😀 😀 😀sawa kabisa na ndio maana nimewaacha wewe na chilubi ni wale wabaguzi wenye mizizi ya kiarabu, mnadhani mm ni CCM au damu ya TANU
Kiufupi waarabu hatari waliotapakaa mpaka huku bara km Mwanza Shinyanga, Kigoma Dodoma Kondoa Tanga Dsm wenye asili ya KiMahara, Kikoja, KiOman, KiAjemi, kigunya wapemba nk wanadhani Visiwa vya Unguja na Pemba ni mali yao na hawataki kuchanganyika na yeyote kwani walipofika visiwani hawakumkuta tu ila Manyani, ndio maana Mwl J.K. Nyerere alisema angetamani visiwa hivo angevisogezea huko Arabuni lakini kwa Wosia aliotuachia ni kwamba Asilani wasijetawala hivyo visiwa, ndio maana CCM inachukiwa sana na nimewaomba hizo shuhuda mtuwekee hapa mnaruka na kutuficha.
Niliamini siku ya matokeo ya Uchaguzi huko Visiwani Kiongozi mmoja alitamka huu ushindi sasa ndio mwisho wa Mkoloni mweusi wakati yeye ni Mbantu halisi lakini ule uongo wa kiarabu unampa ndoto iko siku Visiwa vitakuwa Dubai akiondoka mtawala tena mzaliwa halisi na si mgeni Mbantu halisi
Jamani endeleeni na ndoto hizo na mm nitaamini tu mtakapoelezea mwarabu kawaje mtu wa visiwa hivyo bila kumkuta mbatu?
Mbona mbaguzi hapa ni wewe? Mbona wewe unaonesha kuwachukia waarabu?
Hivi unafikiri Nyerere alisema vile kwa sababu ya uarabu Zanzibar? Anajua vyema kuwa lau kama Zanzibar ikipata mamlaka kamili, tutawaacha mbali sana kwa maendeleo. Tena sana, kitu ambacho Nyerere alikichukia sana kuona Zanzibar ikiendelea.
CCM inachukiwa sana kwa sababu ni wanafik na wabaguzi. Walisema mpemba kuingia ikulu ni sawa na mbwa kuingia msikitini, Mungu akawalaani na kuwapa DK. Sheni mpemba ambae ameingia ikulu 😀
CCM waliendesha kampeni na kusema kuwa Maalim Seif anataka kurudisha Usultan Zanzibar, Mungu akawaonesha raia wazanzibar kuwa atakae warudisha sultan zanzibar sio maalim seif bali ni hao hao CCM. Akatuthibitishia siku Ujumbe kutoka Oman ulivokuja Zanzibar, meli za mizigo zote ziliwekwa nje kupisha meli ya mfalme, bandarini hapakuwa na kazi mpaka meli ilipoondoka. Ukisikia Baniani mbaya kiatu chake dawa ndio hichi!
Hao aliowaambia kuwa mwisho wa ukoloni mweusi na wao walikuwa weusi basi kama hujui. Zanzibar imetoka kwa mkoloni beberu mreno, ikaingia Sultan wa Oman, usultan ambao baadae ukawa chini ya beberu muingereza, baada ya kupata uhuru na kufanyika mapinduzi wakuja kama kina Ukwaju na okello wakajifanya wakombozi, kumbe na wao wakawa wakoloni. Sasa wazanzibar hawataki kutawaliwa na mkoloni mweusi, kheri warudi mabeberu na masultan.
Nitajia mkoloni aliehamisha mji mkuu wake kutoka nchi yake na kufanya mji wa sehemu aliyokoloni kuwa ndio mji mkuu wake.
By the way, kwa kisiwa cha Zanzibar, na potential ilokuwepo, watu 1.5m, ina uwezo wa kuwa zaidi ya dubai. Tatizo ni mkoloni mweusi tu.