Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika!

Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika!

Wabobeaji wapi? wale waliosema kuwa House of Wonder nguzo zake zimetengezwa kwa mafuvu ya muafrika? 😀 😀 Abaa kwenye historia ya zanzibar umefeli....
unatisha sasa wewe mm nin wasiwasi u Mtwana au Kijakazi wa waarabu maana unachobishia hakina uhalisia wowote au Lugha ya kiingereza inakupiga chenga?
Post # 209 nimeeleza kisa cha Barghash kutaka kuchukua madaraka baada ya kumuua mwenzake na akamficha kisiwa cha mashariki na kinaonekana ukiwa pale Unguja na Mwingereza akakataa.
In August 1896, Britain and Zanzibar fought a 38-minute war, the shortest in recorded history, after Khalid bin Barghashhad taken power after Hamid bin Thuwaini's death. The British had wanted Hamoud bin Mohammed to become Sultan, believing that he would be much easier to work with. The British gave Khalid an hour to vacate the Sultan's palace in Stone Town. Khalid failed to do so,
sasa km husomi na unakuja kubishana nilishasema hii Mada achana nayo Lugha huijui, sasa soma kisa kizima hapa chini

Hamad bin Thuwaini of Zanzibar.
Sayyid Hamad bin Thuwaini Al-Busaid, GCSI, (1857 – August 25, 1896) (Arabic: حمد بن ثويني البوسعيد‎) was the fifth Sultan of Zanzibar. He ruled Zanzibar from March 5, 1893 to August 25, 1896.[1]

He was married to a cousin, Sayyida Turkia bint Turki al-Said, daughter of Turki bin Said, Sultan of Muscat and Oman. Hamad died suddenly at 11.40am on 25 August 1896 and was almost certainly poisoned by his cousin Sayyid Khalid bin Barghash who proclaimed himself the new sultan and held the position for three days before being replaced by the British government after the 40-minute-long Anglo-Zanzibar War.[2]

Khalid Bin Barghash alimuwekea sumu nduguye Thuwaini na akachukua Madaraka ambayo mwingereza hakukubali akampiga mizinga na kumuweka Hamoud Bin Mohamed waliyemtoa Oman
sasa huelewi nini tena nahutaki kufuatilia?
weka link sio unakuja kichakichwa kujibu
 
unatisha sasa wewe mm nin wasiwasi u Mtwana au Kijakazi wa waarabu maana unachobishia hakina uhalisia wowote au Lugha ya kiingereza inakupiga chenga?
Post # 209 nimeeleza kisa cha Barghash kutaka kuchukua madaraka baada ya kumuua mwenzake na akamficha kisiwa cha mashariki na kinaonekana ukiwa pale Unguja na Mwingereza akakataa.
In August 1896, Britain and Zanzibar fought a 38-minute war, the shortest in recorded history, after Khalid bin Barghashhad taken power after Hamid bin Thuwaini's death. The British had wanted Hamoud bin Mohammed to become Sultan, believing that he would be much easier to work with. The British gave Khalid an hour to vacate the Sultan's palace in Stone Town. Khalid failed to do so,
sasa km husomi na unakuja kubishana nilishasema hii Mada achana nayo Lugha huijui, sasa soma kisa kizima hapa chini
Nifundishe Lugha, wapi hapo kwenye mistari ya Wikipedia imesema kuwa Khalid alimuua Hamid na akamficha kisiwani?

Nifundishe lugha tena, wapi kwenye mstari wa wikipedia ulioleta umesema kuwa wenyeji walitaka kumuondoa MuOman?

Khalid Bin Barghash alimuwekea sumu nduguye Thuwaini na akachukua Madaraka ambayo mwingereza hakukubali akampiga mizinga na kumuweka Hamoud Bin Mohamed waliyemtoa Oman
sasa huelewi nini tena nahutaki kufuatilia?
weka link sio unakuja kichakichwa kujibu
Mstari ulouleta unasema almost certainly was poisoned, ni dhana tu. Na hata kama kweli Khalid kamuua Hamid, bado hujatwambia wapi Wenyeji walitaka kumuondoa muoman kama ulivosema.

Wewe ulisema kuwa WENYEJI (wazanzibari ama tuwaite wabantu) Walitaka kumuondoa Mu Oman, kwa vile hawakuwa na uwezo wakaomba muingereza aje kumuondoa. Mi nataka unipe hii reference, umesoma wapi kuwa Wabantu hao walitaka kumuondoa mu Oman?

Unakimbia kivuli chako?
 
upo sahihi lakini wenyeji walipotaka kumuondoa muarabu wa Oman wakashindwa, kwa nini walimuita Muingereza akaja kupiga vita ya dk 20 na kumuweka mtu wake toka Oman
na kwanini wenyeji waliamua wenyewe Jamuari 12 kujichukulia hatua mkononi kufanya mapinduzi wengine hawakuyakubali?
Je una habari hata ya Marehemu Karume yalikuwa yawe Mapinduzi? na mpaka leo kuna ombwe mbili bado ?


Ninaiweka tena post yako hapa;

Kwenye Kijani,

Thibitisha hio kauli yako, nataka kujua walijaribu vipi, na kwanini walishindwa?

Kwenye Blue;

Kina Nani walimwita Muingereza?

Je Kutoka source yako ya wikipedia unayojivunia, wapi imeandikwa kuwa waingereza waliitwa?
 
Wewe ulisema kuwa WENYEJI (wazanzibari ama tuwaite wabantu) Walitaka kumuondoa Mu Oman, kwa vile hawakuwa na uwezo wakaomba muingereza aje kumuondoa. Mi nataka unipe hii reference, umesoma wapi kuwa Wabantu hao walitaka kumuondoa mu Oman?
Unakimbia kivuli chako?
nilijua mwanzo unatumia simu ya mkononi lkn kumbe ni PC au Laptop unashindwaje kuclick hiyo link ya History of Zanzibar
Wabantu walimuondoa mOman Jamsheed 12/01/1964 kupitia Okello
wenyeji hapo mwanzo walipoona hawaelewani na Mreno waliwaomba WaOman wamfurushe Mreno
baada ya mwarabu kukaa na kutawala Kisultani ukoo ukachangana na wajerumani na Wahabeshi toka Ethiopia (Kina Barghash) waingereza wakaingia na kupendekeza Bargash akasome India na aliporudi ndipo akaujenga mji mkongwe, mpaka mapinduzi yanatokea Balozi wa Uingereza alikuwepo Unguja
sasa unataka utafuniwe kila kitu wakati akili zako zimeshikiliwa?
Eti Mwarabu na mwajemi ndiowaligundua Kilwa na Zenj
Idd Amin alipinduliwa na mwingereza
Babu alimuua Karume endelea hukohuko km huna link za kutuletea tuchambue chilubi
 
nilijua mwanzo unatumia simu ya mkononi lkn kumbe ni PC au Laptop unashindwaje kuclick hiyo link ya History of Zanzibar
Wabantu walimuondoa mOman Jamsheed 12/01/1964 kupitia Okello
wenyeji hapo mwanzo walipoona hawaelewani na Mreno waliwaomba WaOman wamfurushe Mreno
baada ya mwarabu kukaa na kutawala Kisultani ukoo ukachangana na wajerumani na Wahabeshi toka Ethiopia (Kina Barghash) waingereza wakaingia na kupendekeza Bargash akasome India na aliporudi ndipo akaujenga mji mkongwe, mpaka mapinduzi yanatokea Balozi wa Uingereza alikuwepo Unguja
sasa unataka utafuniwe kila kitu wakati akili zako zimeshikiliwa?
Eti Mwarabu na mwajemi ndiowaligundua Kilwa na Zenj
Idd Amin alipinduliwa na mwingereza
Babu alimuua Karume endelea hukohuko km huna link za kutuletea tuchambue chilubi
Nahisi una matatizo ya Akili, kwa sababu hujui nini unaandika wala nini unataka kutwambia.

By the way kivipi mtumiaji wa simu ashindwe kuclick hio link? 😀

Narudia kukuuliza tena, Wapi Wabantu wamemwita muingereza ili aje kuwasaidia kumuondoa Mu Oman?

Vita ya dakika 38 umeita vita ya dakika 20, vita ya Muingereza kutaka kumuondoa mtu wasiemtaka unadai muingereza kaitwa na wenyeji.

Ukajidai kuwa Wenyeji wameomba msaada kwa muingereza ili aje amuondoe mu oman ili wapate kumueka Muoman. 😀

Sasa unakuja kutuletea 1964 ili iweje? Wabantu gani waliomuondoa Jamsheed? Wabantu wao wenyewe wakuja tu visiwani, na huyo Okello unaemzungumzia ndio wakuja hasa! Mapinduzi yamefanywa na waliokuja sio waliokuwepo.

Ndio unaijua Historia weye? Tegemezi yako kubwa Wikipedia. Kwa mfano nikiingia wikipedia nikiandika Uhuru wa Tanganyika ulipatikana 1994 utaamini? Wachangiaji wa wikipedia unawajua lakini? Ushauri wangu unabaki pale pale, ufundishwe japo historia ilotungwa na serikali, itabidi urudi tena shule au ununue vitabu vya primary vya history usome tena.

Upupu mtupu uloandika!
 
Nahisi una matatizo ya Akili, kwa sababu hujui nini unaandika wala nini unataka kutwambia.
Vita ya dakika 38 umeita vita ya dakika 20, vita ya Muingereza kutaka kumuondoa mtu wasiemtaka unadai muingereza kaitwa na wenyeji.
Ukajidai kuwa Wenyeji wameomba msaada kwa muingereza ili aje amuondoe mu oman ili wapate kumueka Muoman. 😀
Sasa unakuja kutuletea 1964 ili iweje? Wabantu gani waliomuondoa Jamsheed? Wabantu wao wenyewe wakuja tu visiwani, na huyo Okello unaemzungumzia ndio wakuja hasa! Mapinduzi yamefanywa na waliokuja sio waliokuwepo.
Upupu mtupu uloandika!
nimekuelewa na ubishi wako eti House of wonder imejengwa kwa mafuvu weka evidence hutaki
labda kwa kifupi mwarabu hajawahi kutawala hivyo visiwa na ASILANI hatatawala km wababe wa kizazi hichi tupo
Mwarabukoko mpaka wa leo haamini km alipigwa kwa dk 20 na zilizobaki alisalimu amri
kamwambie Jamsheed ndoto zake apeleke Oman hata km nduguze hawamtaki
Zanzibar hatatawala hata km Karume kauawa ndio msimamo wetu
 
kuna three type of secrety, cofidential ,normal ,top secrety.....but these are top secrety zmzeealimundoa karume kwa sababu ya muungano. na mzee pia alimuondoa sokoine coz alivuta mipaka ya utawala, rais wa nchi anaruhusiwa kuua in case of national interest na wala si dhambi..rais anaweza akaua km akiridhika na security detail anazopewa na tiss
Kuua ni dambi kwa Allah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimekuelewa na ubishi wako eti House of wonder imejengwa kwa mafuvu weka evidence hutaki
labda kwa kifupi mwarabu hajawahi kutawala hivyo visiwa na ASILANI hatatawala km wababe wa kizazi hichi tupo
Mwarabukoko mpaka wa leo haamini km alipigwa kwa dk 20 na zilizobaki alisalimu amri
kamwambie Jamsheed ndoto zake apeleke Oman hata km nduguze hawamtaki
Zanzibar hatatawala hata km Karume kauawa ndio msimamo wetu
Bogus kabisa.... Nimethibtisha kuwa huna ufahamu...

Nyie wakuja si ndio mlivokuwa mkiambiwa kuwa nguzo za H.O.W zimetengezwa kwa mafuvu ya watumwa 😀

Maskeen hujielewi kabisa.

Ivi nkuulize, huyo mwarabu koko tangu mlivomfukuza, mna maendeleo gani?

Zanzibar ilikuwa ikiheshimika wakati wake ilitambulikana mpaka UN, leo hii hapa hapa TZ tu haifurukuti chini ya mkoloni mweusi.

Sasa kama mwarabu hajawahi kutawala visiwa hivi povu la nini? ,nona unataka kufa kwa wahka? ubabe gani ulokuwa nao 😀.

Lete ushahidi kama alipigwa kwa dakika 20. Halafu kapigwa muarabu kisha kaekwa mwarabu tena? Upupu mtupu..

Umesikia kuwa wamesema wanataka kuja kutawala Zanzibar? Kweli we jamaa kichwa mchungwa, juzi kati walivokuja na meli yao naona mlifunga bandari na mkawa wa kwanza kujipeleka kwa mwarabu. Mlizuia meli zote zisifunge gati mwarabu aeke meli yake 😀

Ndio mkiambiwa kuwa MuOman aliitwa hapa na hakuja tu mwenyewe uamini sasa..
 
Haya chilubi tufanye basi utawala wa mkoloni mweusi hautafikia mwisho na haitatokea mwarabu akatawala Visiwani kwa Usultani Umwinyi au Utemi waachieni wakoloni weusi na Zanzibar yao.
sikiliza clip ya Mapinduzi waikihojiwa na BBC Karume John Okello na Mohamed Babu

km na hii unaikataa basi endelea kuwa mtwana kwa hao tuliowafurusha
 
Haya chilubi tufanye basi utawala wa mkoloni mweusi hautafikia mwisho na haitatokea mwarabu akatawala Visiwani kwa Usultani Umwinyi au Utemi waachieni wakoloni weusi na Zanzibar yao.
sikiliza clip ya Mapinduzi waikihojiwa na BBC Karume John Okello na Mohamed Babu

km na hii unaikataa basi endelea kuwa mtwana kwa hao tuliowafurusha

Kwani aliekwambia kama waoman wanataka kurudi kutawala Zanzibar nani? 😀

watu wa bara wengi wao huwa siku zote wanaumia wakiona Zanzibar ina mashirikiano na Oman.... Poleni sana...

John Okello mzanzibar nae au Wakuja tu 😀 yaani we nna wasiwasi ni under 15
 
Nahisi una matatizo ya Akili, kwa sababu hujui nini unaandika wala nini unataka kutwambia.

By the way kivipi mtumiaji wa simu ashindwe kuclick hio link? 😀

Narudia kukuuliza tena, Wapi Wabantu wamemwita muingereza ili aje kuwasaidia kumuondoa Mu Oman?

Vita ya dakika 38 umeita vita ya dakika 20, vita ya Muingereza kutaka kumuondoa mtu wasiemtaka unadai muingereza kaitwa na wenyeji.

Ukajidai kuwa Wenyeji wameomba msaada kwa muingereza ili aje amuondoe mu oman ili wapate kumueka Muoman. 😀

Sasa unakuja kutuletea 1964 ili iweje? Wabantu gani waliomuondoa Jamsheed? Wabantu wao wenyewe wakuja tu visiwani, na huyo Okello unaemzungumzia ndio wakuja hasa! Mapinduzi yamefanywa na waliokuja sio waliokuwepo.

Ndio unaijua Historia weye? Tegemezi yako kubwa Wikipedia. Kwa mfano nikiingia wikipedia nikiandika Uhuru wa Tanganyika ulipatikana 1994 utaamini? Wachangiaji wa wikipedia unawajua lakini? Ushauri wangu unabaki pale pale, ufundishwe japo historia ilotungwa na serikali, itabidi urudi tena shule au ununue vitabu vya primary vya history usome tena.

Upupu mtupu uloandika!

Mkuu kichwa kibovu hicho, Kinaonekana kimehitimu vizuri mafunzo ya UVCCM. hakijui hata anachokizungumza.
 
Mkuu kichwa kibovu hicho, Kinaonekana kimehitimu vizuri mafunzo ya UVCCM. hakijui hata anachokizungumza.
sawa kabisa na ndio maana nimewaacha wewe na chilubi ni wale wabaguzi wenye mizizi ya kiarabu, mnadhani mm ni CCM au damu ya TANU
Kiufupi waarabu hatari waliotapakaa mpaka huku bara km Mwanza Shinyanga, Kigoma Dodoma Kondoa Tanga Dsm wenye asili ya KiMahara, Kikoja, KiOman, KiAjemi, kigunya wapemba nk wanadhani Visiwa vya Unguja na Pemba ni mali yao na hawataki kuchanganyika na yeyote kwani walipofika visiwani hawakumkuta tu ila Manyani, ndio maana Mwl J.K. Nyerere alisema angetamani visiwa hivo angevisogezea huko Arabuni lakini kwa Wosia aliotuachia ni kwamba Asilani wasijetawala hivyo visiwa, ndio maana CCM inachukiwa sana na nimewaomba hizo shuhuda mtuwekee hapa mnaruka na kutuficha.
Niliamini siku ya matokeo ya Uchaguzi huko Visiwani Kiongozi mmoja alitamka huu ushindi sasa ndio mwisho wa Mkoloni mweusi wakati yeye ni Mbantu halisi lakini ule uongo wa kiarabu unampa ndoto iko siku Visiwa vitakuwa Dubai akiondoka mtawala tena mzaliwa halisi na si mgeni Mbantu halisi
Jamani endeleeni na ndoto hizo na mm nitaamini tu mtakapoelezea mwarabu kawaje mtu wa visiwa hivyo bila kumkuta mbatu?
 
SIRI YA MTUNGI ............
PILIPILI USIOILA YAKUWASHIYANI?
Badala kutueleze Sokoine kafaje au Kolimba kafaje, mwaleta hadithi za Alfu ulela!

Mwajuwa kuwa huyo Salim ni mmoja wa watuhumiwa? na aliyemlinda ni nani? Sasa aliyemlinda naye ahusika? Fumbo mfumbie .......
Ningependa kujua jinsia yako. Maana unaandika kwa mipasho kam mwanamke wa pwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kichwa kibovu hicho, Kinaonekana kimehitimu vizuri mafunzo ya UVCCM. hakijui hata anachokizungumza.
Naona anajigonga mwenyewe.... Tangu mwanzo anatwambia kuwa eti wenyeji walimwambia muingereza aje awasaidie kumuondoa Muoman. yaani ata uko UVCCM sifikiri kama wanaweza kuwalisha watu upupu kiasi ichi 😀
 
Back
Top Bottom