Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Umefufuka mpiga pambio wa KayafaWewe jamaa akili yako ndogo sana mwisho!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefufuka mpiga pambio wa KayafaWewe jamaa akili yako ndogo sana mwisho!
Aksante kwa kunielewa ....Hata kijana aliyeuliwa alikuwa na kosa. Yaani mtu anafyatua risasi halafu wewe unamfuata!!!!! Sijui ndiyo kifo kilikuwa kinamuita. Yaani walevi noma sana!!! Kwanini hawakuondoka wote wamwache peke yake? Hata kuita polisi mapema kabisa kabla hajaua ingewezekana. Kufuatana na mashuhuda huyo mtu alienda mapema tu na mauaji kayafanya jioni au mchana!!! kweli mkuu yangeweza kudhibitiwa mapema!!!!! Halafu mtu mwenyewe wanamjua anafanyaga fujo siku zote!!!!!
Huyu nae alikuwa na uwezo wa kuzuia hili jambo mapema tu, pale alipomwambia marehemu aache kutoa bastola yake na akatii amri na kuomba msamahaa hapo ndio ulikuwa wakati muafaka wa kumuweka marehemu chini ya ulinzi mkali ili kuokoa maisha yake ...TISS aliyekimbia atafutwe na anyongwe.
Aksante siyo neno la Kiswahili wewe Magdalena jifunze kuandika pia punguza mwili wako uendane na akili.Aksante kwa kunielewa ....
Mkewe ingetakiwa amu report anyang'anywe hyo bastola maana alikuwa anajulikana tabia yake ya ukorofi. Ona Sasa kaacha familia yatima na sisi wanawake ujasiri wa kuwa na wagonjwa wa akili huwa tunautoa wapi aiseeYani wanaume wa Dar hasara sana... mwanaume kanywa bia za laki sita alafu mkewe anakuja kulipa hiyo akili kweli , mashoga Dar wengi sana kwa sababu ya kupenda mteremko wajinga sana .....
Unasema ukweli kabisahuyu nae alikuwa na uwezo wa kuzuia hili jambo mapema tu, pale alipomwambia marehemu aache kutoa bastola yake na akatii amri na kuomba msamahaa hapo ndio ulikuwa wakati muafaka wa kumuweka marehemu chini ya ulinzi mkali ili kuokoa maisha yake ...
Lawama ipi? justify ili nijueHamna kitu hapa ume andika kwa lawama tu..tena wewe ndo ungekimbia zaidi ya mbio za harmorapa
Nakubaliana na wewe kuwa ni unproper care kwa customers ambao wapo ndani ya himaya yako kwa huduma maalum..wamiki wa baa wanaweza kushitakiwa kwa negligence.
Wewe kiumbe sijui kama ni mzima kiakili unathubutu kusema kuwa " kuambiwa usinywe kupita kiasi ni unatahadharishwa tu wala sio katazo" nikuulize swali kuna tofauti gani kati ya neno " kunywa kupita kiasi " na usinywe kupita kiasi" naomba nijibu ili nijue uwezo wako wa kufikiri... usikute nabishana na msukuleUmeandika nini sasa? Yani hapa unakuja na nadharia za kiduanzi kweli. Hivi ni sheria gani inasema mtu akija kwenye bar yako akiwa ameshalewa usimuuzie pombe?
Sheria inakataza usiuze kwa underage tu. Hata haikatazi kunywa kupita kiasi, kuambiwa usinywe kupita kiasi ni unatahadharishwa tu wala sio katazo.
Jenga hoja wewe mseng baridi , kunywa pombe za bure alafu kamwambie mkeo aje alipe soon utavalishwa dera na kupewa kifir takatifuAksante siyo neno la Kiswahili wewe Magdalena jifunze kuandika pia punguza mwili wako uendane na akili.
Kuna umbile katika mwili linakudanganya sana wewe Magdalena, kuwa na kitovu kikubwa si kwamba ni uume. Mama yako alikukata kitovu vibaya na ukapata kitu kirefu tumboni kama uume, hicho kitu kinakupa kiburi na kukaa karibu na wanaume mimi nitakuingilia hivyohivyo bila kujali una jinsia mbiliJenga hoja wewe mseng baridi , kunywa pombe za bure alafu kamwambie mkeo aje alipe soon utavalishwa dera na kupewa kifir takatifu
Baa za kichovu hizokwani kwenye mabaa siku hizi hakuna kukaguliwa wakati wa kuingia ndani.
"Kunywa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako" Je hilo ni katazo au ni tahadhari (alert)?wewe kiumbe sijui kama ni mzima kiakili unathubutu kusema kuwa " kuambiwa usinywe kupita kiasi ni unatahadharishwa tu wala sio katazo" nikuulize swali kuna tofauti gani kati ya neno " kunywa kupita kiasi " na usinywe kupita kiasi" naomba nijibu ili nijue uwezo wako wa kufikiri... usikute nabishana na msukule
Hajitambui kabisa.Huyu jamaa nimegundua mapema kukosekana kwa ushirikiano kati ya akili na mwili.
Yea ndio mana tunashauliwa tusinywe kupitiliza, zipo na hasara nyingi sana hizi.unachosema ni kweli , tunaweza kupunguza kwa kutoa taarifa au ata kuondoka katika eneo ambalo unaona sio salama , kwenye pombe usimjue mtu hasa akiwa amelewa hata kama ni ndugu yako , tafuta njia awekwe katika mikono salama pombe ikiisha atapata akili basi.....lakini usije mfuata na kusema fulani tulia bwana sio fresh ... mlevi hata kama anapanga anaweza kukucharanga.... be safe .. stay safe