Maulid Kitenge ameigeuza radio ya Wasafi FM kuwa mali yake, ashawishi wenzake kupotezea habari ya Lissu

Maulid Kitenge ameigeuza radio ya Wasafi FM kuwa mali yake, ashawishi wenzake kupotezea habari ya Lissu

Uliyoyaandika Sina uhakika kwa sababu sija-prove lakini Kuna kitu nimeki-note kwenye vipindi vya michezo vya wasafi kwa sababu Mimi ni mfuatiliaji wa michezo... Kuna namna flani Maulid Kitenge ana-overpower na kuki-dictate kipindi Cha michezo anavyopenda yeye...
 
Hivi mnasikiliza Redio. Miaka hii.

Mimi niliacha kitambo sana.

Redioni nasikiliza Old Bongo Fleva. Kupitia Sportfy, BoomPlay. Nikichoka nazima.

Habari zote nazipa humu kwenye masocial media.

Hata Tv huna nacheki Gemu tu za mpira baada ya hapo Tv nazima
 
Anakera sana huyu jamaa. Habari ya Tundu Lissu kuuawa kwa msaada wa tiGO ipo very clear halafu yeye anawatshawishi wenzake waache kuirusha hewani. Maana yake nini?
Haha mkuu, Tundu Lisu hajauwawa, bado anaishi na ataendelea kuishi mpaka Mungu mwenyewe atakapoamua.😊
 
Uliyoyaandika Sina uhakika kwa sababu sija-prove lakini Kuna kitu nimeki-note kwenye vipindi vya michezo vya wasafi kwa sababu Mimi ni mfuatiliaji wa michezo... Kuna namna flani Maulid Kitenge ana-overpower na kuki-dictate kipindi Cha michezo anavyopenda yeye...
Anafanya hivyo kwa maslahi ya Yanga kwa kuwa ni shabiki wa timu hiyo. Lakini pia anawaminya upinzani na kuipaisha CCM kwa sababu amekula hela za mwarabu wa DP World. Huyu jamaa anapenda sana hela. Hata angeitwa na Pdidy ampake mafuta angekubali tu kwa sababu ya fedha. Kwenye upande wa fedha, Kitenge ni zaidi ya changudoa.
 
Sikio halizidi kichwa. Huu ni msemo maarufu wa wahenga unaolenga kuwaonya watoto kuwaheshimu wazazi/walezi wao au wafanyakazi kuwaheshimu waajiri na viongozi wao wa kazi.

Anayejiita mtangazaji (mimi namuona kama mchekeshaji tu) Maulid Kitenge wa Wasafi FM ameshindwa kuuishi msemo huu wa wahenga. Leo asubuhi wakati wakiwa kwenye kipindi cha Good norning amewashawishi watangazaji wenzake kuacha kuisoma habari ya Lissu kushambuliwa na wasiojulikana kwa msaada wa kampuni ya simu ya tiGO. Habari waliyoacha kuichambua imeandikwa kwenye vichwa vya magazeti yote, likiwemo gazeti la mwananchi.

Sababu alizotoa ni kuwa habari hiyo ni nzito, hivyo haipaswi kwenda hewani na kwamba inaweza kuwaletea mgogoro. Lakini nimesikiliza redio zote zimeisoma na kuichambua hiyo habari isipokuwa Kitenge na wachekeshaji wenzake ndio wameiruka hii habari kama ilivyoandikwa na magazeti mbalimbali hapa chini:

Lissu kuwashtaki tIGO kwa kuwasaidia waliotaka kumuua

Sio mara moja Kitenge kutumia uchawa wake kuacha kutangaza habari ambazo zinaigusa moja kwa moja CCM na serikali yake. Sote tunakumbuka jinsi alivyotumia Wasafi FM Radio kuzima na kupotosha suala la DP World. Na wala sio mara ya kwanza Kitenge kulaumiwa na wasikilizaji kupotosha au kulazimisha habari anazozitaka yeye.

Siku za nyuma kuna mdau mmoja alialamika hapa JF kuhusu Kitenge kuitumia Wasafi Radio kama chombo.chake binafsi kupromote mambo ya timu ya Yanga na kuididimiza Simba. Siku za karibuni tumeshuhudia akiitumia Wasafi FM kumtukana mzee Magoma, kwa sababu tu Magoma kafungua kesi halali kuishitaki Yanga. Wala hakuogopa kutumia redio kumtukana mzee Magoma hadharani, hasa ukizingatia bado kesi ipo mahakamani.

MAONI YANGU
Wasafi FM ni chombo cha habari kinachoendeshwa kibiashara. Mmiliki wa chombo hiki asipokuwa makini na kumruhusu Kitenge kikutumia kama chombo binafsi cha kutangazia mambo anayoyapenda tu, kitapoteza mwelekeo na kupotea katika tasnia ya utoaji habari. Redio itapoteza wasikilizaji na mapato kutokana na matangazo yatapungua. Hapo ndipo chawa Kitenge atakapoanza kuhangaika huku na huku akitafuta kazi kwenye vituo vingine vya redio.

Namshauri mmiliki wa redio hii amuonye Kitenge na wachekeshaji wenzake waache kutumia Wasafi FM kwa manufaa yao binafsi kabla hajavuna mabua.
Hivu hizi redio za wauaji mnaendelea kuzikiliza?
 
Au pdidy kawatuma

Wajue,tunafatilia video Yao wakati bosi wao na meneja wao wakigegedwa kwenye vyumba vya pididy
 
Anakera sana huyu jamaa. Habari ya Tundu Lissu kuuawa kwa msaada wa tiGO ipo very clear halafu yeye anawatshawishi wenzake waache kuirusha hewani. Maana yake nini?
Lissu kauawa?!
 
Lissu kauawa?!
Walipanga kumuua mkuu. Lakini sasa kila kitu kiko wazi. Tigo walihusika kumuwinda Lissu kwa kutoa location yake 24/7 ili wamuue. Wewe huoni lengo lao lilikuwa ni kumuua Lissu?
 
Back
Top Bottom