Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Kaka, linapikuja suala la kitaifa inabidi Sisi Kama vijana tulitetee bila kuangalia maslahi binafsi,
Ungekuja na facts kwamba Hilo eneo tunaloliona kwenye hiyo video sio eneo la hifadhi ningekuelewa, lakini Kama ni eneo la hifadhi na watu wamejenga nyumba za mabati inaonyesha Kua huu ni uvamizi na nadhani ungepaswa kumpongeza kitenge kwa kupaza sauti.
Lakini hili swala hata Mh Rais mama Samia alishaliongelea, sasa unataka kutuambia na mama nae anatumiwa?
Au Una mifugo yako pale ?
Ngorongoro iko vile kwa sababu imetunzwa na hao waliotunza ndio hao waliowakuta na kudai wanasababisha uharibifu.

Unaposema sula la kitaifa inabidi tulitetee? Una maanisha nini? Hivi unajua kwa nini inatumika nguvu kubwa sana kuwaondoa jamii ya kimaasai eneo hilo?

Hata ukiangalia tu presentation ya huyo Maulid na mwenzake utaona tu hawana maarifa wa kile wanachokirepresent, ni wahuni tu fulani waliotumwa kupush agenda. Dili nyingine zinahitaji uchambuzi kabla ya kuzikubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngorongoro iko vile kwa sababu imetunzwa na hao waliotunza ndio hao waliowakuta na kudai wanasababisha uharibifu.

Unaposema sula la kitaifa inabidi tulitetee? Una maanisha nini? Hivi unajua kwa nini inatumika nguvu kubwa sana kuwaondoa jamii ya kimaasai eneo hilo?

Hata ukiangalia tu presentation ya huyo Maulid na mwenzake utaona tu hawana maarifa wa kile wanachokirepresent, ni wahuni tu fulani waliotumwa kupush agenda. Dili nyingine zinahitaji uchambuzi kabla ya kuzikubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Mkuu hamasisha na Wasukuma wa Sibiti na Wasonjo wa kule kwenye Minyaa pori
 
Kweli hawaja kosea jamii zingine kusema SISI AFRICA watu weusi tuna low IQ ukilinganisha na jamii zingine.

Ukiangalia hawa wa MASAI utajiri walio nao wa mifugo na ukiangalia maisha wanayo ishi kama Ndege wanarandaranda tu huku na kule unajiuliza sisi watu WEUSI tulikosa nini Kwa M/MUNGU naweza kusema IN GENERAL JAMII YOTE YA WAFUGAJI WANAMATATIZO ya kiakili baado wapo kwenye maisha ya STONE AGE.

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
No offense..wewe mpumbavu!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngorongoro iko vile kwa sababu imetunzwa na hao waliotunza ndio hao waliowakuta na kudai wanasababisha uharibifu.

Unaposema sula la kitaifa inabidi tulitetee? Una maanisha nini? Hivi unajua kwa nini inatumika nguvu kubwa sana kuwaondoa jamii ya kimaasai eneo hilo?

Hata ukiangalia tu presentation ya huyo Maulid na mwenzake utaona tu hawana maarifa wa kile wanachokirepresent, ni wahuni tu fulani waliotumwa kupush agenda. Dili nyingine zinahitaji uchambuzi kabla ya kuzikubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yamkini kweli wanatumiwa, lakini hata vipindi vyao hua vinaendeshwa hivyohivyo, hata magazeti wanasoma hivyohivyo,
Lakini nataka kufahamu kwamba Hilo eneo wanalochukua video ni eneo la hifadhi au ni nje ya hifadhi?
Kama liko ndani ya hifadhi, Je, ni sahihi kujenga nyumba za bati ndani ya hifadhi? Nini hatma ya wanyama ndani ya miaka mitano au Kumi ijayo? Hizi ndio fact za kujadili Kwanza ninaposema tuweke utaifa mbele.
 
Huyo maslahi mapana yataifa wewe unayajua au nimmoja wao yawale wanaotafua cake yataifa ni sema hii nchi sio mal yenu pekeenu, kuna watu hata nyama yaswala tu kula hatuijui ila nyie mliojipa mamlaka mnatoa order tu leo nataka nyama yatwiga mnaletewa nanyie ndo mnamaliza wanyama sio wamasai
We rukaruka na hilo shuka lako hapo ukimaliza mtahama tu.
 
Expansion of human settlements and activities will ultimately affect the wildlife ecology.......so it is a matter of fact that the wildlife ecology in ngorongoro, where there is co-existence of wildlife and human life will be compromised in the long run, and this might have alerted the conservationist and consequent government action to try to salvage the treasured area............
 
Hapo hapo waarabu wanapewa eneo wajenge na waishi.
Kwa nini ni wamasai tu na sio hawa waarabu?
Wale wanalipia vitalu, Masai wangekuwa na akili wasibishane sana mwenye nchi akiamua wahame nakuapia watahama tu. Time is the best teacher.
 
Back
Top Bottom