Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika!

Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika!

Na inaelekea wakati huo muungano ulishakuwa kama koti linalobana ambalo wenyewe walisema bora kulivua..kuna mtu alitamani alivue haraka haraka. Who knows???
 
Kama si mungu tu basi Maalimu Seif na Dr. Bilal hatungekuw nao leo!
Wale wanajua kuwa nini kilichomuua Baharia na wanajua nguvu ya kimafia ya Mt Nyerere!

Povu linakutoka kama nini,kwani nani aliyekuambia Mt ni mtu mkamilifu?hata Mt Paulo alikuwa mtesaji mkuu wa kanisa but aliongoka!Kama hujui taratibu za dhehebu la watu u better ask instead of showing ya arrogance here!
 
mawazo ya Mtanzania wa kawaida, kwani muungano ulkuwa kati ya Nyerere na Karume au Tanganyka na Z'bar, by the way sio kosa lako tatzo unasoma sana gazeti la an-nuur ndio huwa wanahzo views.

Pinga kwa hoja habari ya Al nuur, haina mashiko hapa!!
 
Nilikuwa naishi kwa mjomba wangu aliyekuwa mwalimu wa shule ya Msingi kule Musoma maeneo ya karibu sana na Butiama. Siku chache kabla ya kifo Kile Karume alikuwa amekuja kumtemeblea Nyerere kule Butiama na kama kawaida tulijipanga barabarani kumpokea na ndiyo iliyokuwa mara yangu ya kwanza na ya wisho kumwona Karume phyiscally. Taarifa ya kifo chake tuliipata kupitia RTD usiku wa Ijumaa Kuu.

Taarifa nyingi sana zilishatolewa kuhusu mauaji ya Karume lakini bado siamini kama kweli mauaji yale yalikuwa na lengo la kumnyang'anya madaraka kwa vile mfumo wa serikali uilokuwapo ulikuwa ni mgumu sana kupokonya madaraka kama tunavyojua ililivyotokea. Nitawaachia wenye kumbukumbu nzuri waendelee kutoa, lakini taarifa nyingi sana zilizozagaa wakati ule ni kuwa muuaji alikuwa ni ndugu wa Karume ama mbali au wa karibu, ila Karume alikuwa amekosana na wazazi wa mtu huyo akaamuru wafungwe au wanyongwe, kwa hiyo muuaji akawa analipiza kisasi. Ni kutokana na ukaribu wake na Karume ndiyo maana ilikuwa ni rahisi kuruhusiwa kuingia hadi kumfikia Karume akiwa na silaha bila kushtukiwa.
 
Inasemekana mzee Karume alipouwawa alikua na $ 20 milioni nchi za nje ? hizo ni fedha nyingi sana 1972 ukichukulia wakati huo wazanzibari walikua wanasota sana kimaisha

wakati wa mzee Karume wanzanzibari hawakusota kimaisha,mzee karume alikuwa akiwaeleza wazanzibar kiasi gani wanacho katika mikutano yake mingi
 
Mzito Kabwela nimekusoma na nimekupata vizuri..Vipi kuhusu..Canal Mahfudh..Alihusika katika mauaji?
 
Last edited by a moderator:
wakati wa mzee Karume wanzanzibari hawakusota kimaisha,mzee karume alikuwa akiwaeleza wazanzibar kiasi gani wanacho katika mikutano yake mingi

Walisota sana mkuu, walikua wanavaishwa vitenge nchi nzima kama uniform, hata chakula ilikuwa taabu.waliokuwa wanafaidi ni watu waliokua karibu nae viongozi wa Afro-Shirazi
 
Tujuze sababu za Mwalimu kufanya hayo manake umemvisha kitanzi bila kumungunya maneno kuwa ndio muhusika.Tusaidie.

Muungano....karume alijua siri ya muungano ni 10 years na baada ya hapo ulitaka waulizwe watu kama wanautaka ama la na karume alishaamua hautaki
Jee nani baada ya japo anajua mkataba wa muungano uko wapi?
Ule unao muona nyerere na karume wakitia saini zao ? Uko wapi ule? Watu walifungua kesi znz mahakama ikaamua serikali iulete walishundwa so utajua kwa nini kafara ile ilitokea.
Na hata baadae kila aliehoji muungano alishughulikiwa kina jumbe seif salmin na wengineo
 
Walisota sana mkuu, walikua wanavaishwa vitenge nchi nzima kama uniform, hata chakula ilikuwa taabu.waliokuwa wanafaidi ni watu waliokua karibu nae viongozi wa Afro-Shirazi

Mkuu mimi nimepata bahati ya kuona watawala wote hao.wakati wa mzee Karume mambo yalikuwa safi,tumejengewa nyaumba nzuri,televetion kwa wote,elimu bure,hospitali bure,viwanja vya mpira,viwanja vya kuchezea watoto vilijengwa zanzibar yote.mambo mengi aliyoyafanya karume ilikuwa ni mafano wa kuigwa na viongozi wa Afrika

Balaa lilianza baada ya Mzee Karume kufa yaani wakati wa Aboud Jumbe Mwinyi,chakula kwa ration,wazanzibari wote walikuwa wanavaa sare(vitenge maalumu),tulikuwa tunaamka saa tisa usiku kupanga foleni ya mikate ukiupata huo mkate hauliki kwa wadudu(ule unga ulikuwa haufai kula binadamu),wazanzibari wanapenda wali wakati wa jumbe walianza kula ugari wa njano,kuanzia wakati huo kila kitu kilianza kuporomoka puruuuuuuuuu.

Kuna habari zinazosema kuwa Mzee Karume alitoa wasia kuwa Aboud Jumbe asipewe uongozi kama yeye angelikufa.

Mkuu kuna tafauti ya mtawala mzalendo mwenye uchungu wa nchi na mtawala anaetawala kwa sababu ya ulwa 🙂
 
kuna mzee mmoja c jui kama yupo hai ila nilimuuliza kuhusu hilo mika 10 nyuma iliyopita na akanipa historia kwa ufupi
suali no1 karume aliuliwa na nani
jibu karume aliuliwa na aliyekua mtoto wa mfalme humoud bin mohamed
kwa sababu gani alimuua?
katika mapinduzi ya zanzibar wakati karume na washirika wake walifanya mapinduzi kuwadhulumu waarabu na kuwatesa nafsi zao hadi kuwapokonya mali zao na mwisho wakamuua huyu humuod bin mohamed
baada ya hapo wakatangaaza hayo mapinduzi yao mwaka 1964 1967 k.nyerere akamwambia karume tufanye muungano ili wee tupate kukulinda nchi yako ni ndogo watu watakuja kukupindua karume akakubali ila kwa masharti la kwanza muungano uwe kwa muda wa miaka 10 baada ya hapo wanachi waulizwe jee waendelee na muungano au basi ile miaka kumi haikufika karume kavuta.
nani kapanga mauaji?
julius k. nyerere. kabla ya muungano karume wakati yupo katika serikali yake ya zanzibar na yee ndio rais wa kwanza alimpa madaraka mtoto wa humuod bin mohamed alimpa cheo cha ujeshi katika serikali yake alikua ana cheo kikubwa alimpa cheo ili amsahaulishe ule ubaya alio mtendea baba yake baada ya kuunganisha zanzibar na tanganyika hapo nyerere akamwiita mtoto wa humoud bin mohammed akamwambia unajua alie muua baba yako . nyerere akamwambia ni karume basi na wee lazima ukamuue karume kwa vile yeye alikua ni mkubwa katika serikali haikua vigumu kwake alifanya hivyo akamfuata pale makao makuu ya ccm zanzibar na kummiminia risasi mwisho wake na yee akajiua na ndio ukaona toka hapo hadi leo katika serikali ya tanzania hakuna ruhusa ya kupewa ajira ya ujeshi kama wewe ni mwaarabu sio jeshi wala polisi na kama uongo pingeni hilo
nyaraka za muungano mpaka leo hazijuliakni zilipo wapi na kama karume angalikuwepo leo muungano huu ungalisha vunjika zamani
ahsanteni kwa hapo
 
Mie nataka kujua kuhusu Col. Mahfoudh. Kwanini Karume Senior alimuua?
 
Acheni kutafuna maneno! Aliyemuua Karume ni JULIUS K NYERERE rais wa kwanza wa Tanganyika na chama chake cha TANU-CCM!
Si huyo tu ambaye kauawa na serikali ya ccm, orodha ni ndefu sana.

Tunasubiri 2015 watakapokuwa chama cha upinzani ndipo tutafungua kesi za mauaji hayo maana ushahidi upoo!!

JKN mbona ameua wengi tu, Mondlane, Samora wale marais wa Rwanda na Burundi pamoja. Hao ni baadhi tu
 
Wapi na wapi?kuna mdau katujuza kuwa muuaji wa Mzee karume alikuwa ni mlipizaji wa kisasi wa kifo cha Baba yake [Hoja hii kama ni kweli Mzee Karume alishurutisha mtoto Mtu kumua Baba yake pasipo hiari yake hata kama ilikuwa ni SIRI KUU hapo ilikuwa ni dhambi ambayo mmalipo yake lazima yangerudi] . Yani wenzetu wanasema what goes around comes around.Hoja ya kulipa kisasi asilmia kubwa ina mashiko kwangu kwa kuwa na utamaduni wa watu wa kimazingira siasa za Zanzibar zimezungukwa na visasi kwa hilo naafiki kuna uwezekano.

Haya mdau Jason wewe unakuja na hoja ya Mwalimu kumua Mzee Karume ambae kwa jukumu alilokuwa nalo tena kwa hiari yake mwenyewe alimfuata Mwalimu ili auende Muungano na si Mwalimu aliyemfuata kuunda Muungano.Hiyo imeakaaje aliayetaka Muungano ndie awe mvunja muungano huo huo?Naomba ufafanuzi ukiziangati hiyo taarifa ya mdau kuhusu ujumbe hapo juu.

Mkuu hauko sawa, yanayoitwa mapinduzi yalipangwa Bara, miezi michache badaye Muungano ambao chanzo chake pia bara. Na kwa usalama wako enzi ile ukihoji Muungano ni dhambi na watu wengi wamepoteza maisha au wamepotezwa.
Tunashukuru yule mzee ameondoka, tunaweza hata kuandika madukuduku yetu. Thank you JF
 
Acheni kutafuna maneno! Aliyemuua Karume ni JULIUS K NYERERE rais wa kwanza wa Tanganyika na chama chake cha TANU-CCM!
Si huyo tu ambaye kauawa na serikali ya ccm, orodha ni ndefu sana.

Tunasubiri 2015 watakapokuwa chama cha upinzani ndipo tutafungua kesi za mauaji hayo maana ushahidi upoo!!

Hivi ni nani aliye copy kutoka kwa mwenzake kati yako na Jason Bourne
 
Niliwahi kumuona mzee DEDES ktk Tv moja wakati wa kampeni za urais akisoma gazeti 1 likimnukuu JKN kuwa alitaka /aliomba/alilamika kwanini znz haikuwekwa ktk Tanganyika kama Mombasa ilivyo wekwa ktk kenya wakati UN walipogawa rasmi mipaka ya nchi.na pia mzee Dedes alimnukuu JKN kuwa anaichukia znz mpaka anatamani MADAGASKA ndio ingekuwa jirani na Tanganyika na sio znz.kama sikosei haya yalisemwa wakati JKN akiwa hai na sikumsikia akiyakanusha.Tujiulize vipi mtu anae kuchukia kupindukia halafu achukuwe hatua za kuungana/kushirikiana je tuamni kauli za wazbz kuwa JKN ndio alie iharibu znz na wznz weke mungano alio usimamia haukuwa na malengo mema kwa wznz?
 
kwa ufahamu wangu nakumbuka wakati ule nikijana mdogo mwenye akili yangu timamu tulikuwa tunangalia kesi ya marehemu karume kupitia TVZ ,kulikuwa na Mtu ambae huwa hatajwi jina isipokuwa hutajwa kama MR X
Pili tujiulize kwa nini mzee karume mpaka nakata mauti alikuwa hazungumzi na Kambarage (kamnunia )
Tatu ni nani alisababisha kifo cha Khanga
Nne ni nani aliyeamrisha kupelekwa zanzibar Bititi na kufanyiwa machafu na mateso ambayo sitoweza au hayastahiki kuandikwa hapa
Mama karume anasema ni kambarage peke yake aliwahi kumfariji lakini basi tusisahau panya akutafunapo(kungaka) huwa anakupuliza usipate maumivu
Lamwisho nataka kuchangi kuhusu wanajeshi walipotaka kumpa urais seif Bakari Kambarage akasema haitowezekana kufanya hivyo na akatowa sababu zake na ndipo wanajeshi wakakubaliana nae kwa ushauri huo
sasa ukiangalia Director
wa mchezo wote anaeleweka na wla huhitaji (Brain surgery)kulijuwa hilo (kuelewa ) ni nani alikuwa Behind all this
unataka kusema aliewai kuwa mkuu magogoni ndo anahusika na mchezo wote
 
Back
Top Bottom