Maulid Kitenge, huoni aibu kuwasaliti Watanzania wenzako? Hatimaye ukweli umefichuka


Hilo gazeti linaaminika kwa habari za kiuchunguzi na kiuhakika, sio gazeti la udaku hilo ndugu yangu, halafu hii si mara ya kwanza hao OBC kufanya hili jaribio
 
R.I.P Stan Katabalo.
 
Kwani haujui tabia na watu wanaofanya vitendo vya hovyo mfano wa marehemu Defao uwa hawana akili.
 
Rais wa JMT akiwa mzenj basi mbuga zetu bara zitauzwa sana. Sitasahau mambo ya bi Siti Mwinyi. Wamasai wakomae tu wakatae kuhama. Wamasai wapo huko tokea 185.... leo ndo uwafukuze ?Stupid.
Iko hivi. Kati ya watu wenye fedha chafu, na wanapenda starehe na wako tayari kutumia fedha ili wakidhi matakwa yao ni waarabu. Sasa hawa jamaa kila anaposhika urais mtu ambaye wanaona wanaweza kumuingia kwa urahisi, kwa kutumia fedha huwa ni lazima watumie hiyo fursa. Kwa hiyo, kwa vile marais (soma marahisi) wengi wanaotoka Zenji wana connection za uarabuni, inakuwa ni rahisi kuwaingia. Pia kuna elements za udini huwa zina-play role.
 
Doesn't the end Justify the Means

Hata kama kitenge ni Msaliti Je kinachosemwa hakina ukweli ?

Mimi kama Mtanzania na Mwanamazingira nasema wamasai wasibaki huko na hao wanaotaka kujifurahisha wasipewe eneo, eneo libaki kwa manufaa ya Watanzania wote na walimwengu wote sio individuals (be it Wamasai au so called Royal Family)
 
Ukweli huu umeanza wiki iliyopita?, au huko nyuma ilikuwaje? Kama wanahamishwa ili pabaki wazi sawa, ila wana mpango wa kuhamisha wazawa ili mtu aje na magari yake kuua wanyama for leisure? Its insanity, vihoteli viwili vitatu vya kulala hao wauaji wa wanyama vitakavyomilikiwa na wao wenyewe ndio vitatusaidia nini? Waje kama watalii wengine kwa kutumia kamapuni za utalii za kizalendo zilizopo, na watalii kama kawaida waondoke, sio kuja kuua wanyama
 
Sawa kabisa eneo libakie wazi, mmaasai waondoke na mwarabu asipewe kitu.
Sasa kama kweli RC ndiyo alienda kutangaza Nia ya kuwapa waarabu eneo!? Hii serikali ijitafakari, kuna namna nyingi za kupata fedha!
 
Hujui sakata kwa undani ndiyo maana unasema hivi. Kitenge anafanyia kazi tumbo lake na watu wa aina hii ni hatari mno mno kwa Taifa letu. Hao waarabu wanatumia fedha kutaka kuchukuwa hilo eneo ni hatari mno mno. Kama ni mambo ya mazingira kuharibiwa ujuwe hata utalii usipokuwa-controlled nao unaleta madhara makubwa kuliko hata ya wamasai.
 
Kwa sisi ambao tupo kwenye tasnia ya Habari hasa habari za mtandaoni (Online Media).

Kitenge ukiachilia mbali kama kweli alilipwa, alichokuwa akifanya ni kuvuta wafuasi na kujiongezea fame ili afuatiliwe na wengi.

Hii imejizihirisha kwa sababu hata FRANCIS DA DON umemuandalia uzi huyo kitenge.

Ila jambo hilo alilo fanya kitenge si zuri...
 
Sawa kabisa eneo libakie wazi, mmaasai waondoke na mwarabu asipewe kitu.
Sasa kama kweli RC ndiyo alienda kutangaza Nia ya kuwapa waarabu eneo!? Hii serikali ijitafakari, kuna namna nyingi za kupata fedha!
Mkuu kama kuna ukweli hapa basi ujue kuna watu wakubwa nyuma ya RC. Siyo rahisi RC aongelee jambo kubwa kama hilo bila kutumwa. Hint: RC anateuliwa na nani?
 
Hey mr Don, wa Tanzania na watanzania zina maana mbili tofauti, kwenye Post yako ulitakiwa utumie watanzania na siyo wa Tanzania.
 
Mimi kumuongelea Kitenge au an individual naona ni kupoteza rasilimali yangu ya muda..., nachoweza kujadili ni kinachoongelewa na impact yake kwahio binafsi hao wamasai au hao wanaotaka kumilikishwa eneo la UMMA / JAMII kwa manufaa yao; wote wapigwe chini eneo libaki kwa kutunzwa ili kila atakaye aweze kwenda kuburudika na sio kuharibu wala kuishi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…