Lakasa chika7
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 454
- 1,270
UongoWatu wa system hao bwashee kaa kwa kutulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UongoWatu wa system hao bwashee kaa kwa kutulia
Binafsi sijui wakikujibu ni tag nije nisomeMimi namkubali sana huyu mtangazaji Mana ni mweledi kwenye kazi yake. Kwa ufupi ni fundi Sana.
Wiki hii yupo Finland na huwa kila wakati ni kuruka kwa ndege mataifa mbalimbali.
Sina nia mbaya lengo ni kujua tu basi
Nasikiaga eti na yeye ni afisa kipenyo kama ShafiiMimi namkubali sana huyu mtangazaji Mana ni mweledi kwenye kazi yake. Kwa ufupi ni fundi Sana.
Wiki hii yupo Finland na huwa kila wakati ni kuruka kwa ndege mataifa mbalimbali.
Sina nia mbaya lengo ni kujua tu basi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anapeleka tunu yake mataifa ya nje na wewe unagana nae uanze kupeleka tunu yako nje ya nchi
[emoji3][emoji3][emoji23]Watu watakusema unafatilia mambo ya watu ila nao wanasubiria mwenye taarifa.
sisi tutajua vp ikiwa yeye ajaweka wazi undani wa safari zake.Mimi namkubali sana huyu mtangazaji Mana ni mweledi kwenye kazi yake. Kwa ufupi ni fundi Sana.
Wiki hii yupo Finland na huwa kila wakati ni kuruka kwa ndege mataifa mbalimbali.
Sina nia mbaya lengo ni kujua tu basi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama kusafiri kungekuwa ni utajiri basi Madereva na Makondakta wangekuwa wana Ukwasi wa hatari!
Hii hobby kama huna pesa utabaki kuiyona kwa Kitenge tu...kuogelea beach kibao zipo tn free lkn kwenda ughaibuni mara kwa mara na pipa c mchezo sheikh.Kitenge ni mfano bora kabisa sio tajiri kwa maana milionea ila ni mtu anaishi maisha yake na kidogo anachopata anatumia kufurahisha maisha yake kuna watu wana mamilioni lakini wanaishi kama maskini wa kutupwa.
Mimi huwa nasafiri sana lakini wala sio tajiri kwa hiyo nikimuona Kitenge ni kama najiona mimi. Heshima kwake, travelling ni hobby tu kama unavyopenda mpira au swimming just hobby.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anapeleka tunu yake mataifa ya nje na wewe unagana nae uanze kupeleka tunu yako nje ya nchi
Hio picha sio ya punda hio au?
Utafiti wangu niliofanya ndani ya muda mfupi tu.. Inaonesha dhahiri kuwa watanzania wengi hawaifahamu lugha yao ya kiswahili ima kwa kuandika ama kwa kuzungumza.
Mkuu kuifahamu lugha ya kiswahili kwa kuandika vizuri ni objective ya O level kwa Tanzania. Lakini bado inasumbua sana .Utafiti wangu niliofanya ndani ya muda mfupi tu.. Inaonesha dhahiri kuwa watanzania wengi hawaifahamu lugha yao ya kiswahili ima kwa kuandika ama kwa kuzungumza.
Sijakupangia bali ni maoni tu, nadhani kila mtu yuko huru kuandika aonacho ni sahihi bora asitukane.Tusipangiane cha kuandika, tukianza hivyo patakuwa hapakaliki hapa.
Nani kakupa u editor wa kuamua kipi cha lazima na kipi si cha lazima hapa?
One.Sijakupangia bali ni maoni tu, nadhani kila mtu yuko huru kuandika aonacho ni sahihi bora asitukane.
Kutofautia mitazamo au kukosoana ni kawaida, hata hii post ukiikosoa ni uhuru ulionao hapa janvini.