Maulid Kitenge aondoka Wasafi FM

Maulid Kitenge aondoka Wasafi FM

Wamerud na ule msemo wao

#huumchezohauhitajihasira
Screenshot_2021-08-06-08-48-07-071_com.instagram.android.jpg
 
Hawa walikuwa na mkataba wa muda kukuza kipindi cha michezo wasafi
Kuna uwezekano mkubwa ilikuwa hivyo kwa maandishi ya majizo instagram inaonesha maulidi alienda wasafi kwa kazi maalumu tu na ni hiyo kukuza kipindi cha michezo.
 
Back
Top Bottom