Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika!


GuDume naona umeshamjua huyu mtu kaliba zake na ni wale walioyapinga mapinduzi na kubadili kabisa historia ya nguvu za Okello
mm nimeachana naye kwa vile tu Mada ni ya kifo cha Mh Karume na muuaji wake ni Kanali Humud Humud
acha mada iendelee

Acheni kuishi kwa misingi ya Propaganda
 

hapa kama kuna aina ya ukweli japo sina hakika sana
 
Acheni kuishi kwa misingi ya Propaganda
wewe ni kupinga kila kitu na kuficha hoja zako
ziweke hapa bayana tuzichambue
wengine tumeishi na hao waarabu, tumetembelea Museum za hapo Zanzibar na tunajua chuki za Hizbu, Shiraz na wakulima & wakwezi\leta hoja zako usipinge mara tunaropoka mara propaganda
ni vizuri Historia iandikwe upya
 

Tatizo la kwanza mkuu unaleta mambo ya waarabu. Hivi kuna sehemu mimi nilimtaja muarabu? mbona unachngaya mambo? mada ni Okello sasa mnatoka mnaleta story za Sultan na Muarabu. Tumzungumze huyo Okello ili tufahamiane.
 

Na mkuu story za zakuahadithiwa museum ndio hizo nilizosema propaganda zenyewe. Mnadanganywa tu mule.
 
Tatizo la kwanza mkuu unaleta mambo ya waarabu. Hivi kuna sehemu mimi nilimtaja muarabu? mbona unachngaya mambo? mada ni Okello sasa mnatoka mnaleta story za Sultan na Muarabu. Tumzungumze huyo Okello ili tufahamiane.
Ok hii Mada ni ya Karume na si Okello
Okello aliyeongoza mapinduzi aliuawa na Idd Amini
kwa vile una habari nzuri ya kuirekebisha hii Historia ya Karume na Okello ungetuwekea
maana nijuavyo waarabu wote hawayakubali Mapinduzi wanaona km Kisiwa ni cha Sultan Sayyid
ndio maana tukiwaeleza chimbuko la Kifo cha Karume wanahemuka
Tunakusikiliza Mkuu maana toka mwanzo hujatanabaisha chochote
 
Sheria ya siri ni miaka 50, hivyo subiri 2021 zitafunguliwa. Kuanzi baada ya Desember 9 mwaka huu, siri za uhuru na serikali ya Tanganyika zitamwagwa hadharani.
Sifikiri kama siri kwenye suala hili zitatolewa. Wakizitoa si ndio itakuja kuwa aibu na uhasama baina ya pande mbili?

Lisemwalo lipo....

Nasikia Mzee Karume alipoanza kusema Muungano mwisho chumbe/muungano ni kama koti basi ndio ikawa sababu ya kumshuhulikia....
 
maana nijuavyo waarabu wote hawayakubali Mapinduzi wanaona km Kisiwa ni cha Sultan Sayyid
ndio maana tukiwaeleza chimbuko la Kifo cha Karume wanahemuka
Sio waarabu, majority ya wazanzibari baada ya kuijua historia ya kweli mapinduzi hawayakubali, na hakuna anaesema kuwa kisiwa ni cha sultan. Uhuru wa Zanzibar ulipatikana 1963 kutoka kwa mkoloni muingereza.

Halafu ndio kwanza nikusikie weye kuwa waarabu wanahemuka wakisikia habari za kifo cha Karume, habari hawana mkuu. Wameyasahau tayari. Kabla ya kupinduliwa Zanzibar iliheshimika, baada ya mapinduzi zanzibar imedharaulika. Sasa wahemuka kwanini zaid ya kutucheka tu?
 
Hivi wenyeji hasa wa Zanzibar ni watu wa jamii/kabila gani?

Mkuu Zanzibar wote kiasili ni wahamiaji, Kama ilivo kwa Tanzania Bara pia. Anapotokea mtu kujinasibu kuwa yeye mwneyeji wa asili wa Tanzania ni muongo tu. Kila kabila ukilipekua halina hata miaka mia 500 katika eneo la Tanzania Bara.
 

Mkuu hawa hakifahamu hata wanachokizungumza. Tatizo kubwa la kubeba propaganda bila kuufahamu ukweli kiuhalisia.
 

Kuna baadhi ya watu wanajaribu kuwaaminisha watu kuwa Mapinduzi ya Zanzibar yalifanywa na Okello. huku wakitumia kitabu alichokiandika yeye mwenyewe okello na hizo picha chache zilizopo juu hapo kama ndio reference kuu.
Na kuna na wengine wanaamisha watu kuwa mapinduzi ya Zanzibar yalifanywa na Karume. Hawa wao wanakosa mashiko ya aina yoyote kabisa. Hawana refrence zozote bali tu watulazimisha tuamini wanavosema. (Nahuo ndio msimamo wa Serekali zote mbili za SMZ na SMT)
Wapo wengine wanaosema kuwa mapinduzi ya Zanzibar yalifanywa na Umma Party. (Kama umeptia historia vizuri utakuwa unawafahamu)
Na kuna na wengine wanasema mapinduzi yamefanywa na Nyerere.

Mkuu yote haya umeshayasikia au kuna geni?
 
Nashukuru kwa elimu hiyo.
Lengo langu lilikuwa kujua kati ya jamii za kibantu na kiarabu ipi ilianza kuingia Zanzibar?

Jamii ya kibantu ilikuwepo mwanzo, ikaja ikatawaliwa na mreno, wareno wakaja kuondolewa na waarabu wa oman (hawa waliitwa na wenyeji).
 
Yote nimeyasikia na ya kwako naongezea katika Elimu ya mapinduzi ila jazia jazia Mkuu
 
Jamii ya kibantu ilikuwepo mwanzo, ikaja ikatawaliwa na mreno, wareno wakaja kuondolewa na waarabu wa oman (hawa waliitwa na wenyeji).
upo sahihi lakini wenyeji walipotaka kumuondoa muarabu wa Oman wakashindwa, kwa nini walimuita Muingereza akaja kupiga vita ya dk 20 na kumuweka mtu wake toka Oman
na kwanini wenyeji waliamua wenyewe Jamuari 12 kujichukulia hatua mkononi kufanya mapinduzi wengine hawakuyakubali?
Je una habari hata ya Marehemu Karume yalikuwa yawe Mapinduzi? na mpaka leo kuna ombwe mbili bado ?
 
Napata kitu hapa.
Hayo maneno uliyo_bold ulimaanisha nini?
Hao wakazi Wa visiwa, waliwaita waje kuwasaidia kuwaondoa wareno, kwa vile wao (walioitwa) walifanikiwa kuwaondoa wareno kwao.
 
upo sahihi lakini wenyeji walipotaka kumuondoa muarabu wa Oman wakashindwa, kwa nini walimuita Muingereza akaja kupiga vita ya dk 20 na kumuweka mtu wake toka Oman

Mimi nakushauri tu, rudia tena kusoma historia ndugu yangu mana ili ulichoandika ni dhahir shahir kuwa kumbe huijui hii habari au wamekulisha uongo waliokufundisha.

Wenyeji wametaka kumuondoa muarabu wa oman, halafu wakamwita muingereza akaja akapiga vita halafu wakamueka tena mu Oman? hujaona contradiction kweli katika ulichoandika? Wametaka kumuondoa mu oman ili awekwe mu oman?

Anyways, hii incident iko well known and it is very clear. Hii haikuwa vita baina ya Wazanzibar na waoman, hii ilikuwa vita baina ya ndugu wenyewe katika ufalme wakitaka kupinduana.

na kwanini wenyeji waliamua wenyewe Jamuari 12 kujichukulia hatua mkononi kufanya mapinduzi wengine hawakuyakubali?
Wenyeji kama wapi? Utawala wa kisultan unajua umetawala miaka mingapi Zanzibar? hao unaowasikia kuwa ndio wanajisifia mapinduzi wao wenyewe wakuja tu. ni vugvugu la watu wachache tu na hata wenyeji hawakutegemea. Mapinduzi yalobarikiwa na wenyeji huwezi kutumia nguvu kuwatuliza watu na wala huwezi kuwa na khofu juu ya unaowaongoza.

By the way, ulishawahi kuisikia story jamaa alisema kuwa zanzibar hakuna ata chumvi akapelkwa kwa Karume akalishwa polo zima la chumvi? Zanzibar kulikua na njaa kisawasawa, ulikuwa utawala wa kidikteta.

Je una habari hata ya Marehemu Karume yalikuwa yawe Mapinduzi? na mpaka leo kuna ombwe mbili bado ?

Hapa, correct me if i am wrong, umemaanisha kuwa mauaji ya karume ni mapinduzi, kama sivo nlivofahamu utanielewesha.

Mapinduzi yaliofanywa na Nyerere baada ya Karume kuanza kuhoji Muungano. Connect the dots, Mzee Jumbe nae alipoanza harakati za kujitoa kwenye Muungano, Maalim Seif akenda kwa Nyerere, Nyerere kusikia, Jumbe kaekwa pembeni na akamfungia Kigamboni!
 
Mambo mengi ya kihistoria yamefichwa sana hadi leo imebaki kuwa ni siri
 

Mkuu hapo kidogo, mbona statement yako imekaa vibaya ? Kwanini umtaje Maalim Seif tu? kwani alikua peke yake? Mbona humtaji na Salmin Amour? kwanini humtaji Salim Ahmed Sailm? Ilikua ni team iliofanya hivyo simtu mmoja. Ni kundi la wanasiasa wasomi vijana. Kwanini siku zote mnakua mnamzungumza Maalim Seif tu kwenye hili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…