Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika!

Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika!

Wapi na wapi?kuna mdau katujuza kuwa muuaji wa Mzee karume alikuwa ni mlipizaji wa kisasi wa kifo cha Baba yake [Hoja hii kama ni kweli Mzee Karume alishurutisha mtoto Mtu kumua Baba yake pasipo hiari yake hata kama ilikuwa ni SIRI KUU hapo ilikuwa ni dhambi ambayo mmalipo yake lazima yangerudi] . Yani wenzetu wanasema <b>what goes around comes around.Hoja ya kulipa kisasi asilmia kubwa ina mashiko kwangu kwa kuwa na utamaduni wa watu wa kimazingira siasa za Zanzibar zimezungukwa na visasi kwa hilo naafiki kuna uwezekano.

Haya mdau Jason wewe unakuja na hoja ya Mwalimu kumua Mzee Karume ambae kwa jukumu alilokuwa nalo tena kwa hiari yake mwenyewe alimfuata Mwalimu ili auende Muungano na si Mwalimu aliyemfuata kuunda Muungano.Hiyo imeakaaje aliayetaka Muungano ndie awe mvunja muungano huo huo?Naomba ufafanuzi ukiziangati hiyo taarifa ya mdau kuhusu ujumbe hapo juu.
Kumfuata mwalimu kwa lengo la kuunda muunga si kigezo cha kutouvunja kama makubaliano yatakiukwa!

Nasikitika sana kwa Great thinker kuwa mwepesi wa kukubali hoja nyepesi ya kisasi kiasi hicho! Dhana ya uraisi ni pana sana ndugu, haihusu mtu mmoja kama ulivyoegemea!

Ninacho kueleza na nitakacho endelea kukueleza ni kuw Nyerere ndie engineer mkuu wa mauaji hayo na mengineyo yenye kuupinga muungano!

Amini kama unavyo amini kuwa yesu atarudi!! Baharia Karume aliuawa chini ya uratibu wa hayati Baba wa Tanganyika JK Nyerere!

Upo ushadi wa wazi ambao utatumika baada ccm kuwa chama cha upinzani 2015
 
Kumfuata mwalimu kwa lengo la kuunda muunga si kigezo cha kutouvunja kama makubaliano yatakiukwa!

Nasikitika sana kwa Great thinker kuwa mwepesi wa kukubali hoja nyepesi ya kisasi kiasi hicho! Dhana ya uraisi ni pana sana ndugu, haihusu mtu mmoja kama ulivyoegemea!

Ninacho kueleza na nitakacho endelea kukueleza ni kuw Nyerere ndie engineer mkuu wa mauaji hayo na mengineyo yenye kuupinga muungano!

Amini kama unavyo amini kuwa yesu atarudi!! Baharia Karume aliuawa chini ya uratibu wa hayati Baba wa Tanganyika JK Nyerere!

Upo ushadi wa wazi ambao utatumika baada ccm kuwa chama cha upinzani 2015

Hoja hapa kuna mtu baba yake wa damu mzazi aliyemleta hapa duniani kauwawa na yeye mwenyewe kwa amri ya mkuu fulani ambae kwa madaraka anwajibu wa kufuata amri yake ukizingatia mtoa amri ni amiri jeshi Zanzibar anayeagizwa ni afisa wa jeshi [amri ya jeshi ni moja obey your superior] na anaemwagiza ni more than Superior,Baada ya tendo unakuta ulichotekeleza ni kumua baba yako mzazi.Rejea vitabu vya dini Baba na Mama yako ni Mungu wa pili duniani.Hakika hata kama ni Rais wa Marekani alikutendea hilo daima ugomvi huo utauacha mpaka kieleweke.Hili ni swala la kanuni ya kiamaumbile ya dunia wala si la mjadala.Ni swala la muda yuko tayari kulithisha vizazi vyake machungu ya matendo au tendo hilo aliloliona ili alipe dhambi hii.

Jason hata movie za hollwoood mbona haya mambo yako tele yanaonywesha,au wewe ulifikili hollywood wanaokota theme ya kutengeneza movie kutoka hewani au katika kukusanya uzoefu wa mazingira ya migongano ya kimaisha ya binadamu.

Lakini tendo hilo hilo alilolitenda kijana huyo lingetendwa na mtu mwingine na kijana yule asijue nani katenda ila akasikia baba yake kauwawa linakishindo [Impact] tofauti kama ambavyo yeye kashuhudia kwa macho yako na ukizaingatia ametenda yeye kwa kushurutishwa,kwa kisaikolojia ni tatizo kubwa litakalotengeneza ugonjwa wa kiakili.[Phychological Trauma].Na ugonjwa huo ndio huo amabo ulimjenga kulipiza kisasi.

Na mara nyingi historia ya dunia inajengwa kupitia matukio ya waathiliwa wa kisaikolojia kama huyu jamaa aliyemua karume.

Mkuu jipange utujuze kwa ufasaha naona uko hewani hewani Jason.
 
Sababu kuu ya Mt JK Nyerere kukatisha uhai wa baharia yule ni MUUNGANO!

Baadhi ya mambo waliyokuwa wamekubaliana ktk muungano huu Mt Nyerere alikuwa hayatekelezi ndipo baharia alipo anzisha harakati za kujiondoa ktk muungano! Mt Nyerere kuona hivyo akaukatisha uhai wa Baharia Karume!

Wapo wengi waliouawa kwaajili ya kupinga muungano huu!

Na wapo ambao kila maadhimisho ya muungano huu wao kauli mbiu yao ni "Hatuta sahau siku ambayo Mzanaki alituingiza mjini"
mawazo ya Mtanzania wa kawaida, kwani muungano ulkuwa kati ya Nyerere na Karume au Tanganyka na Z'bar, by the way sio kosa lako tatzo unasoma sana gazeti la an-nuur ndio huwa wanahzo views.
 
mkuu sheria hiyo ya siri ni ya kimataifa au?
Wajameni haya mambo ya Zanzibar ni magumu. Ukisikia ya Karume aliyoyafanya kwenye mambo ya haki za binaadam hautashangaa. What goes around, comes around!.

Ethiopia haikuwahi kutawaliwa tangu enzi za Qeen of Sheba mpaka kina Manelik na hatimaye Haile Selasie. Ukisikia aliyoyafanya na kilichomkuta, hutashangaa.

Kwa mliomjua William Tolbert wa Liberia alivyo fanywa na Master Sergent Samuel Doe na kilichomkuta Doe, hutashangaa.

Hata aliyoyafanya Dr. Salmin na kilichomkuta na kinachoendelea kumkuta hadi sasa, hutashangaa.

Sheria ya siri ni miaka 50, hivyo subiri 2021 zitafunguliwa. Kuanzi baada ya Desember 9 mwaka huu, siri za uhuru na serikali ya Tanganyika zitamwagwa hadharani.
 
mawazo ya Mtanzania wa kawaida, kwani muungano ulkuwa kati ya Nyerere na Karume au Tanganyka na Z'bar, by the way sio kosa lako tatizo unasoma sana gazeti la an-nuur ndio huwa wanahzo views.
kwa kukusaidia muungano ulikuwa ni wa nchi mbili ila ma creator ni Nyerere na Karume, hakuna mwananchi wapande hizo aliye shirikishwa!

kinacho jadiliwa hapa ni nani aliyemuua karume?
Hoja yangu nimesema Nyerere alihusika!!! haijalishi kuna mtu alikuwa na kisasi au laa
 
Acheni kutafuna maneno! Aliyemuua Karume ni JULIUS K NYERERE rais wa kwanza wa Tanganyika na chama chake cha TANU-CCM!

Si huyo tu ambaye kauawa na serikali ya ccm, orodha ni ndefu sana.

Tunasubiri 2015 watakapokuwa chama cha upinzani ndipo tutafungua kesi za mauaji hayo maana ushahidi upoo!!
anaekataa akatae tu ila huo ndio ukweli tena ukwelimtupu ulionena mkuu,hata hiyo yakuwekwa babayake humud kwenye gunia akaambiwa na karume apige risasi bilakujua akapiga akamuua babayake nikweli na inasemwa nainaelezwa kwa uwazi na wazee wengi huko zenj waliokuwepo wakati huo,karume aliuwawa kwa haki,nayeye aliuwa wengi sana bilahatia,UKIUWA KWA UPANGA UTAUWAWA KWA UPANGA Ndipo haki itakapotendeka.
 
Acheni kutafuna maneno! Aliyemuua Karume ni JULIUS K NYERERE rais wa kwanza wa Tanganyika na chama chake cha TANU-CCM!

Si huyo tu ambaye kauawa na serikali ya ccm, orodha ni ndefu sana.

Tunasubiri 2015 watakapokuwa chama cha upinzani ndipo tutafungua kesi za mauaji hayo maana ushahidi upoo!!
mimi kwa kweli kuna mzee kanipa mchapo wote. Yeye anasema, sikumbuki ya nyuma,ila aliniambia karume kuna kikundi cha watu aliwaua wakiwa wazima cz walitaka kuipindua serikali yake, sasa mmojawapo ndio ndgu wa huyo mjeda, ndo huyo mjeda akapanga kulipiza kisasi na alipga risasi akiwa anacheza bao.. Later ndo ilikuwa zamu ya nyerere,mzee akakimblia butiama. Nimesahau mengine. Alinipa visa vingi tu kama cha kawawa kupigwa kibao mble ya nyerere na yule jamaa aliyekmbilia Uk enzi ya nyrere..
 
nikichambnua kwa haraka tu kutoka kwenye makala yako, na nikiongeza yale machache niliyowahi kuyasikia na yakakubaliana na akili yangu kwamba yanaweza kuwa sawa, naweza kusema kama ifuatavyo, kwa ufupi tu:-

1) karume aliuliwa na wanasiasa/mwanasiasa aliyekuwa na nguvu ya kutosha ya ushawishi na utawala enzi hizo. na huyo mtu ndie aliyepanga mkakati wa kuisotesha familia yake makusudi( kuna sababu ya hili na mpango mzuri kwa familia baadae kuwapoteza wasiweze kuhisi kwa urahisi kama ni yeye) , na ndie aliyeaamrisha urais asipewe kanali bakari ila apewe jumbe. waliotaka kumpa kanali bakari ni wale amabao hawakujua kama mauaji yalikuwa planned, na ndio maana pamoja na kwamba mauaji yalifanywa na mwanajeshi kama unavyosema lakini jeshi halikuchukua nchi kwa sababu jeshi kama jeshi halikuwa na hiyo plan, kutaka kumpa kanali bakari ni kwa sababu hawakuwa na plan ya mapinduzi ya kijeshi ila ilikuwa ni maamuzi ya ghafla kwa tukio la ghafla.

2) aliyefanya mauaji hakuwa na shida na urais wa zanzibar, na ndio maana hakuna aliyeclaim urais huo bada ya mauaji wala hakukuwa na movement nyingine yeyote ya kutaka kufanya mapinduzi wala mauaji bada ya hapo.

3) aliyepanga mauji hayo alikuwa anataka kile kilichotokea na kinachoendelea leo ambacho wengi hawakitaki. kingetokea pia bila ya mauji lakini kungeweza kuleta shida kidogo baadae kidogo kama jamaa angekuwepo, kutokuwepo kwake ilikuwa ni much green lighter.

bahati mbaya muda haunitoshi, ningetoa ufafanuzi zaidi, lakini angalu mwenye akili zake anaweza kuunganisha dots, akaweza hisi kile ninachokiona mimi.
mkuu mbona umesomeka vizuri tu. Asante sana kwa kutufungua macho.
 
Mwaga data kaka Jason ila nafikiri bado hujaonyesha ushahidi ingawa kwa ndani kuna ukweli fulani ila uthibitisho ili mtu kama mimi GT niondoke na kitu fulani la sio blabla.
 
Karume alifanyaga madudu mengi.

Nasikia kuna wakati alilazimisha kuoa waarabu na wahidi kwa nguvu na yeye mwenyewe akajichukulia mke wa kiarabu ambaye alijilipua kwa moto. Je hii ni kweli? Na inaweza kuchangia chuki?
 
Subiri niombe ruhusa ya advocate wangu ili nimwage data zote za Nyerere kusimamia mauaji hayo na mengine ambayo hayajapata kutajwa!
 
Karume alifanyaga madudu mengi.

Nasikia kuna wakati alilazimisha kuoa waarabu na wahidi kwa nguvu na yeye mwenyewe akajichukulia mke wa kiarabu ambaye alijilipua kwa moto. Je hii ni kweli? Na inaweza kuchangia chuki?
this is holy CRAP.
 
Kumfuata mwalimu kwa lengo la kuunda muunga si kigezo cha kutouvunja kama makubaliano yatakiukwa!

Nasikitika sana kwa Great thinker kuwa mwepesi wa kukubali hoja nyepesi ya kisasi kiasi hicho! Dhana ya uraisi ni pana sana ndugu, haihusu mtu mmoja kama ulivyoegemea!
Ninacho kueleza na nitakacho endelea kukueleza ni kuw Nyerere ndie engineer mkuu wa mauaji hayo na mengineyo yenye kuupinga muungano!

Amini kama unavyo amini kuwa yesu atarudi!! Baharia Karume aliuawa chini ya uratibu wa hayati Baba wa Tanganyika JK Nyerere!

Upo ushadi wa wazi ambao utatumika baada ccm kuwa chama cha upinzani 2015
mh!
Mtakatifu Nyerere, baba wa Tanganyika, amin tuu...
I smell hatred here in your posts! Are you sure that is not the force behind your posts?
 
ukweli ni kwamba karume angeendelea kuishi muungano aidha ungekufa au ungekua bora zaidi. Waliomuua walitaka muungano usife au usiboreshwe.&#8626;Kama Mt. Nyerere alihusika, sidhani. Labda alifurahia tu
 
Du! an interesting post, fungukeni basi na vijana wa leo wapate huu ukweli. Mi nataka kujua kwanini Mwl. aling'ang'ania sana muungano? ni kwa maslahi ya kiusalama pekee au hasa ni nini? naona mpaka sasa muungano unalazimishiwa tu kuna hedden agenda ambayo watu wengi hawaielewi vizuri. tupeni data wakuu.
 
Jakaya ni kiboko, watz leo tunafukua makaburi na kuyahukumu pasi mashaka !!! Hahaaa hii ya mzee rashid kuchapwa kerubu na oscar mbele ya mt. Julius hahaaa hahaaa inanikumbusha kisa ofisini kwangu md aliposhuhudia wasaidizi wake wawili mmoja akimtusi mwenziwake na asifanye lolote juu yao! Mmoja alitusiwa aliacha kazi ku preserve dignity yake, rashid alisaidiwa na ticha kumuadhibu oscar hahaaa !! He remains the founder & the great man ever happened in this country
 
Wandugu!hebu tuambizane na kufunguka vizuri!!coz sisi vijana hatukuwepo kipindi hicho japo tunasikia info ambazo kwazo nyingine hazina mantiki na nyingine ni zinaingia akilini in such a way that mtu unaanza kuamini kuwa siku bomu litakapolipuka hii nchi bas kila mtu atakuwa na adui yake, mnyonge na mnyonge wake!!!!tusisubili miaka 50 ipite ndipo tupate hizo siri kuu!!!mbona wadau wanazo sema wanaogopa kusema wakihofia pumzi zao kukatizwa!!!!mi niliskia eti ukionekana kimbele front wa kupinga muungano jamaa wanakupoteza!!!hilo nalo lina ukweli???

By the way nawashukuru kwa kunifungua akili!!!lets keep things open so w cn be free from ignorance wandugu!!!
 
tunaambiwa karume kabla umauti haujamku alikuwa aongei na kambarage,sababu ni karume kukataa kubuluzwa na kambarage,karume alikuwa anaelekea kuuvunja muungano, inshu ni ivi karume kauwawa na wapenda muungano na mpenda muungano namba 1 alikuwa ni kambarage.atujiulizi kwa nini baada ya karume kuuwawa vyama vikaunganishwa?karume ilo jambo alikuwa hataki ata kulisikia
 
Du! an interesting post, fungukeni basi na vijana wa leo wapate huu ukweli. Mi nataka kujua kwanini Mwl. aling'ang'ania sana muungano? ni kwa maslahi ya kiusalama pekee au hasa ni nini? naona mpaka sasa muungano unalazimishiwa tu kuna hedden agenda ambayo watu wengi hawaielewi vizuri. tupeni data wakuu.

Tuko pamoja mkuu!, Duh kumbe Nyerere noma enh?.
 
Back
Top Bottom