Maulid Kitenge ameigeuza radio ya Wasafi FM kuwa mali yake, ashawishi wenzake kupotezea habari ya Lissu

Anakera sana huyu jamaa. Habari ya Tundu Lissu kuuawa kwa msaada wa tiGO ipo very clear halafu yeye anawatshawishi wenzake waache kuirusha hewani. Maana yake nini?
Tundu Lissu kauwawa lini?
Acha kuvuta bangi
 
Mmiliki wa kituo ye mwenyewe ni chawa mkuu wa chama cha kijani so hakuna jipya
 
Kwa zile highlights za kipindi chao ninazoziona huko kwenye account zao za instagram hicho kipindi hakijawahi kunivutia kukisikiliza wala sijawahi kukisikiliza hamna jipya zaidi ya kelele wao wanaona ubunifu ni kelele & unafki mwingi
 
Umewaza ushoga maana ndio kazi zako mjini

Ushapakuliwa unadhani kila mtu ni mwenzio

Dogo uwe na adabu

Unalalamika Media za watu fungua yako useme mazuri ya saccos ya kengeza
Massawe, tunawajua watu kwa tabia zao na mienendo yao. Sasa yako yanamuelekeo huo. After all vijana wengi wa uvccm walio pona mtego huo ni wa kuhesabu
 
You will be fine. You will be fine!
Jikite kusikiliza Redio Maria. Achana na Wasafi.
 
Ukiwa na akili timamu huwezi kuifatilia hiyo redio
Ya wapakwa 🛢

Ova
 
Tatizo mmoja wa mabosi ana msongo wa mawazo kwa sasa baada ya siri yake ya kupakwa baby oil kuvuja hivyo wafanyakazi wanafanya watakavyo.
 
Mi nakerwa na aina ya utangazaji wa wake wa kupayuka kama kinda la ndege mwenye njaa.
 
Huenda anatumia line ya mtandao wa tiGo.
 
Tunalifahamu hilo lile kikoi ni debe tupu
 
Ilalamikie TBC inayoendeshwa kwa Kodi yako mkuu.
 
hawa wote ni wale wa chupa za mafuta kwa Didy kwahiyo sishangai, ogopa sana mtu anayelelewa na akina mama.
 
Sema wana mnafurahisha sana dunia hi ya 2024 bado unasikiliza mi redio ya tanzania?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sikumbuki mara ya mwisho kusikiliza media zozote za bongo nyie mnawezaje wakuu???

Mambo ya Lissu na press yake yameripotiwa vzr sana na bbc, voice of America na ile kesi ya Millcom Ipo kwenye website ya serikali ya UK ukisoma hizo nyaraka kwa nini umtegemee kipenyo Kitenge??
 

Attachments

  • image_2024-09-26_110525794.png
    65 KB · Views: 4
Wasipoisoma wao itasomwa kwingine kwahiyo sio lazima maana vyombo vya habari viko vingi TV's, redio's, newspapers ,social media etc.
 
Tumia ubongo kufikiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…