Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hilo ni tatizo la serikali. Hili la waarabu kuletwa hifadhini hufanywa na marais wa kiislam sijui kwanini.Hapo umezungumza nisichokihoji wala nisichokipinga, so ni kama hukaandika kitu.
Wamasai kuondolewa hatupingi, ila tunapinga wao kuondolewa ili aje mtu mwingine kuua wanyama kwa kujiburudisha, as simple as that.
Mimi namlaumu Kitenge, wewe ilau serkali, tugawane majukumu jamani.
Muulize Kitenge, anao ukweli woteUkweli Ni upi Sasa?
Kila mtu anakosolewa kwa mabaya yake jaribu kui-balance akili yako ndivyo binadamu inatakiwa tuwe.Tulieni tulieni.....mlimtukana sana baba wa watu hadi mkamwita shetani. Tulieni mambo hayajaanza bado
Hiyo point sana mkuu, hakuna anayepinga ila tuu wamaasai wasitolewe then tukaona waarabu wanamilikishwa vitalu kwa uwindaji itakuwa ni aibu na karaha kwa wale wote tunaopenda mazingira na Mbuga zetuHapo umezungumza nisichokihoji wala nisichokipinga, so ni kama hukaandika kitu.
Wamasai kuondolewa hatupingi, ila tunaoinga wao kuondolewa ili aje mtu mwingine kuua wanyama kwa kujiburudisha, as simple as that.
Wanakula nini kwani wewe unakula nini? Si unanunua toka sokoni, mtu anafuga ng’ombe ambae akiuza mmoja tu anaingiza hadi milioni, ashindwe kununua kiroba cha unga na mchele?! Swali gani hili?! Na kama lengo ni kuhifadhi mazingira sababu wanakata kuni basi hatukatai kuhamishwa kwao, ila sio wahamishwe wapewe waarabu waje kuua simba, shida iko hapo, maana anaeua simba na anaekata kuni, huyu muuwaji wa simba ndio mharibifu zaidi, lazima tkinde kwanza watu wetu kabla ya kumlinda mgeni mvamizi na muuwajiJibu swali... Wamasai 120,000 wanakula nini na kuni za kupikia wanatoa wapi? Wakati hairuhusiwi kukata miti wala kuchanja kuni? Wanatumia gas kupika?
Kwa hiyo mwarabu yeye akiua wanyama anaiendeleza mbuga?what a rubbish!Inakera kuona wale wanaopaswa kuja kutalii kuona wasivyo kuwa navyo kwao ndio wanapewa umiliki kwetu ili wakaanzishe hifadhi kwao!Kila
Kila nchi ina vivutio vyake vya utalii so kujilinganisha na Ufaransa ni kushindwa kuweka ulinganifu mzuri.
Sijui kama unajua madhara ya shughuli za binadamu kwenye mbuga za wanyama ?
Ni sawa na kusema tuwaachie watu
Wae deleze shuguli zao kwenye
vyan zo maji kwa sababu tu ni wazaliwa pale
Binadamu lazima awekee mipaka kwenye kila jambo maana ana ubinafsi wa asili,
Tunaweza kuangalia maslahi ya wachache lakini tukaleta hasara kubwa kwa taifa
Embu fikiri kama mbuga na misitu zisingelindwa kila jamii iliyo karibu nazo ikavamia na kuendeleza shughuli zake huko , nini kingetokea ?
Tuache siasa zisizo na faida kwa rasimali za taifa na kizazi kijacho
aliyeWalipouza Loliondo gazeti la kwanza kuripoti taarifa ile (Motomoto) lilifunguwa mazima hadi leo.. Na hilo hilo lilifungiwa pia kwa kusema Zanzibar ilipojiunga na OIC. Kama kawa, ilipingwa kwanza na Serikali na watu kadhaa kuliwa vichwa.. LAKINI HADI LEO LOLIONDO SIYO YETU TENA.. Hao hao akina so called royal family walifanya yao.
LEO WAMERUDI TENA
Tusisahau aliyekuwa Raisi kipindi Loliondo inauzwa alikuwa Mzee Ruksa,Na dini yake inajurikana,Loliondo wakapewa waarabu.Walipouza Loliondo gazeti la kwanza kuripoti taarifa ile (Motomoto) lilifunguwa mazima hadi leo.. Na hilo hilo lilifungiwa pia kwa kusema Zanzibar ilipojiunga na OIC. Kama kawa, ilipingwa kwanza na Serikali na watu kadhaa kuliwa vichwa.. LAKINI HADI LEO LOLIONDO SIYO YETU TENA.. Hao hao akina so called royal family walifanya yao.
LEO WAMERUDI TENA
Sawa tufanye wamasai ni ombaomba wa chakula, so what? Kama wanaondolewa kwa lengo la uhifadhi ni sawa, ila shida inakuja kwamba lengo la kuwaondoa ni ili kupisha wauaji waarabu wanaokuja kuua simba kwa kujiburudisha, shida iko hapo tu, maana hao ni waharibifu zaidi ya hao wanaokata kuni. Lazima tuangalie maslahi ya watu wetu kwanza kabla ya kumburudisha mgeni, hata kama ana pesa, huo ndio ubinadamu.Masai anauzaga ng'ombe ili kununua chakula? Unawajua Masai wewe? Wake zao na watoto wanashinda kwenye kambi za watalii kuomba chakula, na wamama wa kumasai kujiuza ili wapewe chakula, unataka kusema nini..Tatizo unajifanya kujua mambo ya ngorongoro na Loliondo wakati hata kufika hujawahi kufika.. achilia mbali kuishi huko. Hizo NGO za kikenya zinazoandika hizo article ili wamasai wasihame waharibu hifadhi sisi hatutokubali
Ulipiga kelele sawa..I see. Kumbe na Mimi nilipiga kelele bila kujua mambo kiundani.
Vipi wabunge wanaelewa wanachopigania?
Nakumbuka nilimpiga nyundo huyu maandishi njaa mpaka akaniblock [emoji3] analeta hoja maandazi kweli [emoji29] majinga hata hayajui maana halisi na asili ya Ngorongoro [emoji29] Mbuzi wa Kisalamanda kabsa [emoji3]Mwanzoni mwa mwezi huu wa pili 2022 kuliibuka ghafla na kwa kasi ya ajabu jitihada za makusudi za kujaribu kuwaondoa wamasai katika ardhi zao za kimila huko Ngorongoro kwa madai ya kwamba binadamu wamekuwa wengi huko Ngorongoro na hivyo wanaharibu ekolojia.
Vita hii ya kuwaondoa wamasai ilikuwa spear headed na nguli wa habari za michezo ndugu MAULID KITENGE ambapo alifanya ziara huko Ngorongoro na kutuambia WaTz kwamba eti ‘HALI INATISHA HUKO NGORONGORO’.
Wengi wetu tulihisi kuna jambo nyuma ya pazia, kwamba ghafla tu mtu wa michezo anaenda kushikia bango jambo lisilo la kimichezo; kiasi tulipata hisia kwamba amaelipwa pesa ili kueneza propaganda kwa maslahi ya waliomtuma.
Haya sasa, imekuja kugundulika kwamba hilo eneo la Ngorongoro anataka kuuziwa kampuni ya uwekezaji toka Falme za kiarabu inayomilikiwa na ‘Royal family’ kwa ajili ya kuendesha uwindaji wa kujifurahisha (game hunting), kampuni hiyo inaitwa OBC.
Sasa namuuliza ndugu yangu Kitenge, HUONI AIBU kuwasaliti WaTanzania wenzako?!
Tanzania, siding with UAE firm, plans to evict Maasai from ancestral lands
By Laurel Sutherland on 18 February 2022 - In northern Tanzania, more than 70,000 Indigenous Maasai residents are once again facing eviction from ancestral lands as the government reveals plans to lease the land to a UAE-based company to create a wildlife corridor for trophy hunting and elite...www.jamiiforums.com
==================================
Video mbali mbali za miaka ya nyuma (10+ years) zinazohusu kuwaondoa wamasai ili kuwapa waarabu vipande vya ardhi ya Ngorongoro vilihusisha ukiukwaji wa haki za binadamu
=============================
“Mtanikumbuka....” By JPM.
CC LoftinsTusisahau kipindi hicho Raisi
aliye
Tusisahau aliyekuwa Raisi kipindi Loliondo inauzwa alikuwa Mzee Ruksa,Na dini yake inajurikana,Loliondo wakapewa waarabu.
Kikwete,wanyama hai walisafirishwa kwenda uarabuni,
Sasa tuna Raisi Muislam(naweka msisitizo kwenye dini),haya yanatokea,maofisini watu wanaulizwa dini na makabila yao.
Waislam,kwao dini na maisha ya kila siku havitengani,kila wakifanyacho lazima dini Itahusika,utasikia Mimi mtoto wa Kiislam lazima nifunge,siwezi kufanya mstangazo ya bia,lakini huyo huyo anapigwa pipe na bsdo hajaolewa.
Cc Mshana Jr njoo uone hukuMwanzoni mwa mwezi huu wa pili 2022 kuliibuka ghafla na kwa kasi ya ajabu jitihada za makusudi za kujaribu kuwaondoa wamasai katika ardhi zao za kimila huko Ngorongoro kwa madai ya kwamba binadamu wamekuwa wengi huko Ngorongoro na hivyo wanaharibu ekolojia.
Vita hii ya kuwaondoa wamasai ilikuwa spear headed na nguli wa habari za michezo ndugu MAULID KITENGE ambapo alifanya ziara huko Ngorongoro na kutuambia WaTz kwamba eti ‘HALI INATISHA HUKO NGORONGORO’.
Wengi wetu tulihisi kuna jambo nyuma ya pazia, kwamba ghafla tu mtu wa michezo anaenda kushikia bango jambo lisilo la kimichezo; kiasi tulipata hisia kwamba amaelipwa pesa ili kueneza propaganda kwa maslahi ya waliomtuma.
Haya sasa, imekuja kugundulika kwamba hilo eneo la Ngorongoro anataka kuuziwa kampuni ya uwekezaji toka Falme za kiarabu inayomilikiwa na ‘Royal family’ kwa ajili ya kuendesha uwindaji wa kujifurahisha (game hunting), kampuni hiyo inaitwa OBC.
Sasa namuuliza ndugu yangu Kitenge, HUONI AIBU kuwasaliti WaTanzania wenzako?!
Tanzania, siding with UAE firm, plans to evict Maasai from ancestral lands
By Laurel Sutherland on 18 February 2022 - In northern Tanzania, more than 70,000 Indigenous Maasai residents are once again facing eviction from ancestral lands as the government reveals plans to lease the land to a UAE-based company to create a wildlife corridor for trophy hunting and elite...www.jamiiforums.com
==================================
Video mbali mbali za miaka ya nyuma (10+ years) zinazohusu kuwaondoa wamasai ili kuwapa waarabu vipande vya ardhi ya Ngorongoro vilihusisha ukiukwaji wa haki za binadamu
=============================
“Mtanikumbuka....” By JPM.
Mazambi gani hayo ?Kwani kama madhambi yapo toka awamu zote ndiyo iwe justification ya kuendelea nayo,na suala la wamachinga limekujaje hapa au ni uswahili tu?
Siri nzito ya nini sasa, iweke wazi kama hili gazeti walivyofanyaUlipiga kelele sawa..
Nahapa pia unafanya kosa lile lile...maana bado huna ushaidi zaid ya kusikia kam ulivyo sikia mwanzo..
Ni bora ukae kimya tu...
Siri ni nzito
Umekurupuka kujibu bila kuelewa hoja ,nachoeleza mbuga zetu zilindwe bila kujali waharibifu ni wenyeji au wawekezajiKwa hiyo mwarabu yeye akiua wanyama anaiendeleza mbuga?what a rubbish!Inakera kuona wale wanaopaswa kuja kutalii kuona wasivyo kuwa navyo kwao ndio wanapewa umiliki kwetu ili wakaanzishe hifadhi kwao!
Ngorongoro hakuna game reserve ya uwindaji wewe, acha bangi, Obc wako Loliondo. achana na vi NGO uchwara kama PINGO FORUM, wasiotaka wamasai waondoke ili waendelee kupata ufadhili kwa wahisani waoKwahiyo tuondoe wamasai ili kuhifadhi mazingira au tuwaondoe ili tuwape waarabu waju kufanya mauaji ya simba kwa kujiburudisha? Halafu Kitenge atuambie, hao waarabu walimlipa hongo kiasi gani kufanya huu usaliti?
Wewe wauaji hao umewaona wapi au hiyo mikataba umeiona wapi zaidi ya speculation za mtandaoni? Huo mkataba umesainiwa lini na nani? Acha uzuzuSawa tufanye wamasai ni ombaomba wa chakula, so what? Kama wanaondolewa kwa lengo la uhifadhi ni sawa, ila shida inakuja kwamba lengo la kuwaondoa ni ili kupisha wauaji waarabu wanaokuja kuua simba kwa kujiburudisha, shida iko hapo tu, maana hao ni waharibifu zaidi ya hao wanaokata kuni. Lazima tuangalie maslahi ya watu wetu kwanza kabla ya kumburudisha mgeni, hata kama ana pesa, huo ndio ubinadamu.
Aisee...sasa mbona idara za usalama wa nchi zimekaaa kaa tu bila kutetea maslahi ya nchi?LOLIONDO walishauza kwa OBC,tangu utawala wa mwinyi sasa wanahamia ngorongoro,hawa wazanzibar hawajawahi kuwa na huruma na watanganyika.