Maulid Kitenge na EarPods ni ushamba au ujanja?

Maulid Kitenge na EarPods ni ushamba au ujanja?

Huyu mtu hata akiwa kwenye mazungumzo ya kawaida na mtu/watu, EarPods hatoi.

Na anahakikisha zinaonekana.

EFM jogging nako, akiwa jogging na masela basi kila siku picha apigwe yeye tuuuuuuu huku ameshikilia iPhone 13 mkononi ikionyesha macho matatu ilimradi tu ionekane.

Kwa kweli mimi namuona mshamba na mtu mwenye ulimbukeni wa kijinga sana ukizingatia umri wake na ‘exposure’ aliyokuwa nayo.
naona wewe ndie mshamba kujadili lifestyle ya watu wengine
 
Huyu mtu hata akiwa kwenye mazungumzo ya kawaida na mtu/watu, EarPods hatoi.

Na anahakikisha zinaonekana.

EFM jogging nako, akiwa jogging na masela basi kila siku picha apigwe yeye tuuuuuuu huku ameshikilia iPhone 13 mkononi ikionyesha macho matatu ilimradi tu ionekane.

Kwa kweli mimi namuona mshamba na mtu mwenye ulimbukeni wa kijinga sana ukizingatia umri wake na ‘exposure’ aliyokuwa nayo.
Unadhani kafika pale kwa kamba zake?

Ukiona swala.mjini ujue ana mmiliki
 
Huyu mtu hata akiwa kwenye mazungumzo ya kawaida na mtu/watu, EarPods hatoi.

Na anahakikisha zinaonekana.

EFM jogging nako, akiwa jogging na masela basi kila siku picha apigwe yeye tuuuuuuu huku ameshikilia iPhone 13 mkononi ikionyesha macho matatu ilimradi tu ionekane.

Kwa kweli mimi namuona mshamba na mtu mwenye ulimbukeni wa kijinga sana ukizingatia umri wake na ‘exposure’ aliyokuwa nayo.
"" Usinipangie cha kufanya'',,,,,,,,,,,,,,,,,,,mwisho wa kunukuu by JPM
 
Huyu mtu hata akiwa kwenye mazungumzo ya kawaida na mtu/watu, EarPods hatoi.

Na anahakikisha zinaonekana.

EFM jogging nako, akiwa jogging na masela basi kila siku picha apigwe yeye tuuuuuuu huku ameshikilia iPhone 13 mkononi ikionyesha macho matatu ilimradi tu ionekane.

Kwa kweli mimi namuona mshamba na mtu mwenye ulimbukeni wa kijinga sana ukizingatia umri wake na ‘exposure’ aliyokuwa nayo.
kuna mtu alishawah kunipang et kitenge ackii vzr😁😁😁
 
Huyu mtu hata akiwa kwenye mazungumzo ya kawaida na mtu/watu, EarPods hatoi.

Na anahakikisha zinaonekana.

EFM jogging nako, akiwa jogging na masela basi kila siku picha apigwe yeye tuuuuuuu huku ameshikilia iPhone 13 mkononi ikionyesha macho matatu ilimradi tu ionekane.

Kwa kweli mimi namuona mshamba na mtu mwenye ulimbukeni wa kijinga sana ukizingatia umri wake na ‘exposure’ aliyokuwa nayo.
Wewe ndio mshamba.
 
Kinachokusumbua ni wivu wa kijinga kwani kwenye hivyo vyote wewe vinakunyima usingizi?unakaa kufuatilia personal issue za watu utaendelea Sana kuumia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni maisha yake muachee.
 
hakika
hawa ndio wale wenye mentality ya kuwachukia matajiri
Wanakwaza sana wanasubiri mtu apate wampangie nini afanye, yani hiyo roho ni kheri ya mchawi kuliko watu wa namna hiyo na mbaya zaidi uwa wanaishia kubaya ndiyo mana nimemshauri aachane na hiyo roho. Binafsi naamini as long as mtu havunji sheria zilizowekwa yupo sawa tu.
 
Kinachokusumbua ni wivu wa kijinga kwani kwenye hivyo vyote wewe vinakunyima usingizi?unakaa kufuatilia personal issue za watu utaendelea Sana kuumia.
watu wengi wanafikiria mchawi lazima uloge.Mchawi pia ni mtu ambaye anafuatilia issue za watu kumbe naye ana zake na pia watu kama hawa unaweza kuta akiona umeendelea au umepiga hatua anatamani ufe.
Mwalimu Nyerere angekuwepo leo si ajabu mtu kama huyu angehoji kwanini anatembea na fimbo kumbe ni kipenda roho.Kaunda alikuwa anatembea na kitambaa cheupe mkononi,Mobutu anavaa kofia ngozi ya chui na fimbo,Jomo Kenyata alikuwa anatambea na usinga wa mkia wa ngombe,Ili mradi kila mtu ana kitu chake anachokipenda kwenye roho yake ili mradi hakidhuru mtu.
Mtoa mada atakuwa ni mchawi kama sio mchawi ana tabia za kichawi nina wasiwasi hata kama amesoma kidogo hana maendeleo yeyote.
 
Back
Top Bottom