Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usiamini sana post za Instagram na Facebook,wengi wanapost Throwback,Inawezekana alienda london kipindi yupo Radio one so kila week anapost picha moja.
Uyu nguli wa michezo wa pale E Fm radio kila ifikapo.weekend lazima awe London Uingereza....kama celeb tuna haki ya.kudadavua iyo mitoko!!@warumi una mpya gni apa ....








Binamu warumi kwahili nakukubali kua umbea wako una viwango. Nina ushuhuda juu ya hili la mzee Y. Kweli wa kukufikia wewe hayupo
Nayajua mengi zaidi ya kutisha, ila mengine yatabaki kuwa siri yangu mpaka nakufa
Nayajua mengi zaidi ya kutisha, ila mengine yatabaki kuwa siri yangu mpaka nakufa
Hahahaha.mi simo apa Evelyn Salt njoo.umjibuuu
Hahahaaa, shoga subiri nitakutafuta chemba mwaya tusijeozea segerea.
Umesikia hiyo sheria mpya inayotungwa?Sijui hata kama warumi anajua.Nauona mwisho wa umbea hivihivi.
hata mi namshangaa kakonda sijui wake wanamkondesha sijui kazi ya kiberenge kwenda mbele na.nyuma ndo inamkondesha alikua ana mwili afu hendisamu kweli siku hizi hadi uhendisamu umeisha