pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Uislamu sijui ni kwanini unaamini sana ktk umwagaji damu! Udini! Vita! chuki! uhasama!
Huwa naitafakari sana hii dini!
Huwa naitafakari sana hii dini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mohamed alsharaa jawlan(Golan) mzaliwa wa milima ya Golan ni jasusi wa israel na USA, alikua isis mwanzo,akaunda kundi lake,so anachofanya wakubwa hawawezi mlaumu,vumilia tu,ulifurahia kukomeshwa njia ya hizbullah kupitisha silahaHuko Syria mauaji ya kutisha sana yanaendeshwa na askari wa utawala mpya kwa Wakristo na Alawite wanaotuhumiwa kuwa walikuwa wafuasi wa rais Assad aliyepinduliwa. Wakati mauaji haya ya kutisha yakiendelea huko Syria ulimwengu umeshikwa na kigugumizi na hatimaye kupotosha waziwazi Kuhusu mauaji hayo hii inaonyesha wazi ni jinsi gani Umoja wa Mataifa na Jumuia zake walivyo wanafiki wa kutupwa!!!View attachment 3269215
Hapo uislam uko wapi?..huko palikua pametulia kabla ya george bush na tony blair kuizulia uwongo Iraq na kuivamia na kuua wairaq zaidi ya milioni,na bush alitangaza ni vita vya msalabaUislamu sijui ni kwanini unaamini sana ktk umwagaji damu! Udini! Vita! chuki! uhasama!
Huwa naitafakari sana hii dini!
Ni kama vichaa fulani hivi.Wakati wanawaua wenzao wanapiga kelele "Allah Akbar" Sasa sijui huwa kuna uhusiano gani kati ya huo mlio wa Allah Akbar na damu za watu!
Kumbe wewe ni mwehu kabisa eti vita vya Msalaba!!!Hapo uislam uko wapi?..huko palikua pametulia kabla ya george bush na tony blair kuizulia uwongo Iraq na kuivamia na kuua wairaq zaidi ya milioni,na bush alitangaza ni vita vya msalaba
Nenda kawaokoe!Huko Syria mauaji ya kutisha sana yanaendeshwa na askari wa utawala mpya kwa Wakristo na Alawite wanaotuhumiwa kuwa walikuwa wafuasi wa rais Assad aliyepinduliwa. Wakati mauaji haya ya kutisha yakiendelea huko Syria ulimwengu umeshikwa na kigugumizi na hatimaye kupotosha waziwazi Kuhusu mauaji hayo hii inaonyesha wazi ni jinsi gani Umoja wa Mataifa na Jumuia zake walivyo wanafiki wa kutupwa!!!View attachment 3269215
Mazuzu hayo!Ndio mliyataka aya!!! Tukiwaambia IRAN taifa teulle mnabisha na kuleta ulokole wenu!!!
sasa Assad alikuwa anasapotiwa na Iran Wagalagatia wenzenu walikuwa Salama sasa kiongozi mpya anaugwa mkono na ISRAEL!!!!
kazi moja kwasasa mnapigwa kipondo cha taifa teule!!!
ndio mkiambiwa Waisrael na wakristo ni paka na panya awaivi popote!!! Japo mmngekuwa na uwelewa mngewaunga mkono WaIran!!!
Ayatollah japo anashehelekea Xmas lkn nyie mmegandana na Israel aya sasa mchutame tu!!!!! Msitafute pakuegemea!!!!!
Syria ya Asad ilikuwa na amani sana
sio wanadaiwa bali walishambulia jeshi la serikali huko mji wa kaskazin ya Syria , watu mnapenda kuihadithia stori kwenye namna mnataka mmoja aonekane mbaya , hHuko Syria mauaji ya kutisha sana yanaendeshwa na askari wa utawala mpya kwa Wakristo na Alawite wanaotuhumiwa kuwa walikuwa wafuasi wa rais Assad aliyepinduliwa. Wakati mauaji haya ya kutisha yakiendelea huko Syria ulimwengu umeshikwa na kigugumizi na hatimaye kupotosha waziwazi Kuhusu mauaji hayo hii inaonyesha wazi ni jinsi gani Umoja wa Mataifa na Jumuia zake walivyo wanafiki wa kutupwa!!!View attachment 3269215
Syria ilishakuwa failed state. Kila mtu anayetaka kipande Cha Ardhi Anaenda kumega Syria.
Umetoa hukumu kijinga. Habari inaonekana kuwa ni sababu za kisiasa na sio Dini.Hii dini ni zaidi ya Ukichaa.
Uliza kilichotokea Rwanda watakwambia vile Mapadiri walikuwa wakichinja watu,ni misikitini tu na waislaam ndio hawakushiriki unalijuwa hilo wewe Ngosha?Hii dini ni zaidi ya Ukichaa.
Middle east ubaguzi na udini unawaharibia sanaHuko Syria mauaji ya kutisha sana yanaendeshwa na askari wa utawala mpya kwa Wakristo na Alawite wanaotuhumiwa kuwa walikuwa wafuasi wa rais Assad aliyepinduliwa. Wakati mauaji haya ya kutisha yakiendelea huko Syria ulimwengu umeshikwa na kigugumizi na hatimaye kupotosha waziwazi Kuhusu mauaji hayo hii inaonyesha wazi ni jinsi gani Umoja wa Mataifa na Jumuia zake walivyo wanafiki wa kutupwa!!!View attachment 3269215