Maulid Kitenge, huoni aibu kuwasaliti Watanzania wenzako? Hatimaye ukweli umefichuka

Maulid Kitenge, huoni aibu kuwasaliti Watanzania wenzako? Hatimaye ukweli umefichuka

1645604973371.png
 
Hapo umezungumza nisichokihoji wala nisichokipinga, so ni kama hukaandika kitu.

Wamasai kuondolewa hatupingi, ila tunapinga wao kuondolewa ili aje mtu mwingine kuua wanyama kwa kujiburudisha, as simple as that.

Mimi namlaumu Kitenge, wewe ilau serkali, tugawane majukumu jamani.
Sasa hilo ni tatizo la serikali. Hili la waarabu kuletwa hifadhini hufanywa na marais wa kiislam sijui kwanini.
Mwinyi...aliuza Loliondo
Kikwete..Ngorongoro
Maza naye tena?
 
Hapo umezungumza nisichokihoji wala nisichokipinga, so ni kama hukaandika kitu.

Wamasai kuondolewa hatupingi, ila tunaoinga wao kuondolewa ili aje mtu mwingine kuua wanyama kwa kujiburudisha, as simple as that.
Hiyo point sana mkuu, hakuna anayepinga ila tuu wamaasai wasitolewe then tukaona waarabu wanamilikishwa vitalu kwa uwindaji itakuwa ni aibu na karaha kwa wale wote tunaopenda mazingira na Mbuga zetu
 
Jibu swali... Wamasai 120,000 wanakula nini na kuni za kupikia wanatoa wapi? Wakati hairuhusiwi kukata miti wala kuchanja kuni? Wanatumia gas kupika?
Wanakula nini kwani wewe unakula nini? Si unanunua toka sokoni, mtu anafuga ng’ombe ambae akiuza mmoja tu anaingiza hadi milioni, ashindwe kununua kiroba cha unga na mchele?! Swali gani hili?! Na kama lengo ni kuhifadhi mazingira sababu wanakata kuni basi hatukatai kuhamishwa kwao, ila sio wahamishwe wapewe waarabu waje kuua simba, shida iko hapo, maana anaeua simba na anaekata kuni, huyu muuwaji wa simba ndio mharibifu zaidi, lazima tkinde kwanza watu wetu kabla ya kumlinda mgeni mvamizi na muuwaji
 
Kila
Kila nchi ina vivutio vyake vya utalii so kujilinganisha na Ufaransa ni kushindwa kuweka ulinganifu mzuri.

Sijui kama unajua madhara ya shughuli za binadamu kwenye mbuga za wanyama ?
Ni sawa na kusema tuwaachie watu
Wae deleze shuguli zao kwenye
vyan zo maji kwa sababu tu ni wazaliwa pale
Binadamu lazima awekee mipaka kwenye kila jambo maana ana ubinafsi wa asili,
Tunaweza kuangalia maslahi ya wachache lakini tukaleta hasara kubwa kwa taifa
Embu fikiri kama mbuga na misitu zisingelindwa kila jamii iliyo karibu nazo ikavamia na kuendeleza shughuli zake huko , nini kingetokea ?
Tuache siasa zisizo na faida kwa rasimali za taifa na kizazi kijacho
Kwa hiyo mwarabu yeye akiua wanyama anaiendeleza mbuga?what a rubbish!Inakera kuona wale wanaopaswa kuja kutalii kuona wasivyo kuwa navyo kwao ndio wanapewa umiliki kwetu ili wakaanzishe hifadhi kwao!
 
Tusisahau kipindi hicho Raisi
Walipouza Loliondo gazeti la kwanza kuripoti taarifa ile (Motomoto) lilifunguwa mazima hadi leo.. Na hilo hilo lilifungiwa pia kwa kusema Zanzibar ilipojiunga na OIC. Kama kawa, ilipingwa kwanza na Serikali na watu kadhaa kuliwa vichwa.. LAKINI HADI LEO LOLIONDO SIYO YETU TENA.. Hao hao akina so called royal family walifanya yao.

LEO WAMERUDI TENA
aliye
Walipouza Loliondo gazeti la kwanza kuripoti taarifa ile (Motomoto) lilifunguwa mazima hadi leo.. Na hilo hilo lilifungiwa pia kwa kusema Zanzibar ilipojiunga na OIC. Kama kawa, ilipingwa kwanza na Serikali na watu kadhaa kuliwa vichwa.. LAKINI HADI LEO LOLIONDO SIYO YETU TENA.. Hao hao akina so called royal family walifanya yao.

LEO WAMERUDI TENA
Tusisahau aliyekuwa Raisi kipindi Loliondo inauzwa alikuwa Mzee Ruksa,Na dini yake inajurikana,Loliondo wakapewa waarabu.
Kikwete,wanyama hai walisafirishwa kwenda uarabuni,
Sasa tuna Raisi Muislam(naweka msisitizo kwenye dini),haya yanatokea,maofisini watu wanaulizwa dini na makabila yao.
Waislam,kwao dini na maisha ya kila siku havitengani,kila wakifanyacho lazima dini Itahusika,utasikia Mimi mtoto wa Kiislam lazima nifunge,siwezi kufanya mstangazo ya bia,lakini huyo huyo anapigwa pipe na bsdo hajaolewa.
 
Masai anauzaga ng'ombe ili kununua chakula? Unawajua Masai wewe? Wake zao na watoto wanashinda kwenye kambi za watalii kuomba chakula, na wamama wa kumasai kujiuza ili wapewe chakula, unataka kusema nini..Tatizo unajifanya kujua mambo ya ngorongoro na Loliondo wakati hata kufika hujawahi kufika.. achilia mbali kuishi huko. Hizo NGO za kikenya zinazoandika hizo article ili wamasai wasihame waharibu hifadhi sisi hatutokubali
Sawa tufanye wamasai ni ombaomba wa chakula, so what? Kama wanaondolewa kwa lengo la uhifadhi ni sawa, ila shida inakuja kwamba lengo la kuwaondoa ni ili kupisha wauaji waarabu wanaokuja kuua simba kwa kujiburudisha, shida iko hapo tu, maana hao ni waharibifu zaidi ya hao wanaokata kuni. Lazima tuangalie maslahi ya watu wetu kwanza kabla ya kumburudisha mgeni, hata kama ana pesa, huo ndio ubinadamu.
 
I see. Kumbe na Mimi nilipiga kelele bila kujua mambo kiundani.

Vipi wabunge wanaelewa wanachopigania?
Ulipiga kelele sawa..

Nahapa pia unafanya kosa lile lile...maana bado huna ushaidi zaid ya kusikia kam ulivyo sikia mwanzo..

Ni bora ukae kimya tu...

Siri ni nzito
 
Mwanzoni mwa mwezi huu wa pili 2022 kuliibuka ghafla na kwa kasi ya ajabu jitihada za makusudi za kujaribu kuwaondoa wamasai katika ardhi zao za kimila huko Ngorongoro kwa madai ya kwamba binadamu wamekuwa wengi huko Ngorongoro na hivyo wanaharibu ekolojia.

Vita hii ya kuwaondoa wamasai ilikuwa spear headed na nguli wa habari za michezo ndugu MAULID KITENGE ambapo alifanya ziara huko Ngorongoro na kutuambia WaTz kwamba eti ‘HALI INATISHA HUKO NGORONGORO’.

Wengi wetu tulihisi kuna jambo nyuma ya pazia, kwamba ghafla tu mtu wa michezo anaenda kushikia bango jambo lisilo la kimichezo; kiasi tulipata hisia kwamba amaelipwa pesa ili kueneza propaganda kwa maslahi ya waliomtuma.

Haya sasa, imekuja kugundulika kwamba hilo eneo la Ngorongoro anataka kuuziwa kampuni ya uwekezaji toka Falme za kiarabu inayomilikiwa na ‘Royal family’ kwa ajili ya kuendesha uwindaji wa kujifurahisha (game hunting), kampuni hiyo inaitwa OBC.

Sasa namuuliza ndugu yangu Kitenge, HUONI AIBU kuwasaliti WaTanzania wenzako?!


==================================
Video mbali mbali za miaka ya nyuma (10+ years) zinazohusu kuwaondoa wamasai ili kuwapa waarabu vipande vya ardhi ya Ngorongoro vilihusisha ukiukwaji wa haki za binadamu

=============================
“Mtanikumbuka....” By JPM.

Nakumbuka nilimpiga nyundo huyu maandishi njaa mpaka akaniblock [emoji3] analeta hoja maandazi kweli [emoji29] majinga hata hayajui maana halisi na asili ya Ngorongoro [emoji29] Mbuzi wa Kisalamanda kabsa [emoji3]
 
Tusisahau kipindi hicho Raisi

aliye

Tusisahau aliyekuwa Raisi kipindi Loliondo inauzwa alikuwa Mzee Ruksa,Na dini yake inajurikana,Loliondo wakapewa waarabu.
Kikwete,wanyama hai walisafirishwa kwenda uarabuni,
Sasa tuna Raisi Muislam(naweka msisitizo kwenye dini),haya yanatokea,maofisini watu wanaulizwa dini na makabila yao.
Waislam,kwao dini na maisha ya kila siku havitengani,kila wakifanyacho lazima dini Itahusika,utasikia Mimi mtoto wa Kiislam lazima nifunge,siwezi kufanya mstangazo ya bia,lakini huyo huyo anapigwa pipe na bsdo hajaolewa.
CC Loftins
 
Mwanzoni mwa mwezi huu wa pili 2022 kuliibuka ghafla na kwa kasi ya ajabu jitihada za makusudi za kujaribu kuwaondoa wamasai katika ardhi zao za kimila huko Ngorongoro kwa madai ya kwamba binadamu wamekuwa wengi huko Ngorongoro na hivyo wanaharibu ekolojia.

Vita hii ya kuwaondoa wamasai ilikuwa spear headed na nguli wa habari za michezo ndugu MAULID KITENGE ambapo alifanya ziara huko Ngorongoro na kutuambia WaTz kwamba eti ‘HALI INATISHA HUKO NGORONGORO’.

Wengi wetu tulihisi kuna jambo nyuma ya pazia, kwamba ghafla tu mtu wa michezo anaenda kushikia bango jambo lisilo la kimichezo; kiasi tulipata hisia kwamba amaelipwa pesa ili kueneza propaganda kwa maslahi ya waliomtuma.

Haya sasa, imekuja kugundulika kwamba hilo eneo la Ngorongoro anataka kuuziwa kampuni ya uwekezaji toka Falme za kiarabu inayomilikiwa na ‘Royal family’ kwa ajili ya kuendesha uwindaji wa kujifurahisha (game hunting), kampuni hiyo inaitwa OBC.

Sasa namuuliza ndugu yangu Kitenge, HUONI AIBU kuwasaliti WaTanzania wenzako?!


==================================
Video mbali mbali za miaka ya nyuma (10+ years) zinazohusu kuwaondoa wamasai ili kuwapa waarabu vipande vya ardhi ya Ngorongoro vilihusisha ukiukwaji wa haki za binadamu

=============================
“Mtanikumbuka....” By JPM.

Cc Mshana Jr njoo uone huku
 
Ulipiga kelele sawa..

Nahapa pia unafanya kosa lile lile...maana bado huna ushaidi zaid ya kusikia kam ulivyo sikia mwanzo..

Ni bora ukae kimya tu...

Siri ni nzito
Siri nzito ya nini sasa, iweke wazi kama hili gazeti walivyofanya
 
Kwa hiyo mwarabu yeye akiua wanyama anaiendeleza mbuga?what a rubbish!Inakera kuona wale wanaopaswa kuja kutalii kuona wasivyo kuwa navyo kwao ndio wanapewa umiliki kwetu ili wakaanzishe hifadhi kwao!
Umekurupuka kujibu bila kuelewa hoja ,nachoeleza mbuga zetu zilindwe bila kujali waharibifu ni wenyeji au wawekezaji
 
Kwahiyo tuondoe wamasai ili kuhifadhi mazingira au tuwaondoe ili tuwape waarabu waju kufanya mauaji ya simba kwa kujiburudisha? Halafu Kitenge atuambie, hao waarabu walimlipa hongo kiasi gani kufanya huu usaliti?
Ngorongoro hakuna game reserve ya uwindaji wewe, acha bangi, Obc wako Loliondo. achana na vi NGO uchwara kama PINGO FORUM, wasiotaka wamasai waondoke ili waendelee kupata ufadhili kwa wahisani wao
 
Sawa tufanye wamasai ni ombaomba wa chakula, so what? Kama wanaondolewa kwa lengo la uhifadhi ni sawa, ila shida inakuja kwamba lengo la kuwaondoa ni ili kupisha wauaji waarabu wanaokuja kuua simba kwa kujiburudisha, shida iko hapo tu, maana hao ni waharibifu zaidi ya hao wanaokata kuni. Lazima tuangalie maslahi ya watu wetu kwanza kabla ya kumburudisha mgeni, hata kama ana pesa, huo ndio ubinadamu.
Wewe wauaji hao umewaona wapi au hiyo mikataba umeiona wapi zaidi ya speculation za mtandaoni? Huo mkataba umesainiwa lini na nani? Acha uzuzu
 
LOLIONDO walishauza kwa OBC,tangu utawala wa mwinyi sasa wanahamia ngorongoro,hawa wazanzibar hawajawahi kuwa na huruma na watanganyika.
Aisee...sasa mbona idara za usalama wa nchi zimekaaa kaa tu bila kutetea maslahi ya nchi?

au wanatetea maslahi ya nani?..
 
Back
Top Bottom