Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
naona wewe ndie mshamba kujadili lifestyle ya watu wengineHuyu mtu hata akiwa kwenye mazungumzo ya kawaida na mtu/watu, EarPods hatoi.
Na anahakikisha zinaonekana.
EFM jogging nako, akiwa jogging na masela basi kila siku picha apigwe yeye tuuuuuuu huku ameshikilia iPhone 13 mkononi ikionyesha macho matatu ilimradi tu ionekane.
Kwa kweli mimi namuona mshamba na mtu mwenye ulimbukeni wa kijinga sana ukizingatia umri wake na ‘exposure’ aliyokuwa nayo.
Unadhani kafika pale kwa kamba zake?Huyu mtu hata akiwa kwenye mazungumzo ya kawaida na mtu/watu, EarPods hatoi.
Na anahakikisha zinaonekana.
EFM jogging nako, akiwa jogging na masela basi kila siku picha apigwe yeye tuuuuuuu huku ameshikilia iPhone 13 mkononi ikionyesha macho matatu ilimradi tu ionekane.
Kwa kweli mimi namuona mshamba na mtu mwenye ulimbukeni wa kijinga sana ukizingatia umri wake na ‘exposure’ aliyokuwa nayo.
hakikaComment nayoweza toa kuhusu thread yako nikukwambia kuwa unaelements za wivu, chuki na roho ya kwanini, nakushauri achana na hiyo roho ni hatari.
Panda guta, Nani amekukatazaWatu mnamshambulia mtoa mada. Heh!
Kifupi ni ushamba na ulimbukeni.
Hata kupiga picha na kurusha kila unapokuwa kwenye ndege nao ni ulimbukeni wa kiwango cha Phd.
Huwa anarusha chumbani kwako?Watu mnamshambulia mtoa mada. Heh!
Kifupi ni ushamba na ulimbukeni.
Hata kupiga picha na kurusha kila unapokuwa kwenye ndege nao ni ulimbukeni wa kiwango cha Phd.
"" Usinipangie cha kufanya'',,,,,,,,,,,,,,,,,,,mwisho wa kunukuu by JPMHuyu mtu hata akiwa kwenye mazungumzo ya kawaida na mtu/watu, EarPods hatoi.
Na anahakikisha zinaonekana.
EFM jogging nako, akiwa jogging na masela basi kila siku picha apigwe yeye tuuuuuuu huku ameshikilia iPhone 13 mkononi ikionyesha macho matatu ilimradi tu ionekane.
Kwa kweli mimi namuona mshamba na mtu mwenye ulimbukeni wa kijinga sana ukizingatia umri wake na ‘exposure’ aliyokuwa nayo.
kuna mtu alishawah kunipang et kitenge ackii vzr😁😁😁Huyu mtu hata akiwa kwenye mazungumzo ya kawaida na mtu/watu, EarPods hatoi.
Na anahakikisha zinaonekana.
EFM jogging nako, akiwa jogging na masela basi kila siku picha apigwe yeye tuuuuuuu huku ameshikilia iPhone 13 mkononi ikionyesha macho matatu ilimradi tu ionekane.
Kwa kweli mimi namuona mshamba na mtu mwenye ulimbukeni wa kijinga sana ukizingatia umri wake na ‘exposure’ aliyokuwa nayo.
Wewe ndio mshamba.Huyu mtu hata akiwa kwenye mazungumzo ya kawaida na mtu/watu, EarPods hatoi.
Na anahakikisha zinaonekana.
EFM jogging nako, akiwa jogging na masela basi kila siku picha apigwe yeye tuuuuuuu huku ameshikilia iPhone 13 mkononi ikionyesha macho matatu ilimradi tu ionekane.
Kwa kweli mimi namuona mshamba na mtu mwenye ulimbukeni wa kijinga sana ukizingatia umri wake na ‘exposure’ aliyokuwa nayo.
Wanakwaza sana wanasubiri mtu apate wampangie nini afanye, yani hiyo roho ni kheri ya mchawi kuliko watu wa namna hiyo na mbaya zaidi uwa wanaishia kubaya ndiyo mana nimemshauri aachane na hiyo roho. Binafsi naamini as long as mtu havunji sheria zilizowekwa yupo sawa tu.hakika
hawa ndio wale wenye mentality ya kuwachukia matajiri
Hivi huwa ana miradi gani ya kumuingizia pesa mkuu?Pesa ipo
Mama watotoTake it easy
watu wengi wanafikiria mchawi lazima uloge.Mchawi pia ni mtu ambaye anafuatilia issue za watu kumbe naye ana zake na pia watu kama hawa unaweza kuta akiona umeendelea au umepiga hatua anatamani ufe.Kinachokusumbua ni wivu wa kijinga kwani kwenye hivyo vyote wewe vinakunyima usingizi?unakaa kufuatilia personal issue za watu utaendelea Sana kuumia.