Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,058
Hapa changamoto kubwa nnayoiona ni mwandiko, mkuu jitahidi kidogo kuwa unaandika vizuri.Mimi namkibali Sana huyu mtangazaji Mana ni mweledi kwenye kazi yake. Kwa ufupi no fundi sana.
Wiki hii yupo Finland, na Huwa kila wakati no kuluka kwa ndege mataifa mbalimbali.
Sina Nia mbaya lengo no kujua tu basi
Ongezea na "Kuluka"Tajili
safili.
Dah.
Proof read. Sidhani kama ndio ulichopanga kuandikaMwisho utajiri nguo anazo vaa na chakula anachokula.
Watu wa system hao bwashee kaa kwa kutuliaMimi namkibali Sana huyu mtangazaji Mana ni mweledi kwenye kazi yake.kwa ufupi no fundi Sana.
Wiki hii yupo Finland ,na Huwa kila wakati no kuluka kwa ndege mataifa mbalimbali.
Sina Nia mbaya lengo no kujua tu basi
Kitenge ni mfano bora kabisa sio tajiri kwa maana milionea ila ni mtu anaishi maisha yake na kidogo anachopata anatumia kufurahisha maisha yake kuna watu wana mamilioni lakini wanaishi kama maskini wa kutupwa.Mimi namkibali Sana huyu mtangazaji Mana ni mweledi kwenye kazi yake.kwa ufupi no fundi Sana.
Wiki hii yupo Finland ,na Huwa kila wakati no kuluka kwa ndege mataifa mbalimbali.
Sina Nia mbaya lengo no kujua tu basi
Hawa ni jamii ya wale waliimbwa na mwimbaji mmoja simkumbuki jina, ila moja ya mistari yake alisema "jua likisogea na yeye anasogea" mwenzake anapambana yeye anamtrack ili aje amuandike jamviniMwisho utajadili nguo anazo vaa na chakula anachokula.
Hili jambo katika kuandika linawapa shida watu wengi sana hata wanafunzi wengi kuna shida kubwa katika kuandika kama inavyotakiwa kwa hiyo wewe ukisoma rekebisha tu sababu unajuwa ana maanisha kitu gani soma kwa akili yako makusudio ya mwandishi ila hii changamoto kubwa sana. Kuna jamaa yangu akiniandikia ni lazima nisome mara mbili naunganisha nia yake ndio namwelewa anasema nini.Ongezea na "Kuluka"