Maulid Kitenge ameigeuza radio ya Wasafi FM kuwa mali yake, ashawishi wenzake kupotezea habari ya Lissu

Kiherehere chako kimekuponza. Ni nani amekutuma usikilize radio za CCM kama Wasafi n.k wakati kuna redio stations kibao.
Nimekoma mkuu. Sirudii tena kusikiliza hii takataka.
 
Fungua redio yako ndg

Unalia lia kijinga kabisa

Unalalamika umeweka sh ngap hapo wasafi?
Mkuu usikurupuke. soma kwanza uelewe mada kabla ya kucomment. Hoja yangu haipo kwenye umiliki bali utoaji wa habari kwa usawa. Umeelewa?
 
kama kweli kaacha kusoma hiyo habari kakosea mnooo, ila kutumia redio kuipaisha yanga yuko sawa sana, watanzania wana haki ya kufahamu raha tupatazo wana yanga ili wajumuike nasi

sasa upande wa nyau atasifia nini
 
Anakera sana huyu jamaa. Habari ya Tundu Lissu kuuawa kwa msaada wa tiGO ipo very clear halafu yeye anawatshawishi wenzake waache kuirusha hewani. Maana yake nini?
Kushambuliwa.....
 
Moja ya redio ambayo siwezi kupoteza muda wangu kusikiliza ni hii redio ya Wasafi.
 
😁😁😁Kitenge, Hando na zembwela baada ya kupakwa mafuta na kuingiliwa kwa pupa kimwili na waarabu wa DP World wamekuwa kama mademu.
 
Kitenge ni usalama kwenye tasnia ya habari, habari ndio hio
 
Unafikiri jinsi mnavyomlamba Samia viatu kila mtu ni chawa kama wewe unayelamba makalio ya mafisadi wa CCM ili mkono uwende kinywani? Umelaaniwa wewe mwehu!
 
Umewaza ushoga maana ndio kazi zako mjini

Ushapakuliwa unadhani kila mtu ni mwenzio

Dogo uwe na adabu

Unalalamika Media za watu fungua yako useme mazuri ya saccos ya kengeza
Mkuu hebu kuwa na adabu kwa members wenzako. Matusi yanonesha jinsi akili zako zilivyo.
 
Tundu Lissu kauwawa lini?
Acha kuvuta bangi
Nyie michawi na mishetani wakubwa mlitaka kumuua mkachemka. Lissu ana Mungu na nyie mna shetani. Hebu kaa mbali na watu wanaolindwa kwa damu ya Yesu na Allah.
 
Lakini nimesikiliza redio zote
According to the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), Tanzania Mainland has 218 radio stations, while Zanzibar has 27.10 Jul 2024.

Uko vizuri sana.
 
Hakika. Na atakuwa anapakwa mafuta na Diamond, sio bure!
Kipindi fulani alitoka E FM akaenda Wasafi akawa anapakwa mafuta na mondi, majizo akamrudisha E FM kwa kumpa mshahara mnono lakini mwaka jana akarudi Wasafi baada ya kumisi dude la mondi akaona bora afikishwe kileleni kololiko kupewa mshara mnono.

Chezea kufikishwa kileleni weye.
 
Anakera sana huyu jamaa. Habari ya Tundu Lissu kuuawa kwa msaada wa tiGO ipo very clear halafu yeye anawatshawishi wenzake waache kuirusha hewani. Maana yake nini?
( Habari ya Tundu lisu kuuawa )

Ndio umeandika niniapo we jamaa[emoji115]
 
Fukuza kitenge hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…