Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kusafiri ni jambo la kawaida tu.
Si utajiri.
Kuna wakati nilikuwa nafanya kazi na masela New York, ikifika weekend wanaenda Iceland au Jamaica, just for the weekend, wanaruka majoka, Jumatatu wanarudi kazini na stories za Reykjavik na Montego Bay.
Sema nchi ikiwa masikini sana, kuwa na passport tu ni jambo lisilo la kawaida, achilia mbali kusafiri.
Kitenge ana connections za kimataifa, hivyo hakuna cha ajabu.
Mengine yanaweza kuwa siri zake za kibiashara, kwa habari zaidi mtafute mwenyewe.
Si utajiri.
Kuna wakati nilikuwa nafanya kazi na masela New York, ikifika weekend wanaenda Iceland au Jamaica, just for the weekend, wanaruka majoka, Jumatatu wanarudi kazini na stories za Reykjavik na Montego Bay.
Sema nchi ikiwa masikini sana, kuwa na passport tu ni jambo lisilo la kawaida, achilia mbali kusafiri.
Kitenge ana connections za kimataifa, hivyo hakuna cha ajabu.
Mengine yanaweza kuwa siri zake za kibiashara, kwa habari zaidi mtafute mwenyewe.