ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
Wapo wengi hapo mamaeee anaviziwa ambangile sasa iviHawa walikua na mkataba wa muda kukuz kipindi cha michezo wasafi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wengi hapo mamaeee anaviziwa ambangile sasa iviHawa walikua na mkataba wa muda kukuz kipindi cha michezo wasafi
Ofcourse wasafi kama wanaakili wamuwekee mpunga mrefu huyu jamaa wasije kupokonywa kama jonijooWapo wengi hapo mamaeee anaviziwa ambangile sasa ivi
Jamaa hatulii kwenye kazi
Ishu sio akili ni mkwanjaOfcourse wasafi kama wanaakili wamuwekee mpunga mrefu huyu jamaa wasije kupokonywa kama jonijoo
Kama ni hivi nakubaliInasemekana eti anaelekea BBC
Asee mkuu nakubaliana na mtazamo wako juu ya Kitenge...Mulid ni mswahili kama Manara professionalism hana. Huwa anjishau na kuweka mahaba yake mbele.
Anaondoka na mwanaidi?Maisha yanaenda kasi sana leo hii..
1.manara out simba
2.kitenge out wasafi.
Nasikia chuma chake etiii.Anaondoka na mwanaidi?
Maana hamns kitu pale michezoni anafanya
Sasa anarudije EFmNadhani ameondoka kwasababu ya maslahi,kuna malalamiko hizi EFM NA WASAFI mishahara inachelewa sana
Kivipi?Anaenda Efm...Wamemuaga lakini pia wamevuruga exclusive ya Efm kesho...Pia Kitenge ni mtu wa kunyea kambi so wamezima mashambulizi incase alitaka kutoa povu.
Manara anaingia Kitenge anatokaWasafi Wamchukue yule dogo wa Clouds, Farhan.
He is the best.
Wabongo hawanaga hizi mambo hata kama exclusive imeharibika.....wao umbea ni dili lazima watamsikiliza tu iyo keshoAnaenda Efm...Wamemuaga lakini pia wamevuruga exclusive ya Efm kesho...Pia Kitenge ni mtu wa kunyea kambi so wamezima mashambulizi incase alitaka kutoa povu.
How????Manara anaingia kitenge anatoka