Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Somebode say...AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.

FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka Serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).

Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana? Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..

Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)

Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.

Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda, Zitakuaharibia.

Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua
Masai lazima waondoke ngorongoro inakwisha
 
Hizi stori za Ngorongoro inateketea wakati ngorongor ni zaidi ya mkoa wa kilimanjaro,
na wamasai wanaishi tarafa moja ni ajabu.
Wahifadhi wa Ngongoro mbona hawajaona kama inateketea wewe na maulidi ndio mnaoona hilo?
Haya mambo ya kukwepa utafiti yanatia shaka.
Utajuaje huo uharibifu unasababishwa na wamasai kama hujafanya utafiti na kiwango gan.
Mtuambie pia ni uharibifu upi ambao upo na unatishia eneo la ngorongoro hivyo
wamasai watoke.
Kwa nini Wafugaji watoke?
Acha kujikita kwenye kivuli cha Ukabila.
Mamlaka ya Ngorongoro ilianzishwa mahsusi ili hali iliyokutwa hapo, ya Wafugaji na mifugo yao, na Wanyamapori, kuishi pamoja, iendelee na kudumishwa.
Wanaotaka Wafugaji watoke ni maadui wa Ngorongoro Conservation Area.
Wanaojenga kiholela ndani ya Hifadhi, nao pia ni maadui wa Ngorongoro Conservation Area.
Wanaharakati wanaopiga kelele kwa kutaja Ukabila, kuwa Ngorongoro ni ya Wamasai, lengo lao ni ku-alienate Watanzania ambao siyo Wamasai ili walifumbie macho suala hilo, waone haliwahusu, ili waendeleze nia zao ovu za kushibisha matumbo yao huku Ngorongoro ikiteketea.
Watanzania hatuwezi kukaa kimya wakati Mazingira ndani ya Hifadhi yetu ya Ngorongoro yanaharibika, kwa sababu ya kelele za Wanaharakati wanaojificha ndani ya kichaka cha Ukabila.
Tunatakiwa tuliseme hili waziwazi na kulipatia ufumbuzi.
Tusiogope kufanya maamuzi magumu.
Lengo letu daima liwe kuhakikisha Wafugaji na Wanyamapori wanaishi ndani ya Ngorongoro kama ilivyokusudiwa mwaka 1959.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ngorongoro maana yake ni nini? So hiyo ndiyo inayo justify wao kuwa evicted? Why don't you evict foreigners and their "conservational investments"?
Watu kwanza wanyama baadae wengine hawaelewi kuna wanyama walikuwepo nchi nyingi
lakini walitoa kipaumbele kwa maendeleo ya watu kwanza ndio maana walipungua hadi kupotea.

Tunazo mbuga za kutosha kwanini tuwaondoe watu kwenye ardhi yao ya asili sio sahihi kabisa.
 
Kama wanyama wanakula watu, Maulid akasema baada ya kuona serikali ya pale iko kimya je kuna ubaya?

Watu wapishe hifadhi.
Maulid wako katumiwa kama daraja tu, kwa taarifa yako UTALII wa uwindaji ndi sababu KUU ya kuondolewa jamii ya kimasai ...nikuulize unajua ni hasara gani tutapata baada ya hayo kufanyika?

Tafakari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kosa lake liko wapi kusema watu wanazidi kuvamia Hifadhi ya ngorongoro???? Mbona kama imeonekana ni suala la kuattack watu flani wenye maslahi pale kwenye yale makazi...!!
Boychild tulia ufanye tafiti kwanza, hatu'komment kwa bahati mbaya.

Unafahamu kwamba uwindaji haramu au si haramu nao ni utalii? Ndio hao wanaotaka wapewe nafasi, achana na porojo za Yule propagandist wa pale upenyonyi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boychild tulia ufanye tafiti kwanza, hatu'komment kwa bahati mbaya.

Unafahamu kwamba uwindaji haramu au si haramu nao ni utalii? Ndio hao wanaotaka wapewe nafasi, achana na porojo za Yule propagandist wa pale upenyonyi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba hap wawindaji haramu pake ngororongoro wamehsindwa kupewa nafasi nyingine mpaka walipo wamasai??? Au wamasai wanazuia Ujangili??? Yani wamasai kuishi huko porini ni kama kivutio cha taifa kwamba wakiondoka wataathiri utalii???

Suala la maulid naona linachukuliwa kisiasa but ukweli ni mwingi kuliko siasa...
 
Maulid wako katumiwa kama daraja tu, kwa taarifa yako UTALII wa uwindaji ndi sababu KUU ya kuondolewa jamii ya kimasai ...nikuulize unajua ni hasara gani tutapata baada ya hayo kufanyika?

Tafakari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wamasai wanavutia utalii????[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]yani kuchukulia binadamu wenzenu kama Sehemu ya utalii ni kuwadhalilisha yani wazungu wanakuja kushangaa wamasai???? Wamasai wanaathiri vipi utalii wakiondolewa pale??? Labda muwatetee wamasai wasiondolewe zaidi itungwe sheria kuzuia uvamizi unaondelea huko ngorongoroo...

MSITAWATUMIE WAMASAI KWA MASLAHI YENU BINAFSI.
 
Ngorongoro Conservation Area siyo ya Wamasai pekee, ni ya Watanzania wote, na inahitaji Mjadala wa kina.
Itakuwa aibu na fedheha kubwa kwa Taifa letu kama hii World Heritage itapotea kutokana na kuogopa kelele za Wanaharakati ambao wameigeuza Ngorongoro kuwa mali ya Wamasai.
Hii ni hatari.
Serengeti nayo iwe ya Wakurya?
Ruaha iwe ya Wahehe?
Mikumi iwe ya Wakaguru?
Mazingira ya Ngorongoro ya Binadamu kuishi na Wanyamapori yanakubalika, lakini ni lazima kuwe na Ulinganifu wa Kiekolojia, 'Ecological balance'.
Majumba yanajengwa ndani ya Ngorongoro. Hii siyo sawa.
Ngorongoro ikipotea, sisi sote tutaingia katika fedheha isiyo na kipimo.
Kumtukana Maulidi Kitenge kwa kuandika kilichopo, hakuisaidii Tanzania wala Wamasai wanaoishi Ngorongoro.
Malisho yakiharibiwa, Wanaharakati hawataonekana kuwafadhili Wamasai.
Watakimbilia kusikojulikana.
Tuiokoe Ngorongoro.
Yani nashangaa sana watu wanaomshambulia maulid kitenge na kuchukulia hili suala kisiasaaa...!! Hadi muda huu siamini kama kuna watu wnaatetea upuuzi wa masai kuendelea kuharibu mazingira ya ngorongoro sawa waendelee kuishi ila sio kujenga na kuharibu mazingira
 
Mawazo kama yako ndio yaliyopelekea kukata milioni ya miti kujenga bwawa linalotegemea mvua!

Amandla...
Uelewa wako ni mdogo. Listen up, ninachopinga ni kuondoa wanadamu ili wanyama waishi.

Angalau mvua ina faida kwa binadamu na ustawi wake ivyo miti haifai kukatwa na aliekata utonifananisha nae km umeelewa hoja yangu.
 
Yani nashangaa sana watu wanaomshambulia maulid kitenge na kuchukulia hili suala kisiasaaa...!! Hadi muda huu siamini kama kuna watu wnaatetea upuuzi wa masai kuendelea kuharibu mazingira ya ngorongoro sawa waendelee kuishi ila sio kujenga na kuharibu mazingira
Hebu fatilia trending ya hii kitu before..

Nipo kwenye shauri mahakamani now, usipoelewa nitarudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kenge Dunia haiwezi kua salama na wala maisha hapa Duniani hayawezi kuwepo bila hao wanyama.

Maisha ya hapa Duniani yanategemea a complete ecosystem inayohusu viumbe vyote vya wanyama.

Kwa akili zako fupi unadhani wanyama hawana umuhimu. Umuhimu wao hauko kwenye kuwaangalia tu, tunategemeana for survival.

Mataahira kama nyie msioelewa kitu kaeni kimia
Afadhali umetoka pangoni,nyie ndo mnaofanya mapenzi na mbwa,kuku,ng'ombe nk. ndio hasa mnaumia kwa wapenzi wenu hao wa kishetani kuondolewa.

Look here,dinosaurs wametoweka na wanyama wengine chungu mbovu hawapo tena duniani,where was your stupid ecosystems!? Usikariri,elewa...Mungu ndo fundi mkuu,kuwa na utu tetea survival ya jamii yako yaani wanadamu na sio wanyama poli jamii tofauti na ww...hili nalo hujui!,labda km na wewe ni jamii yao nitakuelewa.

Usiwe km ling'ombe,be human and fight for humans,yaani ata jumbu anakuzidi maarifa! Maana jumbu anatetea sana jamii yake dhidi ya simba.
 
Afadhali umetoka pangoni,nyie ndo mnaofanya mapenzi na mbwa,kuku,ng'ombe nk. ndio hasa mnaumia kwa wapenzi wenu hao wa kishetani kuondolewa.

Look here,dinosaurs wametoweka na wanyama wengine chungu mbovu hawapo tena duniani,where was your stupid ecosystems!? Usikariri,elewa...Mungu ndo fundi mkuu,kuwa na utu tetea survival ya jamii yako yaani wanadamu na sio wanyama poli jamii tofauti na ww...hili nalo hujui!,labda km na wewe ni jamii yao nitakuelewa.

Usiwe km ling'ombe,be human and fight for humans,yaani ata jumbu anakuzidi maarifa! Maana jumbu anatetea sana jamii yake dhidi ya simba.
Kwani hao simba ndo wamewafata watu yani arusha yote ile mpaka watu wakajenge na kuingi,a mifugo hifadhini???? Acha ujuhaa wew hao wamasai wadhibitiwee mapemaa tuu ardhi kubwa sana ya kuishi haina maana kwenda kuishi Mbugani ni kudhihirishia wazungu sis ni nyani na hatujitambui japo wajinga wachache wanasupport huo upuuzi
 
Uelewa wako ni mdogo. Listen up, ninachopinga ni kuondoa wanadamu ili wanyama waishi.

Angalau mvua ina faida kwa binadamu na ustawi wake ivyo miti haifai kukatwa na aliekata utonifananisha nae km umeelewa hoja yangu.
Nani aliemfata mwenzake...???? Binadamu uache maeneno yote uende ukanjenge mbugani kisa kufata nyasi na kulisha mifugo yako???? Kila mkoa wafuhaji wakienda kuishi mbugani itakuwaje..??? Ndo yale ya kusikia simba kala watu mara sijui fisi kashambulia watoto alafu lawama zinakuja kwa Serikali upuuzi tu
 
Nani aliemfata mwenzake...???? Binadamu uache maeneno yote uende ukanjenge mbugani kisa kufata nyasi na kulisha mifugo yako???? Kila mkoa wafuhaji wakienda kuishi mbugani itakuwaje..??? Ndo yale ya kusikia simba kala watu mara sijui fisi kashambulia watoto alafu lawama zinakuja kwa Serikali upuuzi tu
This is very low level of reasoning..

Wewe km mwanadamu ndio mtawala wa dunia haupaswi kumpisha au kuogopa kuishi makazi mazuri sababu ya kumpisha mnyama,wewe ni bora kuliko simba na twiga,hujielewi? Au wewe ni ling'ombe tu analosema Lissu.

Mbona jumbu na wanyama wengineo wanatetea jamii yao,wewe unashindwa kutetea wanadamu waishi vizuri! Basi kuanzia leo ukimuona mbwa mpishe kiti maana ndio akili yako ilivyo
 
Usiandike kishabiki hali ya Ngorongoro inasikitisha,inakatisha tamaa & ina huzunisha.
Ni kweli Waasai wapo ngorongoro miaka mingi wakishi na wanyama pori na mifugo yao.Wakati huo Mamlaka inaanzishwa idadi ya watu ilikuwa 8,271 na idadi ya mifugo ilikuwa 30,000.Nyumba za wamaasai zilikuwa aina ya combi

View attachment 2109828

Leo idadi ya Maasai ni 120,000 huku idadi ya mifugo yao ikifikia zaidi ya 1,000,000 na makaazi yao yakiondoka katika uasilia na kwenda kwenye usasa.Leo hii mabati msouth yamejaa Ngorongoro.Mmaasai anajenga nyumba za kisasa hadi maghorofa yamejengwa ndani ya hifadhi mgeni akitembelea Ngorongoro anakutana na Kondoo,Mbuzi na Ng'ombe kwa wingi kuliko Simba au Nyati.

Lazima Tanzania ichukue hatua kali na madhubuti kuokoa Ngorongoro.Kumezuka NGOs nyingi tena nyingine zikiasisiwa Kenya zipo pale kwaali ya kutetea ujinga na kuona Ngorongoro inakufa.Hii vita asili yake kubwa ni Kenya ambayo inaumizwa sana na uwepo wa Ngorongoro,Serengeti na Kilimanjaro.Kenya kupitia idara yake ya ujasusi inafahamu wazi ushindani wa utalii ni vivutio na wakiangalia hizo Mbuga tatu wanaona bora waiumize walau moja ambayo ni Ngorongoro.

Hizi NGOs nyingi zinawadanganya wamaasai Ngorongoro ni mali yao,serekali haina chao sasa huu ujinga ungemalizwa na vingozi wenye maamuzi mazito ikiwemo kuirejesha Ngorongoro TANAPA na kuifanya HIFADHI kama zilivyo Manyara,Serengeti,Kilimajaro au Mikumi.Wamaasai wahamishwe wote Tanzania bado ina mapori mengi.
Andiko lako ni zuri sana. Tena sana.
Kasoro yake ni pale unaposema Wafugaji waondolewe.
Lengo la kuanzisha Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, ni kutunza na kudumisha 'eco-system' ambayo Wafugaji na Wanyamapori wanaishi katika eneo moja.
Hali hiyo iendelee.
Kama ulivyosema, nami nakushukuru kwa kutoa 'data', kutoka Wafugaji 8271 mwaka 1959, mpaka Wafugaji 120,000 na Mifugo 30,000 mwaka 1959 hadi mifugo zaidi 1,000,000 ; Mamlaka ya Ngorongoro itoe Tamko kuhusu uhimilivu wa Hifadhi juu ya kuongezeka kwa idadi ya Wafugaji na Mifugo.
Tamko likitoka, Watanzania tukae pamoja kama Taifa na kukubaliana nini kifanyike.
Lakini tusitenganyishe Wafugaji na Wanyamapori.
Serengeti ni World Heritage kwa sababu ya Wafugaji na Wanyamapori kuishi pamoja.
Hali hii ilindwe na kudumishwa.
 
Andiko lako ni zuri sana. Tena sana.
Kasoro yake ni pale unaposema Wafugaji waondolewe.
Lengo la kuanzisha Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, ni kutunza na kudumisha 'eco-system' ambayo Wafugaji na Wanyamapori wanaishi katika eneo moja.
Hali hiyo iendelee.
Kama ulivyosema, nami nakushukuru kwa kutoa 'data', kutoka Wafugaji 8271 mwaka 1959, mpaka Wafugaji 120,000 na Mifugo 30,000 mwaka 1959 hadi mifugo zaidi 1,000,000 ; Mamlaka ya Ngorongoro itoe Tamko kuhusu uhimilivu wa Hifadhi juu ya kuongezeka kwa idadi ya Wafugaji na Mifugo.
Tamko likitoka, Watanzania tukae pamoja kama Taifa na kukubaliana nini kifanyike.
Lakini tusitenganyishe Wafugaji na Wanyamapori.
Serengeti ni World Heritage kwa sababu ya Wafugaji na Wanyamapori kuishi pamoja.
Hali hii ilindwe na kudumishwa.
Well written
 
  • Thanks
Reactions: Tui
This is very low level of reasoning..

Wewe km mwanadamu ndio mtawala wa dunia haupaswi kumpisha au kuogopa kuishi makazi mazuri sababu ya kumpisha mnyama,wewe ni bora kuliko simba na twiga,hujielewi? Au wewe ni ling'ombe tu analosema Lissu.

Mbona jumbu na wanyama wengineo wanatetea jamii yao,wewe unashindwa kutetea wanadamu waishi vizuri! Basi kuanzia leo ukimuona mbwa mpishe kiti maana ndio akili yako ilivyo
Bhasi kesho kaanze kumwaga tofali pale serengeti kwa kua unajiona una akili kuliko Simba alafu usiku utajua kama wew na Simba nani ana akili??? Unaweza kuwa na Akili ila Huna maarifa yani zero kabisaa na hujielewiiii... Ndo maana unaona una haki hata ya kwenda kujenga Serengeti alafu wale tembo wakaishi Kkoo eti[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom