Maulid Kitenge ni tajiri kiasi gani hadi asafiri mataifa mbalimbali kiasi hicho?

Maulid Kitenge ni tajiri kiasi gani hadi asafiri mataifa mbalimbali kiasi hicho?

Mimi namkubali sana huyu mtangazaji Mana ni mweledi kwenye kazi yake. Kwa ufupi ni fundi Sana.

Wiki hii yupo Finland na huwa kila wakati ni kuruka kwa ndege mataifa mbalimbali.

Sina nia mbaya lengo ni kujua tu basi.

Mtafute kidukuLilo anajua story zote​
 
Mimi namkubali sana huyu mtangazaji Mana ni mweledi kwenye kazi yake. Kwa ufupi ni fundi Sana.

Wiki hii yupo Finland na huwa kila wakati ni kuruka kwa ndege mataifa mbalimbali.

Sina nia mbaya lengo ni kujua tu basi.

Anaitangaza Tanzania mkuu, kwani hujui yeye ni celeb, akizeeka ndio atakuja kuzikumbuka hizo safari wakati anataka achangiwe....
 
Analipwa vizuri pale arena
Na jembe halimtupi mkulima
 
Hii hobby kama huna pesa utabaki kuiyona kwa Kitenge tu...kuogelea beach kibao zipo tn free lkn kwenda ughaibuni mara kwa mara na pipa c mchezo sheikh.
Ni kweli kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake....
 
Nadhan huyu ni mtu maarufu kwahyo kumfatilia au kumjadili sio dhambi na yy sio wa kwanza,wenda mnaobeza hapa mshajadili huko wanamuziki na wanasiasa..

Anasafiri sana tng yupo efm,hasa ukanda wa kaskazini mwa Amerika..

inasemekana ana mchepuko huko wa kuitwa Rose Chitala walifanya kazi wote Radio one

safar zake lazma utie shaka cz sio za kikaz kama za kina eddo,shaffih na wengneo japo akiwa huko huwa anaendelea na kazi..

Hata kama ni hobby kusafir ila ndo hata wakat ambao si wa likizo??

kuna kitu anafata huko ughaibuni...Ni Nin anafata huko
 
Tusipangiane cha kuandika, tukianza hivyo patakuwa hapakaliki hapa.

Nani kakupa u editor wa kuamua kipi cha lazima na kipi si cha lazima hapa?
Wewe unadhani Mungu ni tajiri au siyo tajiri?
 
Usiseme Watanzania, sema Vijana wa Dar es Salaam

Uhusiano mtu anaandika "Uusi ano", hayakuhusu anaandika "ayaku usu", hii anaandika "ihi", hiyo/huyo kwao wao ni "iyo au uyo"....Shubaamit!

Bloo wa Dalisalamu mbona mnatuonea
 
Kwa nilivyomuelewa mtoa bandiko hapa,anajiuliza maswali ambayo hata mimi ama wewe unajiuliza.Ni kweli kwamba Mr Kitenge Maulid anasafiri sana kila mara,hivyo kwa kazi hii hii ndio inampa uwezo wa kusafiri namna hiyo ama lah!Ana fedha kiasi gani za kumuwezesha kula bata na kuruka na mwewe kila mwezi maana jamaa hapoi..kwa mshahara gani pale Wasafi?je ana kazi ama biashara nyingine???Au anadanga?
 
Mimi namkubali sana huyu mtangazaji Mana ni mweledi kwenye kazi yake. Kwa ufupi ni fundi Sana.

Wiki hii yupo Finland na huwa kila wakati ni kuruka kwa ndege mataifa mbalimbali.

Sina nia mbaya lengo ni kujua tu basi.

Huyu jamaa inasemekana anamkataba mnono na hawa wacheza mikeka maana alishachana mikeka mara 3 ya mechi 13

Hivyo wakampa dili nono


Kila mmoja na bahati yake
 
Back
Top Bottom