Mauaji yaliyotokea Lemax Bar Sinza kwa Remmy yalikuwa yanaweza kuzuilika mapema

Aksante kwa kunielewa ....
 
TISS aliyekimbia atafutwe na anyongwe.
Huyu nae alikuwa na uwezo wa kuzuia hili jambo mapema tu, pale alipomwambia marehemu aache kutoa bastola yake na akatii amri na kuomba msamahaa hapo ndio ulikuwa wakati muafaka wa kumuweka marehemu chini ya ulinzi mkali ili kuokoa maisha yake ...
 
Yani wanaume wa Dar hasara sana... mwanaume kanywa bia za laki sita alafu mkewe anakuja kulipa hiyo akili kweli , mashoga Dar wengi sana kwa sababu ya kupenda mteremko wajinga sana .....
Mkewe ingetakiwa amu report anyang'anywe hyo bastola maana alikuwa anajulikana tabia yake ya ukorofi. Ona Sasa kaacha familia yatima na sisi wanawake ujasiri wa kuwa na wagonjwa wa akili huwa tunautoa wapi aisee
 
Hamna kitu hapa ume andika kwa lawama tu..tena wewe ndo ungekimbia zaidi ya mbio za harmorapa
 
huyu nae alikuwa na uwezo wa kuzuia hili jambo mapema tu, pale alipomwambia marehemu aache kutoa bastola yake na akatii amri na kuomba msamahaa hapo ndio ulikuwa wakati muafaka wa kumuweka marehemu chini ya ulinzi mkali ili kuokoa maisha yake ...
Unasema ukweli kabisa
 
Watu wanamna hii maiti zao wasipewe ndugu, ichukuliwe wapelekewe fisi wakale msosi au ziuzwe tu india watu wakafanyie practical shuleni, pili wafilisiwe mali zao ili marehemu wahanga wa tukio angalau wapate pa kuanzia.

Hii itakuwa funzo kwa wajinga wajinga wengine na wapumbavu wenye kupenda sifa za kifala fala..
 
Wewe kiumbe sijui kama ni mzima kiakili unathubutu kusema kuwa " kuambiwa usinywe kupita kiasi ni unatahadharishwa tu wala sio katazo" nikuulize swali kuna tofauti gani kati ya neno " kunywa kupita kiasi " na usinywe kupita kiasi" naomba nijibu ili nijue uwezo wako wa kufikiri... usikute nabishana na msukule
 
Aksante siyo neno la Kiswahili wewe Magdalena jifunze kuandika pia punguza mwili wako uendane na akili.
Jenga hoja wewe mseng baridi , kunywa pombe za bure alafu kamwambie mkeo aje alipe soon utavalishwa dera na kupewa kifir takatifu
 
Jenga hoja wewe mseng baridi , kunywa pombe za bure alafu kamwambie mkeo aje alipe soon utavalishwa dera na kupewa kifir takatifu
Kuna umbile katika mwili linakudanganya sana wewe Magdalena, kuwa na kitovu kikubwa si kwamba ni uume. Mama yako alikukata kitovu vibaya na ukapata kitu kirefu tumboni kama uume, hicho kitu kinakupa kiburi na kukaa karibu na wanaume mimi nitakuingilia hivyohivyo bila kujali una jinsia mbili

Endelea kutikisa puru lako
 
"Kunywa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako" Je hilo ni katazo au ni tahadhari (alert)?

"Hairuhusiwi kuuzwa kwa wenyw umri chini ya miaka 18" Je hilo ni katazo au ni tahadhari (alert)?


Jitafakari wewe kilaza.
 
Mimi nimekuelewa mkuu, hata mi niliwaza kama wewe kua kwanini wale watu pale hawakutoa taarifa mapema.

Ila kuna mahali pia nilisoma kua jamaa hiyo ilikua tabia yake na alishashtakiwa na watu kadhaaa kwa kadhia hiyo lakini hakuchukuliwa hatua wala hakuacha.

Na tatizo kubwa linaweza kua ni uhusiano wetu raia na polisi. Mtu anawaza akiwa wa kwanza kutoa taarifa ataswagawa akatoe ushahidi, ama lah jamaa akikamatwa soon ataachiwa na wewe mtoa taarifa utasakwa.

Hii kitu sometimes inaleta shida sana uraiani kutoa taarifa mapema, polisi na raia hawana urafiki, raia wanaogopa polisi na polisi wanajimbafy kwa raia.
 
Yani hapa Police walioteuliwa wafanye kitu cha tofauti Police wawe karibu na wananchi kima wasiliano sababu namba zao azieleweki 112 aipokelewi mifumo mibovu ya mawasiliano
 
Yea ndio mana tunashauliwa tusinywe kupitiliza, zipo na hasara nyingi sana hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…