Hizi pombe tunakunywa tu, ila sio nzuri na kuacha hatuwezi, Tuombe tu Mungu atupe Hekima tukishalewa...Wanasemsa kijiwe hicho ndiyo cha jamaa...so wengi wanamjua mzee wa misifa sifa..
Alikuwa anadaiwa laki sita ya ulevi wakamdai hadi mkewe akaja kulipa...jamaa akamaindi nani kamdai mkewe? ndiyo akaenda na chuma kusafisha jina
So wamgeona jamaa hayupo sawa wangemtonya mkewe aje kumchukua au police..maana jamaa katishatisha watu muda mwingi tu.
Nafikiri concern yangu kubwa hapa ni kwamba unapokuwa katika sehemu fulani pindi unapoona jambo ambalo kwako si salama au kwa ujumla wenu mliopo pale hampo salama basi kuwa mwokozi kwa wenzako mapema tu kwa kutoa taarifa hata serikali za mitaa au balozi kama hauna network za usalama wa ngazi ya taifa ....Suala siyo kijiwe chake wala mkewe, mara madeni mara kutisha watu. Kuwalaumu hao waliokimbilia vyumbani kuokoa maisha yao.
Si kila mtu anaweza kukabiliana na tukio la hatari tena lenye kuhusiana na silaha ya moto, hawapaswi kulaumiwa hata kidogo.
Amekuelewa vyema kwa sababu yeye na wewe mna akili za kusogeza.wewe umenielewa vizuri sana hachana na huyo anaejiita Mbao za Mawe akili yake ni ngumu kuchanganua mambo...
Sitaki kufikiri kuhusu concern yako wala nini.Nafikiri concern yangu kubwa hapa ni kwamba unapokuwa katika sehemu fulani pindi unapoona jambo ambalo kwako si salama au kwa ujumla wenu mliopo pale hampo salama basi kuwa mwokozi kwa wenzako mapema tu kwa kutoa taarifa hata serikali za mitaa au balozi kama hauna network za usalama wa ngazi ya taifa ....
Husifikirie kuwa kila mtu anafirwa kama wewe nyie ndio mnakunywa pombe za bure mkisubiri wake zenu waje wawalipie swine malaya utafirwa sana mwaka huu kwa pombe za bure,Tuliza nyonyo zako hizo zisizokaa kwenye sidiria kisha utafute akili japo kidogo za kutumia. Unatawanya damu zako za hedhi kisha unategemea kila mmoja asifie?
Natamani ningekuwepo hapo kwenye hiyo Bar, huyo jamaa ningembeba juu juu na bastola yake nikamrusha kauntaKwamba wale waliokimbilia vyumbani hawakupaswa kukimbia! Akili yako ina ushirikiano mdogo sana na mwili wako...
Nilisema awali kuwa akili yako haiendani na ukubwa wa mwili wako. Mwili mkubwa akili ndogo kama punje ya mchicha, sasa kwa vile unapasuka acha leo nikupasue hadi uupate akili.husifikirie kuwa kila mtu anafirwa kama wewe nyie ndio mnakunywa pombe za bure mkisubiri wake zenu waje wawalipie swine malaya utafirwa sana mwaka huu kwa pombe za bure,
Unachosema ni kweli, tunaweza kupunguza kwa kutoa taarifa au ata kuondoka katika eneo ambalo unaona sio salama , kwenye pombe usimjue mtu hasa akiwa amelewa hata kama ni ndugu yako , tafuta njia awekwe katika mikono salama pombe ikiisha atapata akili basi.....lakini usije mfuata na kusema fulani tulia bwana sio fresh ... mlevi hata kama anapanga anaweza kukucharanga.... be safe .. stay safeHasingekufa mtu usingepata wazo la kundika nyuzi yako. limetokea na yatatokea mengi tu, kila kitu kinasababu. Hatuwezi kuzuia ajali ila tunaweza kupunguza
Aksante kwa kunielewaWale jamaa walitakiwa kuhama ile baa mapema sana. Ile kuona tu yule mwehu anatoa Bastola tu walitakiwa kutoa taarifa polisi na kuamsha.
Acha kuisingizia pombe kwa ujinga wa akili yako,na yule demu aliemchoma mpenzi wake akiwa ndani nae alikunywa pombe?Hizi pombe tunakunywa tu, ila sio nzuri na kuacha hatuwezi, Tuombe tu Mungu atupe Hekima tukishalewa...
Mtu ana kilo 180 na akili sudusi atapata wapi uelewa wa kuweka nukta na aya katika uandishi wake.huu uandishi kiboko
hakuna Nukta wala paragraph
Doh ushachafua hali ya hewa sasahusifikirie kuwa kila mtu anafirwa kama wewe nyie ndio mnakunywa pombe za bure mkisubiri wake zenu waje wawalipie swine malaya utafirwa sana mwaka huu kwa pombe za bure,