatikana?Kwa hiyo huyo Kipyegon Kenei hajauawa au?
Nenda kamtafute kama unataka. Tusichoshane na vijimaswali visiyo na miguu wala mikono.Kwa hivo Azory Gwanda amepatikana?
That is a crime act like terrorism in Kenya, is not Government sponsored crime like Jaluo killingsTanzania albino murders: 'More than 200 witchdoctors' arrested
Zipi hizo zinazotuangalia?, acheni kujilinganisha na Tanzania katika mauaji ya kiholela, Tanzania yametokea mara chache sana, ndio sababu Tanzania ipo namba 54 duniani kwa amani wakati Kenya mnashika namba 145, hivi kweli mnawezaje kulinganisha namba 54 na 145?. Lazima mkubali ukweli ili muweze japo kujifunza namna ya kupata usalama na amani nchini mwenuBasi wacha kutonuooshea kidole kimoja wakati tatu zinakuangalia.
Mambo yanabadilika Tz na msipochunga mtakuwa worse than Kenya.Zipi hizo zinazotuangalia?, acheni kujilinganisha na Tanzania katika mauaji ya kiholela, Tanzania yametokea mara chache sana, ndio sababu Tanzania ipo namba 54 duniani kwa amani wakati Kenya mnashika namba 145, hivi kweli mnawezaje kulinganisha namba 54 na 145?. Lazima mkubali ukweli ili muweze japo kujifunza namna ya kupata usalama na amani nchini mwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri kwanza hadi tukifika hapo ndio utapata uhalali wa kutushauri, lakini kwa sasa hivi tupo vizuri bado, na katika rankings zinazofuata tunategeme kufika vizuri zaidi ya mwaka janaMambo yanabadilika Tz na msipochunga mtakuwa worse than Kenya.
Maisha, tunazo speeches za baba wa taifa husikilizwa, tuna strong institutions, very mixed cultures and religions.Mambo yanabadilika Tz na msipochunga mtakuwa worse than Kenya.
Ni mwaka was kampeni Mambo mengi yanasafishwa ili kupata Kura.Subiri kwanza hadi tukifika hapo ndio utapata uhalali wa kutushauri, lakini kwa sasa hivi tupo vizuri bado, na katika rankings zinazofuata tunategeme kufika vizuri zaidi ya mwaka jana
Sent using Jamii Forums mobile app
No one can stop reggae.Ni mwaka was kampeni Mambo mengi yanasafishwa ili kupata Kura.
Kifikia sasa, wakenya wanataka ku kopi pasti Katiba ya Tanzania kwa mchakato wao wa BBI..Hadi wakaalika Kabudi wapee somo la bure😂😂😂Subiri kwanza hadi tukifika hapo ndio utapata uhalali wa kutushauri, lakini kwa sasa hivi tupo vizuri bado, na katika rankings zinazofuata tunategeme kufika vizuri zaidi ya mwaka jana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati huko kwenu ukifika mwaka wa kampeni ndio mnachinjana zaidiNi mwaka was kampeni Mambo mengi yanasafishwa ili kupata Kura.
Haven't heard of one trying to stop it.No one can stop reggae.
Hadi mnatupiku.Wakati huko kwenu ukifika mwaka wa kampeni ndio mnachinjana zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
No one will even attempt to do that.Haven't heard of one trying to stop it.
That's a crime... It isn't legalized in our country.....And such kind of cases occur throughout Africa.... Or hasn't Kenya experienced such kind of cases?People have been trying to kill Josephat Torner since the day he was born.
In his rural Tanzania hometown, some encouraged Torner's parents to poison him, saying an albino baby was a curse.