Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Sijaelewa why mleta mada kamuattack maulid kitenge personally...haimake any sense..kwani yeye ndo ana maamuzi?? Ata simpo logic tu kama hali ilivyokuwa miaka 1950 sio sawa na sasa,wamasai wameongezeka pamoja na mifugo yako itabid waondoke tu kupisha hao wanyama..maana wasipofanya hivyo wanyama watakimbia hifadhi..Angalau hoja ingekuwa serikali iwalipe fidia kwa maendelezo ya kudumu waliyojenga huko kwenye hifadhi..wasiondoke bila kulipwa fidia na usumbufu.
Wamasai wanaishi Ngorongoro kwa mujibu wa sheria,hawapaswi wala hawawezi kuondoka.
 
Lazima uwepo mkakati wa kuitunza Ngorongoro
Kwani nani kaiharibu Ngorongoro? Nini kimeharibika Ngorongoro? Dunia nzima inapitia mabadiliko ya tabia ya nchi. Ukame kidogo tu ulioikumba nchi nzima, wanaokula kupitia NCAA wakapaniki. Salaried guys ni tatizo sana.
Halafu hata kama ni kuzilinda hizi hifadhi zetu, sisi binadamu ndio priority. Sio Wanyamapori hata siku moja.
Itafika baadaye vizazi vijavyo itabidi kuwe na Zoo kwa ajili ya maonyesho ya wanyama.
Njaa zenu zinawafanya muone mnyama wa porini wa muhimu kuliko mwanadamu.
 
Habari za Magufuli wachana nazo maana tayari kashamaliza mwendo wake.

Ila ukae ukijua kuwa Ngorongoro lazima ibakie salama kwenye uhalisia wake.

Tunawajua watu kama nyinyi ndiyo mnatumiwa na maadui wa taifa kutaka kutukwamisha .
Mkuu asante kwa kuliona hilo Wanaviengio vya kipumbavu vinavyopata pesà kutoka kwa wapumbavu...WABAGUZI sana hawa nawajuwa sana wako Ololosokwani
 
Somebode say...AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.

FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka Serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).

Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana? Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..

Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)

Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.

Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda, Zitakuaharibia.

Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua
kabugi nn kitenge simtu wampira mpira ameshaaza Tena na utalii jamani

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Watu wenye akili ndogo kama nyie ndio mnahitaji utafiti kuona jambo ambalo liko wazi.

Sisi wengine tunaona mambo kwa macho ya kawaida tu..

Hili la ngorongoro huhitaji kua na akili kubwa kuliona, liko wazi kabisa.

Kama mwaka 1970 watu walikua 8000, leo wako 120k, miaka 50 ijayo watakua 300k ama zaidi, je eneo la makazi la watu 8k wa mwaka 1970 na watu 120k wa sasa liko sawa? Mwaka 2070 je eneo litakua lilelile kama watu wanaongezeka na ardhi haiongezeki?

Ni simple kwamba hata eneo la kuchunga wanyama litapungua, kwa msingi huo hata wanyama watakimbia kwa sababu ya kuongezeka kwa ushindani wa kutumia resources zilizopo kati ya wanyama na binadamu.

Hii simple logic nayo unahitaji utafit? Hii nchi imejaa watu wajinga sana.
Na hapo si kwamba wanyama watakimbia tu.
Kuna jamii ya wanyama watatoweka kabisa.

Tunahatarisha maisha yao, maana wanakula mabaki ya vyakula vya viwandani vinavyotumika na binadamu.
Hali hiyo itawaletea maambukizi ambayo hatuna uwezo wa kuyadhibiti.

Ng'ombe kwakuwa tunaishi nao majumbani kila siku wanadungwa sindano kuwaponya na sumu zitokanazo na vyakula vyetu, hali itakuwaje kwa digidigi, nyumbu, twiga na Simba?
Wahamishwe tu hakuna kuchekeana.
 
Somebode say...AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.

FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka Serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).

Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana? Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..

Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)

Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.

Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda, Zitakuaharibia.

Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua
Kitenge amesukumwa na moyo wa kizalendo, hajatumwa.
Vitisho vyako havitafua dafu.
Hawa watu waandaliwe utaratibu mzuri wahamishwe.
Kama tumefanikiwa kuvunja nyumba zaidi ya alfu 10 Kipawa ili kujenga Viwanda na Uwanja wa ndege wao ni nani wasihame?
 
Somebode say...AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.

FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka Serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).

Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana? Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..

Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)

Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.

Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda, Zitakuaharibia.

Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua
Kama ni kweli anafanya propaganda kwa masilahi ya mtu au kundi fulani, anajitafutia downfall. Watu wanamuamini kwa utangazaji wake kwa hili atajiharibia. Ushauri wa bure kaa kwenye ethics za shughuli zako uitunze heshima binafsi na ya fani yako.
 
Kitenge amesukumwa na moyo wa kizalendo, hajatumwa.
Vitisho vyako havitafua dafu.
Hawa watu waandaliwe utaratibu mzuri wahamishwe.
Kama tumefanikiwa kuvunja nyumba zaidi ya alfu 10 Kipawa ili kujenga Viwanda na Uwanja wa ndege wao ni nani wasihame?
Argument ya kijinga!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani nani kaiharibu Ngorongoro? Nini kimeharibika Ngorongoro? Dunia nzima inapitia mabadiliko ya tabia ya nchi. Ukame kidogo tu ulioikumba nchi nzima, wanaokula kupitia NCAA wakapaniki. Salaried guys ni tatizo sana.
Halafu hata kama ni kuzilinda hizi hifadhi zetu, sisi binadamu ndio priority. Sio Wanyamapori hata siku moja.
Itafika baadaye vizazi vijavyo itabidi kuwe na Zoo kwa ajili ya maonyesho ya wanyama.
Njaa zenu zinawafanya muone mnyama wa porini wa muhimu kuliko mwanadamu.
Hao wanaozurura na ng'ombe wafanye ufugaji wa kisasa, dunia ya Sasa majitu yanazagaa na mifugo
 
Sijaelewa why mleta mada kamuattack maulid kitenge personally...haimake any sense..kwani yeye ndo ana maamuzi?? Ata simpo logic tu kama hali ilivyokuwa miaka 1950 sio sawa na sasa,wamasai wameongezeka pamoja na mifugo yako itabid waondoke tu kupisha hao wanyama..maana wasipofanya hivyo wanyama watakimbia hifadhi..Angalau hoja ingekuwa serikali iwalipe fidia kwa maendelezo ya kudumu waliyojenga huko kwenye hifadhi..wasiondoke bila kulipwa fidia na usumbufu.
Huyu Kakubali kutumiwa kwa maslahi ya Walaji wachache pale NCAA.

Hili lilishatokea kipindi cha nyuma utawala wa JMKikwete aliruhusu operation ya kusafisha maeneo ktk hifadhi na kusababisha mauaji ya watu wengi sana, askari waliwalawiti vijana mbele ya wazazi wao, mabint walibakwa, watu walikuwa wanatundikwa kama digidigi...

Maulid anafanya kampeni ambayo hajui athari yake hapo baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ecosystem ya Serengeti inategemea sana Ngoro2 na hasa eneo la Loliondo. Masai si jangili ila makundi yenu ya ngombe yanaharibu vyanzo vya maji ktk eneo hilo muhimu kwa mazalia ya nyumbu na ecosystem nzima. Subiri uone
 
Nani kakwambia kuwa wanapewa waarabu?
Au utahitaji pia doc's kujua kilichoendelea nyuma ya pazia?
Screenshot_20220206-154316.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wanaozurura na ng'ombe wafanye ufugaji wa kisasa, dunia ya Sasa majitu yanazagaa na mifugo
Kwa hiyo hata machinga waache kuzurura na bidhaa za kina Bakhresa, Mo, Muzar, GSM and the like?
Kuzurura nini?
Kuchunga ng'ombe ni sawa na kuzunguka na dala dala yako mjini kutafuta hela. Ni sawa na kuzunguka na boda boda yako. Ni kazi tu zimetifautiana.
Tatizo lako unatumia akili za kushikiwa na kucheza ngoma inayopigwa na wengine.
Inakukera nini mtu kuzunguka na mali yake?
 
Kuchunga mifugo haina tofauti na kuzurura mjini kufuatilia michongo yako au kusambaza CV. Acheni kuwaondoa watu akili.
Nchi kibao wanachunga. Jamii ya Wafulani nchini Nigeria, Wasomali wa Kenya, Somalia na Ethiopia, Wahindi kule kwao, Wasukuma, Wakurya, Wanyaturu, Wairaq, Wabarbaig etc.
Acha kutumia kichwa kama kopo wazi ambalo laweza kujazwa chochote.
 
Watu wanahamishwa barabara ikijengwa, watu wanahamishwa pakigundulika ardhi Ina madini yaani nyie ni kina nani msihamishwe ???

The fact kwamba mlikuwepo hapo from 1950's haiwapi legality ya kuendelea kukaa Kama itaonekana mnaweka threat kwa wanyama pori.

As long as eneo hilo lilishatangazwa kuwa protected na sheria sioni sababu ya hao wamasai kung'ang'ania after all hakina walichojenga au wanacholima zaidi ya kufuga ng'ombe wanaonyang'anyana malisho maana wanacholazimisha ni kupata Yale mapori ambapo kwingine wanajua hawataweza kufuga kwa style Ile .

Tuwe na uchungu na taifa letu, ng'ombe wanaongezeka na familia zao zinaongezeka siku Hadi siku, better late than never.

Hii nchi tunaongozwa kwa sheria, mbona wengine wanahamishwa kupisha maslahi mapana ya Taifa?? Kwa nini wao wajione ndio wenye nchi pekee?
Mkuu usiumize kichwa chako kubishana na wapuuzi wanaopenda kuhurumiwa kishwamba. Watu wamevunjiwa na kuachwa nje na familia zao kupisha "upanuzi" wa barabara sembuse masai hawa wanaoguga kwa kukodishwa ng'ombe na wakenya ili waharibu hifadhi zetu.
 
Huyu Kakubali kutumiwa kwa maslahi ya Walaji wachache pale NCAA.

Hili lilishatokea kipindi cha nyuma utawala wa JMKikwete aliruhusu operation ya kusafisha maeneo ktk hifadhi na kusababisha mauaji ya watu wengi sana, askari waliwalawiti vijana mbele ya wazazi wao, mabint walibakwa, watu walikuwa wanatundikwa kama digidigi...

Maulid anafanya kampeni ambayo hajui athari yake hapo baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duu! Ni vizuri ukituwekea hapa ushahidi wa hayo matendo.
 
Back
Top Bottom