Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika!

Abeid Karume aliuliwa na Wa Zanzibari kwa umoja wao. Ni tukio lilo pangwa na timu kabambe walo choshwa na
Uonevu
Ubakaji yaani raping
Njaa
Ubaguzi
Mauaji
Uchumi mbovu
Ufisadi
Na wizi ndani ya SMZ
Walopangwa kufanya hujuma na sunna hio ni Vidume Vitano
Alikuwepo Mwafrika wa Bara - Ali Khatib Chwaya
Alikuwepo Mwarabu wa asili ya Oman - Lt. Humud Mohamed
Alikuwepo Mshirazi Capt. Ahmada
Alikuwepo Maarabu wa asili ya Yemen
Alikuwepo Mngazija
Majemadari hawa walifanya jambo kubwa kwa manufaa ya Umma wa Zanzibar walijitolea uhai wao.
Baada ya Kifo hiki Zanzibar ilibadilika kidogo kidogo na mpaka sasa mambo ya kuna nafuu ingawa bado haki haija patikana sawa sawa
Picha ni Comandoo Lt. Humud

View attachment 1416474

Sent from my iPad using JamiiForums
 
Leo ni Karume Day, nami naomba kujiunga na Watanzania wenzetu maadhimisho mema ya Karume Day na kuwatakia mapumziko mema.
RIP Abedi Amani Karume.
Paskali
 
Karume alikuwa muuaji katili, muungano kwake ulikuwa muhimu sana kwake kwani zanzibar alikuwa na maadui wengi sana.Kwa sababu hakushiriki mapinduzi aliishi kwa hofu kubwa ya kupinduliwa.
Yale mauaji yalikuwa ya kisasi ni karma.
 
Karume alikuwa sawa tu na Magu...kuna watu wakiona huyu jamaa anatupanda kichwani wanarekebisha mambo
 
All roads lead to Rome.

Nyerere, Nyerere, Nyerere.

Nini zaidi kinachotakiwa? iweje Nyerere awawachie huru baada ya muda watu waliokula njama za uhaini na mpaka Karume kuuawa? Haiingii akilini.
Itakuwa Nyerere alifanya hivi kwaajili ya dini tu..au unasemaje mama?
 
Maswali Yako mepesi sana hayahitaji tafakuri!
Hivi Kiongozi aliuawa na meanajeshi tayari hayo tuyaite Mapinduzi ya kijeshi!?
Kwa hiyo watoto wa Karune walibaguliwa na bado wakakwea hadi Ikuku na u2qziri,na ubalazi!
Au Kuna watoto WENGINE u awazuznzgumzia sio kina Amani na Ally?
 
Ukizingatia ukweli kwamba Nyerere ndiye aliyekiunda chama cha ASP utajua kuwa Karume alikuwa ni kibaraka wa Nyerere aliyewekwa kuwatawala Wazanzibari. Sasa kiongozi kibaraka akikorofishana na aliyemweka madarakani, kibaraka hawezi kutawala muda mrefu. Atapinduliwa abaki kuwa mkimbizi, au atafungwa au yatampata yaliyompata mzee Karume.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…