Maulid Kitenge ni nani? Mtangazaji tu au kuna zaidi?

Maulid Kitenge ni nani? Mtangazaji tu au kuna zaidi?

Kwa ufupi uchambusi wa Kiintelejensia kuhusu Suspicious ya maulidi kitenge
Kutukona na tukio hilo na njinsi maulidi kitenge alivyo sema hiyo kauli
na huyo undercover Police alivyo mtii

inaonyesha tuhuma (suspicious ) kuwa maulid kitenge

Anauwezo mwingine mkubwa zaid ya watu kuzani kuwa ni mwandish wa habari wa kawaida tu

kutokana na tukio hilo na suspicious ya maulidi kitenge Tunaweza kuona kabisa maulid kitenge anaweza kuwa anafanya kazi kati ya haya makundi

1 Interpol -Anaweza kuwa Polisi wa kimataifa
2 CIA -mchambuzi wa habari za tazania na kutoa ripoti kwa CIA

3 TISS -au anaweza kuwa intelligence officer wa idara yetu ya maswala ya kiitelejensia

Mtazamo wangu kutokana na Kukonekiti dot njinsi maulidi kitenge alivyo react katika ule mgogoro wa ngolongolo
inaonyesha kabisa maulid kitenge yupo kazini na anakazi mbili
1 Ni mwandsh wa habari
2 secret intelligence service (unknown )
Asante mkuu kwa kunijibu walao wengine wameishia kunitusi kama vile kuuliza ni kosa.
 
IMG_20220717_130842.jpg
 
Ukitaka kumjua mtu njia nyepesi ni kumuuliza mwenyewe hapa unayoyatafuta ni majungu na hisia za wananzengo.
 
Aliulizwa swali na mwandishi mmoja kuwa ule ujasiri aliutoa wapi? Akasema hata mwenyewe hajui. Anakumbuka tukio lile lilikuwa live na yeye alikuwa karibu kabisa pale kwa ajili ya kuripoti.

Ghafla akaona huyo jamaa ndio anamchomolea bastola Nape, ujasiri tu wa ajabu ukamjia akiwa tayari kwa lolote lakini hakupenda kitendo kile kitokee maeneo kama yale tena kwa mtu ambaye alikuwa kiongozi masaa machache yaliyopita.
 
Alishasema tusitake kumjua sana maana haitaleta chakula mezani kwetu
 
Kichwa Cha habari chajieleza chenyewe.

Ndugu greater thinker wa JamiiForums naomba kupata majibu mwenye uelewa zaidi na huyu mtanzania mwenzetu.

Je, Maulid Wakitenge ni mwanahabari kama wanahabari wengine au Maulid Wakitenge ni mwanahabari lakini pia ni mtumishi serikalini?

Maswali yangu nayauliza kwa kurejerea tukio la Waziri Moses Nape Nnauye kushikiwa na kuonyeshwa bastola alipotaka kuongea na waandishi wa habari miaka kadhaa iliyopita. Katika tukio husika Mtanzania mwenzetu Maulid Wakitenge alisikika na kuonekana kumdhibiti yule askari aliyechomoa bastora huku akimwambia "UNATAKA KUHARIBU MAMBO WEWE".Na yule askari alitii maelekezo hayo

Ndo maana nawaza ndugu yetu huyu ni mwanahabari tu au ana kazi nyingine serikalini ndiyo maana hata yule askari alilazimika kumtii?

Poleni Watanzania wenzangu tulikotoka ni mbali kidogo maana ilifikia mahali hata mtu akunyoshee SMG mchana polisi wangesema hawamjui ili mradi tu ni mpango maalumu.
Kwahiyo hayo maneno tu aliyomwambia askari ndo yanakufanya umuone zaidi ya uandishi wa habari?

Huo ni ujasiri tu mtu yeyote anaweza kuwa nao kulingana na nature ya kazi. Waandishi wa habari wanapitia matukio mengi ya kutishiwa kuuawa kwahiyo issue kama ile wala sio yakushangaza.
 
  • Thanks
Reactions: F4B
Tatizo la Bongo kila mtu mwenye ki connection kidogo cha umaarufu basi tayari anahusishwa na serikali hasa usalama wa taifa. Sitostaajabu siku ukisikia Diamond au Ali Kiba nao wanahusishwa na 'kutengo'.

Hili tatizo kwa kiasi kikubwa linachangiwa na hao TISS wenyewe kuajiri watu wa ovyo wanaotoa siri za shirika kiasi kwamba hata madalali wa vyumba wanavaa kaunda suti na kibendera na wao wanajifanya watu wa serikali.

Kurudi kwenye swali lako, wewe chukulia ni muandishi wa habari tu kama anavyotambulika, hayo mengine hayana tija kwako wala kwa wengine wasio na nasaba nae yeyote
Nina hakika wazazi wake, mkewe, watoto, ndugu na marafiki zake wanajua zaidi. Ikiwa wewe hujui zaidi ya uandishi wa habari wake basi hupaswi kujua zaidi ya hilo.
 
Tatizo la Bongo kila mtu mwenye ki connection kidogo cha umaarufu basi tayari anahusishwa na serikali hasa usalama wa taifa. Sitostaajabu siku ukisikia Diamond au Ali Kiba nao wanahusishwa na 'kutengo'.

Hili tatizo kwa kiasi kikubwa linachangiwa na hao TISS wenyewe kuajiri watu wa ovyo wanaotoa siri za shirika kiasi kwamba hata madalali wa vyumba wanavaa kaunda suti na kibendera na wao wanajifanya watu wa serikali.

Kurudi kwenye swali lako, wewe chukulia ni muandishi wa habari tu kama anavyotambulika, hayo mengine hayana tija kwako wala kwa wengine wasio na nasaba nae yeyote
Nina hakika wazazi wake, mkewe, watoto, ndugu na marafiki zake wanajua zaidi. Ikiwa wewe hujui zaidi ya uandishi wa habari wake basi hupaswi kujua zaidi ya hilo.
Nazani nilichoandika kina maana ndo maana umekijibu
 
Back
Top Bottom