Maulid Kitenge, huoni aibu kuwasaliti Watanzania wenzako? Hatimaye ukweli umefichuka

Maulid Kitenge, huoni aibu kuwasaliti Watanzania wenzako? Hatimaye ukweli umefichuka

Inashangaza sana mtu bila huruma unapokea pesa ili uende kusambaza propaganda za kuwafukuza waTz wenzako kwenye ardhi yao ya asili ili waarabu waje kuua Simba na Tembo, hawa ndio walikuwa wanauza wenzao utumwani kwa waarabu sababu ya vipande vya fedha, shenzy kabisa
Na yeye Maulid si anajifanyaga mwarab koko....hivi hawa watu hawajuwi historia ya waarab na watu weusi kweli au ni kule kujidharau tu.
 
Mwanzoni mwa mwezi huu wa pili 2022 kuliibuka ghafla na kwa kasi ya ajabu jitihada za makusudi za kujaribu kuwaondoa wamasai katika ardhi zao za kimila huko Ngorongoro kwa madai ya kwamba binadamu wamekuwa wengi huko Ngorongoro na hivyo wanaharibu ekolojia.

Vita hii ya kuwaondoa wamasai ilikuwa spear headed na nguli wa habari za michezo ndugu MAULID KITENGE ambapo alifanya ziara huko Ngorongoro na kutuambia WaTz kwamba eti ‘HALI INATISHA HUKO NGORONGORO’.

Wengi wetu tulihisi kuna jambo nyuma ya pazia, kwamba ghafla tu mtu wa michezo anaenda kushikia bango jambo lisilo la kimichezo; kiasi tulipata hisia kwamba amaelipwa pesa ili kueneza propaganda kwa maslahi ya waliomtuma.

Haya sasa, imekuja kugundulika kwamba hilo eneo la Ngorongoro anataka kuuziwa kampuni ya uwekezaji toka Falme za kiarabu inayomilikiwa na ‘Royal family’ kwa ajili ya kuendesha uwindaji wa kujifurahisha (game hunting), kampuni hiyo inaitwa OBC.

Sasa namuuliza ndugu yangu Kitenge, HUONI AIBU kuwasaliti WaTanzania wenzako?!


================================
Update: 22/03/2022


=================================

==================================
Video mbali mbali za miaka ya nyuma (10+ years) zinazohusu kuwaondoa wamasai ili kuwapa waarabu vipande vya ardhi ya Ngorongoro vilihusisha ukiukwaji wa haki za binadamu

=============================
“Mtanikumbuka....” By JPM.



==================================
Update: 22/03/2022

Waanzishe na kampeni ya kuwaondoa wakazi wa Dar es Saalaam kwa kuwa wamekuwa wengi kiasi cha kutishia ekolojia ya bahari ya Hindi, mikoko na matumbawe.
 
 
bora uwape wawekezaji hayo maeneo kuliko wamasai wanayoyaharibu. mwekezaji atayattunza, ila masai asiyejenga hata choo wala hana pa kuzika, unamwachaje? fukuzia mbali kabisa. kuna faida zaidi kwa nchi mwekezaji akipewa badala ya hao masai wasiojielewa.
 
 
bora uwape wawekezaji hayo maeneo kuliko wamasai wanayoyaharibu. mwekezaji atayattunza, ila masai asiyejenga hata choo wala hana pa kuzika, unamwachaje? fukuzia mbali kabisa. kuna faida zaidi kwa nchi mwekezaji akipewa badala ya hao masai wasiojielewa.
Wawekezaji au wauwaji wa simba na tembo?
 
 
 
 
Back
Top Bottom