Maulid Kitenge kila weekend yupo London

Maulid Kitenge kila weekend yupo London

Si bora wakate kucha zitaota, siku izi wamesema wakitukamata wambea wote wanatukata vidole, apo sasa sijui tutaandikaje umbea, inabidi tuwaombe ma mods waweke voice note, aaaaah aah

Hahajahahaha uwiii nimechekaaaa
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini story za kitenge kuwa engine nyuma(mkasi),wengi wanaomzushia watakuwa ni mademu aliowaacha.......
 
Namwambiaga chige umbea wangu sio wa kubahatisha nina mtandao hatar,hakuna habar za mastaa nisizozijua
Mpwa nae... umbea wa huyu kamegwa na yule na yule kalawatiwa na huyu ni tofauti na umbea wa mimba ile ni ya warumi na hii ni ya chige coz' mimba haithibitishwi kwa sababu tu fulani kamegwa na fulani! Kutokana na interval ya mwanamke kumegwa na wanaume wawili tofauti, ni mwanamke mwenyewe ndie pekee anaeweza ku-anticipate kwamba mimba hii ni ya fulani lakini ikiwa amemegwa katika siku zinazofuatana (au siku hiyo hiyo) na wanaume wawili tofauti katika kipindi ambacho mwanamke yupo kwenye ovulation period, hapa akikamata mimba hata mwenyewe hawezi kufahamu mimba ni ya nani.... DNA lazima itumike unless au amemegwa na mzungu kisha mwafrika na mtoto akamfuata mmoja wao!

Mpwa, hapo ndipo tunapotofautiana mimi na wewe... mimba is a pure science hakuna blah blah cjui umbeya ukasema mimba fulani ni ya fulani unless kama una uhakika kwa 100% kwamba mwanamke huyu, yai lake linakuwa productive wakati fulani na wakati huo alimegwa na fulani PEKE YAKE kinyume chake kitabaki kuwa blah blah tu!
 
Last edited by a moderator:
Mpwa nae... umbea wa huyu kamegwa na yule na yule kalawatiwa na huyu ni tofauti na umbea wa mimba ile ni ya warumi na hii ni ya chige coz' mimba haithibitishwi kwa sababu tu fulani kamegwa na fulani! Kutokana na interval ya mwanamke kumegwa na wanaume wawili tofauti, ni mwanamke mwenyewe ndie pekee anaeweza ku-anticipate kwamba mimba hii ni ya fulani lakini ikiwa amemegwa katika siku zinazofuatana (au siku hiyo hiyo) na wanaume wawili tofauti katika kipindi ambacho mwanamke yupo kwenye ovulation period, hapa akikamata mimba hata mwenyewe hawezi kufahamu mimba ni ya nani.... DNA lazima itumike unless au amemegwa na mzungu kisha mwafrika na mtoto akamfuata mmoja wao!

Mpwa, hapo ndipo tunapotofautiana mimi na wewe... mimba is a pure science hakuna blah blah cjui umbeya ukasema mimba fulani ni ya fulani unless kama una uhakika kwa 100% kwamba mwanamke huyu, yai lake linakuwa productive wakati fulani na wakati huo alimegwa na fulani PEKE YAKE kinyume chake kitabaki kuwa blah blah tu!

Aaah!! Come on chige, my comment has nothing to do with zaris pregnancy... tusirudi uko, naona tunaanza kufika mpakka kwenye DNA
 
Last edited by a moderator:
Aaah!! Come on chige, my comment has nothing to do with zaris pregnancy... tusirudi uko, naona tunaanza kufika mpakka kwenye DNA
Hahahahaah! Mpwa we unajua me sijawahi kuu-doubt umbea wako zaidi ya ule wa mimba ya Zari, if am wrong, hebu niambie upi mwingine ambao nimepata kuu-doubt! Afu nishakujua siku hizi... nikitaka kukubana, naleta habari za DNA manake hautakuw ana ujanja! Thanx for this useful hint of using DNA to hit you in ya forehead!
 
Hahahaaa uwiiii! warumi wewe?
Nimejenga picha sijui itakuaje nikikatwa vidole! Aisee nitaajiri ata mtu anisaidie kuandika tu, no way.

NDio hvyo tunawindwa kwa udi na uvumba, maana wanasema ivi vidole ndo vinatutia uchizi, sasa dawa yetu ni kutukata vidole
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaah! Mpwa we unajua me sijawahi kuu-doubt umbea wako zaidi ya ule wa mimba ya Zari, if am wrong, hebu niambie upi mwingine ambao nimepata kuu-doubt! Afu nishakujua siku hizi... nikitaka kukubana, naleta habari za DNA manake hautakuw ana ujanja! Thanx for this useful hint of using DNA to hit you in ya forehead!

I know biology like the back of my palm
 
Picha basi za klyn si keshafunga ndoa jameniii

Loh! Pole binamu , nasikia jana ulinusurika kukatwa mapanga na wauaji wa ma albino, sasa ndo nini kutuficha wambea wenzio kuwa wewe ni albino jmani? Wambea hatubaguani, uwe mwizi mchawi, kipofu, kiwete wote tupo pamoja, pole sana na heka heka, uko mwanza na nyie mmezid khaa
 
I know biology like the back of my palm
Sijakuambia huijui bhana, we vipi? Najua unajua kwamba linapokuja suala la DNA, longo longo pembeni ndo maana nimesema hiyo itakuwa ndo bakora yako... cku ukija na habari za Katunzi, nakuomba copy ya DNA!
 
Back
Top Bottom