Amemaindi orest kawau kwenda pale bado zembwela nae hasikiki kabisa bora angerudi hata efm.Kupitia ukurasa wa Wasafi Fm huko Instagram, wametangaza Maulid Kitenge ameondoka rasmi Wasafi Fm kuanzia leo sio tena mtangazaji wa kituo hiko!
View attachment 1881647
View attachment 1881665
Elimu nayo kanjanjaKulikoni?
Labda akawe mchambuzi wa michezo sio matangazo .ila siku nyingi ni kama alikuwa anafukuzia pengo la isack gambaInasemekana eti anaelekea BBC
Elimu kanjanja labuda awekwe masijala kwanzaBBC ATAONGEA NINI?? AU NDO ATAANZA KUJIFUNZA?
Tangu afungue on line tv yake kama milard ayo kawa na kiburiJamaa hatulii kwenye kazi
Studio wamejazana hadi wengine kama zembwela ngota yake imemezwa ndo kabisaa hasikiki tenaSababu ya kuondoka?
Basi anavyojisikia nayo wee acha tuumzee wa Minnesota
Bado zembwelaAfadhali, anapigaga kelele Sana.
Upande ganiAnaenda anakoelekea
[emoji613]Kamaliza ushushushu usafini[emoji23][emoji23]
Minnesota[emoji26][emoji26]
Naona amerudi EFMLabda akawe mchambuzi wa michezo sio matangazo .ila siku nyingi ni kama alikuwa anafukuzia pengo la isack gamba
Inawezekana maana nimeona huko twiter kapost video anaingia efm na ndinga anarudi kipindi kile kile cha sportNaona amerudi EFM
Kuna uwezekano mkubwa ilikuwa hivyo kwa maandishi ya majizo instagram inaonesha maulidi alienda wasafi kwa kazi maalumu tu na ni hiyo kukuza kipindi cha michezo.Hawa walikuwa na mkataba wa muda kukuza kipindi cha michezo wasafi